Inanifikirisha kwamba sasa hivi tuna Skelly, Odegaard, Rice, Zubimendi, Nwaneri, Eze, Merino, Vieira hapa hatujahesabu Kai na Nelson ambao wanaweza kucheza midfielders.
Na sasa anaongezwa Bruno. Huyu jamaa tulishindwa kumnunua akiwa Lille kwavile Newcastle walikua wanagawa hela kama vile hakuna kesho. Leo tumespend 75M kwaajili yake akiwa na miaka 30.
Now Arsenal sisi siyo selling club, hatuwi na mchezaji na kuwaza atauzwaje, so hili haliwezi kua tatizo kwa bodi. Ila sasa anachukua namba ya nani?
Skelly na Nwaneri wanahitaji game time kukua, kuna tetesi za United kumtaka Skelly. Idadi ya viungo wazoefu inatishia ukuaji wa hawa chipukizi. Skelly, pamoja na kuipenda Arsenal kiasi kwamba ilimgharimu kutoitwa WC sioni akipoteza tena muda kutocheza.
Let's wait and see