Jioni ya leo nina furaja kukutana na Dada mpika Uji

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
Habari za Mida?

Wajasiriamali poleni na wale tuliobinasifisha muda wetu baada ya sisi kutokuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha na baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hupika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikombe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

Kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anaojilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naona inabidi watu waachane na kukariri mfumo wa 7-4-2-3/4
Yaani Primary, Secondary, High, College

Mtu akifika Form Four ana uwezo mkubwa sana wa kuendeleza maisha
Huko mbele watu wanaenda na kujikuta hata zile ndoto zao hazifanikiwa na anajikuta amepoteza muda

Ni maoni yangu
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Heri ya huyu kuliko yule Mchoma Mahindi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu amejitambua kuwa alibugi kusomea Procurement ambayo haina ajira kuanzia nyumbani hadi serikalini.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi naona inabidi watu waachane na kukariri mfumo wa 7-4-2-3/4
Yaani Primary, Secondary, High, College

Mtu akifika Form Four ana uwezo mkubwa sana wa kuendeleza maisha
Huko mbele watu wanaenda na kujikuta hata zile ndoto zao hazifanikiwa na anajikuta amepoteza muda

Ni maoni yangu
Ndoto Tanzania? Wangapi wana tembea kwenye ndoto zao? Waalio ajiriwa wengi sio Kazi walizo somea.

Vyioni kwenyewe ndoto zipia wakati mtu ana upply Vyuo vitano kozi tofauti?

Acha kuongelea Ndoto.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vema mhitimu kuwa na uwezo wa kutengeneza ajira yake itakayomfanya ajipatie kipate, lakini serikali na jamii kwa ujumla tuna shida kubwa, kama tunafikia hatua ya kushindwa kukabiliana na tatizo la ajira kwa kiasi hiki ni hakika elimu yetu haina maana kabisa, leo mtoto atapata hamasa wapi ya kutumia muda wake kujifunza vitu ambavyo katika maisha yake hatovitumia kuyakabiri mazingira yake, Kama taifa na jamii kwa ujumla tunaendelea siku hadi siku kuonyesha dhahili kiwa elimu haina maana kabisa, na huyu dada muda wote alioutumia chuo umepotea bure kwasababu kama angeamua kuanza hii biashara mapema basi angekuwa mbali sana.
 
Habari za Mida? Wajasiriamali poleni na wale tulio binasifisha muda wetu baada ya sisi kuto kuwa na kazi nao pia poleni.

Jioni hii niko naongea na Dada anaye uza uji baada ya kupita kupata kikombe cha uji. Huyu Dada kasoma Chuo cha Uhasibu Arusha ina baada ya kuhitimu kaamua ajiajiri kwa kupija uji na kuuza.

Anasema kwa siku hipika Themos 15 zile kubwa kabisa za mahotelini. Na kwa sababu ana tumia vikonbe vikubwa basi kila themos hutoa vikombe 8 tu.

Themos 15 x 8 ni vikombe 120.

Vikonbe 120 x 500= 60,000/

Akitoa gharama zote kama Sukari, mkaaa, Siagi, unga, Maji na maziwa basi anaweza tunza faida ya 30,000/

Siku mbaya huwa ni elfu 20 na siku zingine 25.

30,000/ x siku 30= 900,000/

kwa mwezi anaweza pata hiyo pesa.

Mshahara wake kwamwezi anao jilipa ni mkubwa kuliko sisi wavaa tai asubuhi.

NB: Dada kasomea Procurement.

AIBU NA UOGA NDO MUHIMILI WA UMASIKINI WAKO.

Endelea kumuonea aibu Demu wako/Mchumba/mke/Rafiki/jirani yako/wafanyakazi wenzako na kadhalika.



Sent using Jamii Forums mobile app
Vizuri sana,pongezi kwake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom