Recent content by Mkono Mkavu

  1. Mkono Mkavu

    Baraza la Maaskofu Katoliki kuhamia Dodoma

    Komenti zingine za kipumbavu kabisa. Kanisa linapofanya mipango yake ktk kuboresha huduma zake kwa waamini wake halipangiwi na serikali wala wana jamii forum ndio maana hujawai sikia wanajibu hoja uchwara kama hizi. Kwani waislamu nani kawakataza kufanya mipango yao. Walipowapiga wakristo uko...
  2. Mkono Mkavu

    Sijawahi kuona Padre kilema

    Kwa kweli Biblia ni kitabu kitakatifu sana na unaitaji kujipanga sana kuelewa maandishi ya kibibilia. Wee bwana wee biblia sio novel. Sikia wanaposema Musa akuwa na uwezo wa kuongea jitahidi sana kuelewa spiritual sense ya andiko ilo. Musa alikuwa fit kuliko unvyofikilia hiyo ni lugha ya...
  3. Mkono Mkavu

    Nahitaji urafiki tu, mapenzi itategemea

    Ungetumia lugha moja ingekaa vizuri ulichokuwa unawaza. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Mkono Mkavu

    Nahitaji urafiki tu, mapenzi itategemea

    Reveal sio revealed Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mkono Mkavu

    Jioni ya leo nina furaja kukutana na Dada mpika Uji

    Hiyo ni habari njema kwa watanashati. Nadhani wameelewa Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Mkono Mkavu

    True story: Niliomba msamaha kwa siku 18 lakini bado sikusamehewa

    Mahaba niuwe. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mkono Mkavu

    Kuna Article nimeipata hapa imeandikwa na Liverpool Echo kuhusu Tanzania naomba Tuisome

    Huo ndio ukweli wenyewe tuko nje ya Ulimwengu almost ktk kila kitu to such extent kwamba hata sisi watanzania tu tunaoishi nje ya nchi zetu kwa sababu mbalimbali za maisha tunaona kero pindi turudipo nyumbani. Itakuaje kwa wageni kama hawa???? Mimi najiuliza sana tena sana ninapopaswa kumdirect...
  8. Mkono Mkavu

    Hivi unafahamu siku moja utakufa?

    Subiri utakapooza kabla ya kufa ndio utaogopa kifo. Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  9. Mkono Mkavu

    Escrow: Kilaini, Ngeleja, Tibaijuka, Naiko kila mtu anena lake. Wengine hawajui wamrudishie nani

    Utawajua tu. Kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake. Over. Sent from my TECNO H6 using JamiiForums mobile app
  10. Mkono Mkavu

    Rais Magufuli kakomesha upinzani

    Shukrani
  11. Mkono Mkavu

    Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

    Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married. Nimegundua watanzania kitakachotuua hatukijui mtu kama unachuki bnafsi...
  12. Mkono Mkavu

    Cardinal namba 3 wa Vatican ashitakiwa kwa ulawiti

    Ndugu umeandika umeeleweka sana. Nadhani ni wakati wa kusimama na kusali kumpinga muovu maana michango ya wanaJF inaweza kukuonyesha ni ulimwengu upi tulionao kwa sasa. Bnafsi ni mtamzania ninayeishi nchi flani hapa Ulaya ninaona namna wapinga Kristo wanavyowatafuta Mapadre na watumishi wengine...
  13. Mkono Mkavu

    Cardinal namba 3 wa Vatican ashitakiwa kwa ulawiti

    Cardinal George Pell alituumiwa kwa makosa hayo na watu wasiolipenda kanisa Katoriki mwaka 2013 yaani miaka mitatu iliyopita na sasa imekuwa revealed kwamba hakuhusika na kesi tajwa na hivyo ataondoka kwenda nchini kwake kusimama kwenye kesi hiyo kwa maana kwa muda wote huo alifungiwa ili...
  14. Mkono Mkavu

    Cosmological truth

    From what I know those who tried to define metafisical truths they all ended in vain believe me not what your are trying to do is just to use your physical knowledge to explain things metaphysical. Utaishia kuwa kichaaa tu kaka/dada. We had many stupid philosophers like Kniche a radical Germany...
  15. Mkono Mkavu

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Asante sana kwa kunistua maaana niko nje ya nchi kumbe nilitaja kujiridhisha na hiki Jajajajajaaaaaaaa
Back
Top Bottom