Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Thoughts on Vinicius Jr to Arsenal wazee? mimi naona hapa 100℅ tutachukua UEFA na hasa kama Bruno Guimareas naye atasajiliwa, hapa PSG hatotusumbua tena, mpinzani atabaki mkongwe Real madrid
Wakuu, tumwamshe au tomwache aloeshe kitanda?
Epl tunapiga back to back, nasikia Rodri anataka kumkimbia Maresca!
 
Thoughts on Vinicius Jr to Arsenal wazee? mimi naona hapa 100℅ tutachukua UEFA na hasa kama Bruno Guimareas naye atasajiliwa, hapa PSG hatotusumbua tena, mpinzani atabaki mkongwe Real madrid
Nampenda vini yupo explosive na skills, ila ana vitabia ambavyo haviwapendezi watu vya kuprovoke marefa, wachezaji na hata mashabiki.. Anaweza akadraw attention ambayo haihitajiki kwenye nyakati crucial tukashindwa kusecure points.
I won't say no akisajiliwa ila si expect sana hilo kutokea.
 
EPL timu kubwa ambazo vini anaweza kwenda ni man city na man united tu, kdg na chelsea
Sasa timu imenunua Rodgers halafu iongeze na Vinicius wa nini?

Vinicius alisababisha Alonso afukuzwe Madrid unadhani Alonso ana hamu na Vinicius?

Tabia ya vinicius ya unnecessary attention ni ngumu yeye kwenda Arsenal na wewe umejudge kutokana na hilo. Haujajudge juu ya financial muscle ya kumlipa zaidi ya 400K per week
 
Nampenda vini yupo explosive na skills, ila ana vitabia ambavyo haviwapendezi watu vya kuprovoke marefa, wachezaji na hata mashabiki.. Anaweza akadraw attention ambayo haihitajiki kwenye nyakati crucial tukashindwa kusecure points.
I won't say no akisajiliwa ila si expect sana hilo kutokea.
Na hiyo bei sasa.
 
Nampenda vini yupo explosive na skills, ila ana vitabia ambavyo haviwapendezi watu vya kuprovoke marefa, wachezaji na hata mashabiki.. Anaweza akadraw attention ambayo haihitajiki kwenye nyakati crucial tukashindwa kusecure points.
I won't say no akisajiliwa ila si expect sana hilo kutokea.
Vini

UCL 2

La Liga 3

Tuonyeshe msimu ambao tabia za Vin unazosema zilichangia Madrid kukosa mafanikio kwenye NYAKATI CRUCIAL kama unavyodai
 
Sasa timu imenunua Rodgers halafu iongeze na Vinicius wa nini?

Vinicius alisababisha Alonso afukuzwe Madrid unadhani Alonso ana hamu na Vinicius?

Tabia ya vinicius ya unnecessary attention ni ngumu yeye kwenda Arsenal na wewe umejudge kutokana na hilo. Haujajudge juu ya financial muscle ya kumlipa zaidi ya 400K per week
Hata bei yake, Arsensl hawezi kutoa
 
Hata bei yake, Arsensl hawezi kutoa
Kubadilisha fikra za watu ni ngumu aiseeee. Imagine huyu mu-Arsrenali Bado 2026 ana mawazo kama tupo 2010s. Nyumbuz je itakuwaje.

Kroenke Interview baada ya kubeba EPL:

"We're not focused on the price tag—we're focused on quality."

"If we're not strengthening, we're stagnating or standing still. We need to keep evolving and not let complacency come into the picture."

"We're willing to invest when we believe a player's value is reflected by what they bring to the team and our chances of winning."
 
Taarifa ya Ornstein inaonesha they have discussed him(vini jr) and approved him at all levels, na huu ni usajili wa The Kroenkes kuliko Arteta naamini, pia i believe lengo ni kuongeza thamani ya Club na utajiri wake kiujumla
Mahasidi hawataki kukubaliana na huu ukweli
 
Ni suala la muda tu
HOjnYkNXMAA2Lak.jpg
 
Mnatoa €90m kwa Bruno G ambaye ana almost 29yrs ?

Pia mna records za fitness zake ?

Kuhs kiwango akiwa fit hilo hakuna mwenye shaka nae. ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom