Rais Magufuli kakomesha upinzani

Rais Magufuli kakomesha upinzani

Hahaha sawa mkuu. Ila naona kama vyama vya siasa vya upinzani nchi hii vinasakamwa kiasi kwamba haiwezekani kabisa kuanzisha kiwanda. Zitazuka figisu figisu na kodi za kupakazia na vikwazo na gharama na faini na hatimaye kila kitu kitashindikana. Tangu nchi hii kupata uhuru sijawahiona utawala unathubutu kuharibu shamba tena shamba la mfano wa kilimo cha kisasa kwa sababu za chuki za kisiasa kama ambavyo nimeshuhudia katika awamu hii, sembuse kiwanda.
Haitoshi kuogopa figisu ambazo hazijaanzishwa.

Mimi ningeheshimu juhudi za wazi zitakazoanza, halafu serikli ilete figisu za wazi tuone.

Watanzania ni wavumilivu lakini kuna level fulani ya uvumilivu itashindwa kuvumilia.

Chama kianzishe kiwanda cha kuwapa ajira watu 500 halafu serikali ilete figisu.

Hiyo figisu tu inaweza kuwa mtaji wa kisiasa wa chama kuwa mobilize hao watu 500 kwenye vyombo vya habari kuonyesha serikali onevu inavyoua jitihada za kiuchumi za vyama kujenga viwanda nchini na kutoa ajira.

Vyama vinaweza kusema tunaitikia wito wa rais wa kuanzisha viwanda nchini, lakini tunakuwa frustrated na Draconian code.Ukiweka mambo wazi hivi wananchi wataona, hao watu 500 watasema kwenye familia zao na kwa jirani zao.

Siasa zitachukua sura ya uhalisia zaidi, kupita nadharia.

Hili halijafanyika bado.

Of course serikali ya sasa haitabiriki. Unaweza kufikiri itawabana wanasiasa, ukaona Magufuli kasema waachiwe wafanye biashara.

Ney wa Mitego alivyokamatwa na polisi waliojipendekeza kwa Magufuli, hakuna aliyetegemea Magufuli atamtetea na kumualika Ikulu.

Magufuli ni wa kumtest tu, si wa kumuogopa.

Ukiogopa umeshindwa hata kabla hujaanza. Ukitest unaweza kuzuiwa, unaweza pia usizuiwe.

Tatizo wapinzani wengi hawana uthubutu katika hili, ingawa sitaki ku sound kama naina minimize juhudi zao nyingi zenye uthubutu mwingi sana.
 
Sioni kama ni kweli usemalo maana sasa hivi mkiambiwa ukweli mnasema mmetukanwa kisa mna madaraka. Halafu mkiulizwa mmetukanwaje hamna maelezo yaliyonyooka. Hebu nitajie mpinzani aliyepelekwa mahakamani kwa matusi akafungwa, zaidi ya kutumia madarakana na dola vibaya kupeleka watu gerezani. Mnasema mna hoja, lakini mtu akiwasikiliza mnajivunia kupora hoja za wapinzani!! Nilitaraji ili ithibitike kwamba wapinzani wanatukana ilipaswa ifunguliwe kesi mahakamani kisha mtu akutwe na hatia. Kinyume na hapo kinachoendelea ni kucheza siasa chafu dhidi ya wapinzani wenu kisa mko madarakani.


Hawa jamaa ni waporaji hatari kabisa:
- Wanapora ushindi
- Wanapora sera
- Wanapora hoja
- Wanapora rasilimali za nchi
- Wanapora uzalendo
- Wanapora hadi ufahamu wa wananchi
 
Haitoshi kuogopa figisu ambazo hazijaanzishwa.

Mimi ningeheshimu juhudi za wazi zitakazoanza, halafu serikli ilete figisu za wazi tuone.

Watanzania ni wavumilivu lakini kuna level fulani ya uvumilivu itashindwa kuvumilia.

Chama kianzishe kiwanda cha kuwapa ajira watu 500 halafu serikali ilete figisu.

Hiyo figisu tu inaweza kuwa mtaji wa kisiasa wa chama kuwa mobilize hao watu 500 kwenye vyombo vya habari kuonyesha serikali onevu inavyoua jitihada za kiuchumi za vyama kujenga viwanda nchini na kutoa ajira.

Vyama vinaweza kusema tunaitikia wito wa rais wa kuanzisha viwanda nchini, lakini tunakuwa frustrated na Draconian code.Ukiweka mambo wazi hivi wananchi wataona, hao watu 500 watasema kwenye familia zao na kwa jirani zao.

Siasa zitachukua su? ?ra ya uhalisia zaidi, kupita nadharia.

Hili halijafanyika bado.

Of course serikali ya sasa haitabiriki. Unaweza kufikiri itawabana wanasiasa, ukaona Magufuli kasema waachiwe wafanye biashara.

Ney wa Mitego alivyokamatwa na polisi waliojipendekeza kwa Magufuli, hakuna aliyetegemea Magufuli atamtetea na kumualika Ikulu.

Magufuli ni wa kumtest tu, si wa kumuogopa.

Ukiogopa umeshindwa hata kabla hujaanza. Ukitest unaweza kuzuiwa, unaweza pia usizuiwe.

Tatizo wapinzani wengi hawana uthubutu katika hili, ingawa sitaki ku sound kama naina minimize juhudi zao nyingi zenye uthubutu mwingi sana.

Unasemaje kuhusu uwekezaji ambao ulishafanyika na kutoa ajira kwa wananchi kadhaa na hatimaye tukaambiwa polisi wamepelekwa kuharibu? Kwa kadiri yangu, kiwanda sio zaidi ya kilimo kwa sababu kilimo ndicho kinachotoa mali ghafi kwaajili ya viwanda. Sasa kama mtu kawekeza fedha nyingi kwenye kilimo lakini serikali inaharibu shamba bado unasema vyama havijathubutu au unataka kiwanda cha CUF, kiwanda cha CHADEMA, kiwanda cha NCCR n.k?
 
Unasemaje kuhusu uwekezaji ambao ulishafanyika na kutoa ajira kwa wananchi kadhaa na hatimaye tukaambiwa polisi wamepelekwa kuharibu? Kwa kadiri yangu, kiwanda sio zaidi ya kilimo kwa sababu kilimo ndicho kinachotoa mali ghafi kwaajili ya viwanda. Sasa kama mtu kawekeza fedha nyingi kwenye kilimo lakini serikali inaharibu shamba bado unasema vyama havijathubutu au unataka kiwanda cha CUF, kiwanda cha CHADEMA, kiwanda cha NCCR n.k?
Hata hiyo habari upinzani haujaitumia ipasavyo kuonyesha uonevu wa serikali.

Serikali ni dhaifu kwa sababu inategemea nguvu za dola kukandamiza upinzani halali.

Upinzani ni dhaifu kwa sababu unapokandamizwa haupazi sauti inavyotakiwa kupingana na serikali.

Sasa hivi ilitakiwa Mbowe awe jela kwa kupingana na ukandamizi huu, Lissu awe kafungua kesi kushitaki wahuni waliomfanyia ushenzi Mbowe, katibu mwenezi wa CHADEMA alitakiwa kuwa all over the place anaongelea hili, hapa JF kulitakiwa kuwe na uzi moto moto unaongelea hili.

Sioni haya.

Au yanafanyika huko mimi niko mbali tu?
 
Hata hiyo habari upinzani haujaitumia ipasavyo kuonyesha uonevu wa serikali.

Serikali ni dhaifu kwa sababu inategemea nguvu za dola kukandamiza upinzani halali.

Upinzani ni dhaifu kwa sababu unapokandamizwa haupazi sauti inavyotakiwa kupingana na serikali.

Sasa hivi ilitakiwa Mbowe awe jela kwa kupingana na ukandamizi huu, Lissu awe kafungua kesi kushitaki wahuni waliomfanyia ushenzi Mbowe, katibu mwenezi wa CHADEMA alitakiwa kuwa all over the place anaongelea hili, hapa JF kulitakiwa kuwe na uzi moto moto unaongelea hili.

Sioni haya.

Au yanafanyika huko mimi niko mbali tu?

Unakumbuka mambo ya UKUTA?

Jamaa walipigwa biti moja kali sana wakaishia kunywea!

Mimi niliwapa heads-up humu kuwa endapo wangenywea basi wangejiweka katika hali flani ya unyonge.

Haya ya sasa ndo matokeo ya huko kunywea kwao.
 
Unakumbuka mambo ya UKUTA?

Jamaa walipigwa biti moja kali sana wakaishia kunywea!

Mimi niliwapa heads-up humu kuwa endapo wangenywea basi wangejiweka katika hali flani ya unyonge.

Haya ya sasa ndo matokeo ya huko kunywea kwao.
Nafikiri pale walimpa confidence sana Magufuli kuendeleza udikteta wake.

Na walikuwa na uwezo sana wa kumpunguza kasi, lakini hawakuutumia.
 
Hata hiyo habari upinzani haujaitumia ipasavyo kuonyesha uonevu wa serikali.

Serikali ni dhaifu kwa sababu inategemea nguvu za dola kukandamiza upinzani halali.

Upinzani ni dhaifu kwa sababu unapokandamizwa haupazi sauti inavyotakiwa kupingana na serikali.

Sasa hivi ilitakiwa Mbowe awe jela kwa kupingana na ukandamizi huu, Lissu awe kafungua kesi kushitaki wahuni waliomfanyia ushenzi Mbowe, katibu mwenezi wa CHADEMA alitakiwa kuwa all over the place anaongelea hili, hapa JF kulitakiwa kuwe na uzi moto moto unaongelea hili.

Sioni haya.

Au yanafanyika huko mimi niko mbali tu?

Yamefanyika sana na ninaamini yanaendelea kufanyika. Unapopigania jambo unahitaji sana uungwaji mkono, ndipo unapoweza kupata nguvu kuendelea na jambo. Wapinzani nimeona wakijaribu sana kuibua mambo mengi wakitarajia kupata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi lakini wananchi wanaogopeshwa na vyombo vya dola na hivyo wanabaki au kuwa frustrated au kunung'unika chini chini. Kwa jinsi ninavyofuatilia mambo nchi hii nawapa big up sana wapinzani kwa sababu wanajitahidi kuuhabarisha umma na kujaribu kuuamsha umma kupigania haki zao ila wakati wote wamekuwa wakichukua tahadhali kubwa kuhakikisha amani inakuwepo. Wanajitahidi kuleta mabadiliko lakini bila kuathiri amani ya nchi tuliyorithishwa japo amani yenyewe inakuwa na walakini. Hii ndio maana wanaonekana kama dhaifu.
 
Yamefanyika sana na ninaamini yanaendelea kufanyika. Unapopigania jambo unahitaji sana uungwaji mkono, ndipo unapoweza kupata nguvu kuendelea na jambo. Wapinzani nimeona wakijaribu sana kuibua mambo mengi wakitarajia kupata uungwaji mkono kutoka kwa wananchi lakini wananchi wanaogopeshwa na vyombo vya dola na hivyo wanabaki au kuwa frustrated au kunung'unika chini chini. Kwa jinsi ninavyofuatilia mambo nchi hii nawapa big up sana wapinzani kwa sababu wanajitahidi kuuhabarisha umma na kujaribu kuuamsha umma kupigania haki zao ila wakati wote wamekuwa wakichukua tahadhali kubwa kuhakikisha amani inakuwepo. Wanajitahidi kuleta mabadiliko lakini bila kuathiri amani ya nchi tuliyorithishwa japo amani yenyewe inakuwa na walakini. Hii ndio maana wanaonekana kama dhaifu.
Tatizo la upinzani hawajapata mtu kichaa anayeweza kuanzisha zali la "najitoa muhanga, liwalo na liwe".

Hata Tundu Lissu hajafika level hiyo.

Akipatikana mtu wa hivyo, akajipanga vizuri, aka raise level ya figisu iwe juu kabisa, huku chini watu wataona figisu ndogo ndogo poa tu.

Sasa hivi ukiacha upinzani, kuna CCM kibao hawampendi Magufuli. Kuna watu kibao wametumbuliwa summarily.Kuna watumishi wa serikali kibao hawapendi alivyopiga stop kupandishwa vyeo.Kuna watumishi kibao hawapendi harassment ya ujinga wa kuhakiki vyeti mara mia mia.

Upinzani hauja tap kwa hao.

Sijasikia effort ya maana kwenye hili. Upinzani ni kama unategemea Magufuli a implode tu.

Tatizo ni kwamba, hata Magufuli aki implode, watu wataona ni showmanship yake tu na hiyo ni baruti ya tafrija zake.
 
Tatizo la upinzani hawajapata mtu kichaa anayeweza kuanzisha zali la "najitoa muhanga, liwalo na liwe".

Hata Tundu Lissu hajafika level hiyo.

Akipatikana mtu wa hivyo, akajipanga vizuri, aka raise level ya figisu iwe juu kabisa, huku chini watu wataona figisu ndogo ndogo poa tu.

Sasa hivi ukiacha upinzani, kuna CCM kibao hawampendi Magufuli. Kuna watu kibao wametumbuliwa summarily.Kuna watumishi wa serikali kibao hawapendi alivyopiga stop kupandishwa vyeo.Kuna watumishi kibao hawapendi harassment ya ujinga wa kuhakiki vyeti mara mia mia.

Upinzani hauja tap kwa hao.

Sijasikia effort ya maana kwenye hili. Upinzani ni kama unategemea Magufuli a implode tu.

Tatizo ni kwamba, hata Magufuli aki implode, watu wataona ni showmanship yake tu na hiyo ni baruti ya tafrija zake.


Of course uko sahihi ila vyama vya upinzani vinahitaji sana umoja ndipo hili litawezekana. Chama kimoja kikiamua kuwa na msimamo mkali hata kuanzisha zali utasikia vitisho vya kukifuta kwa sababu kinaleta fujo na kuhatarisha amani ya nchi. Utawasikia watawala wakitamka na kuvitaja vyama vya upinzani ambavyo vinaendesha siasa za kistaarabu na kwamba hivyo ndivyo vinatakiwa kuigwa. Vile vyama vinavyo sifiwa na watawala wakati vyenyewe sio vyama tawala ujue vinakuwa tatizo kubwa sana kwenye umoja wa upinzani.
 
Tatizo la upinzani hawajapata mtu kichaa anayeweza kuanzisha zali la "najitoa muhanga, liwalo na liwe".

Hata Tundu Lissu hajafika level hiyo.

Akipatikana mtu wa hivyo, akajipanga vizuri, aka raise level ya figisu iwe juu kabisa, huku chini watu wataona figisu ndogo ndogo poa tu.

Sasa hivi ukiacha upinzani, kuna CCM kibao hawampendi Magufuli. Kuna watu kibao wametumbuliwa summarily.Kuna watumishi wa serikali kibao hawapendi alivyopiga stop kupandishwa vyeo.Kuna watumishi kibao hawapendi harassment ya ujinga wa kuhakiki vyeti mara mia mia.

Upinzani hauja tap kwa hao.

Sijasikia effort ya maana kwenye hili. Upinzani ni kama unategemea Magufuli a implode tu.

Tatizo ni kwamba, hata Magufuli aki implode, watu wataona ni showmanship yake tu na hiyo ni baruti ya tafrija zake.
Wasiompenda Magufuli ni wale wenye dhambi.
 
Tanzania hakuna vyama vya siasa, kuna magenge ya kutafuta ulaji tu.

Si CCM wala upinzani.

Na Magufuli ni gubegube ambalo linafunga kamba vitoto mikono na kuvicharaza mpaka vitokwe damu.

Huwezi kulisifia kwamba limekomesha vitoto.

Hili jitu ni hayawani lisilona simile wala rehani.
utakuwa.ww ni jibu
 
Not every human being fit the real definition of human being; and the number of real human beings today,if any,that number itself is not real...
Nakusihi sana usiandike kwa Kiingereza kwa sababu hukiwezi. Usichafue lugha za watu.
 
Back
Top Bottom