Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Kanisa katoliki nchini Malta labariki Ushoga

Wana laana na sio wakristo ni mashetani Mungu awalaani na kizazi chote Amina.

Tena wana laana hasa! ila mjue na sisi Waislam tunavopiga kelele juu ya ugaidi kuwa wale sio waislam bali wachafuzi wa dini wenye malengo yao! MUWE MNAELEWA! kuna watu humu ndani wanatutukana sana waislam wakisikia ugaidi sehemu tushasema sana hawa ni wachafuzi! sasa naona ngoma inarudi kinyume nyume! Muwe mnaelewa KUNA WACHAFUZI WA DINI KWA MALENGO YAO!
 
hapo unaongelea maisha binafsi ya mapadri, hapa tunaongelea kanisa katoliki

Acha kucheza na maneno nipe mahali linapokaa hilo kanisa katoliki nami nikuambie wanapokaa hao mapadri wakifanya huo ufuska. Ni wapi kama sio huko katoliki?? Katoliki sio mtu ni shirika ambalo haliwezi kufanya chochote, watu ndi hulawitiana humo ndani ya hilo shirika.
Nimesema tangu mwanzo kuwa sina chuki na mtu wala dini ya mtu.
 
Hapo sasa Ndio uone seriousness ya kanisa!? Kama mtu ametuhumiwa na kanisa likamsimamisha ili kupisha uchunguzi what else did you expect? Kuna Wana JF makini na makinikia wewe ni the late

Nashukuru kwa kunielewa
 
Acha kucheza na maneno nipe mahali linapokaa hilo kanisa katoliki nami nikuambie wanapokaa hao mapadri wakifanya huo ufuska. Ni wapi kama sio huko katoliki?? Katoliki sio mtu ni shirika ambalo haliwezi kufanya chochote, watu ndi hulawitiana humo ndani ya hilo shirika.
Nimesema tangu mwanzo kuwa sina chuki na mtu wala dini ya mtu.
Kwa kufuatana na uelewa wako basi, kama katika jamii ya tz (nikiamini upo tz) kuna mafuska basi na wewe ni fuska?
 
Kwa kufuatana na uelewa wako basi, kama katika jamii ya tz (nikiamini upo tz) **** mafuska basi na wewe ni fuska?

Mkuu;
Mimi sio mkatoliki na nimekuambia huo ufuska unafanyikia humo kanisa katoliki. Kama utaenda na mtiririko sijakoment popote kuwa Tanzania ni mafuska. Mbona unaniwekea maneno?? Ukatoliki wako ndo utunyime sisi kukomenti??
 
Ratiba ya ulimwengu, kwa wanaofuatilia dunia kwa jicho la unabii wa miaka zaidi ya 3000 iliyopita wanazidi kuimarika na kuona sababu za kumtafuta Mungu kwa dhati kabisa leo kuliko siku nyingine yoyote.

bado muda kidogo tu, dunia nzima itastaajabu.
Mseza mkulu wafumola kuzima.
 
Malta Archbishop Charles Scicluna told a church community recently: "We are not against gays... But we do not need to change the way in which God created marriage to enable us to say that two men or two women can get married.
Nimegundua watanzania kitakachotuua hatukijui mtu kama unachuki bnafsi na kanisa katoriki bora ukaseme au shida ni nini yaani siwaelewi watanzania au ni vile kingereza hakieleweki kwa watu wengi mpaka mtoa uzi anakurupuka. Kinachonisikitisha ni namna watu wengi wanavyochangia wakikashifu na kutoa maneno makali namna hii bila hata kusoma na kujiridhisha juu ya hicho kinachosomwa.
Kwa kifupi wakatoriki hasa viongozi wa Kanisa ni wasomi wakubwa na ukitaka kuelewa speech zao lazima usome between lines kwa kjzazi cha Leo cha watanzania ni ngumu sana kuelewa ndio maana mtaendelea kutoa mapovu na mwisho wa siku kanisa liko imara kama chuma cha mjapani na linaendelea kujipambanua ktk maendelea yake ya kimwili na kiroho. Kwa mtu makini ambaye ameingia na kusoma kilichoandikwa kwenye hiyo line awezi kuja hapa na kukurupuka kuchangia namna hii ninavyoona labda wale wanaopambana na ukatoriki bila kujua historia ya kanisa. Nimepata wasiwasi mkubwa na watanzania.
Poleni sana
 
Watu wasichoelewa binadamu hajiendeshi yeye kama yeye,kuna uhusiano mkubwa kati ya mwili na roho,...sasa kinachotokea shetani anazijaribu izi roho,..itakayo kua weak lazima izame kweny hisia zake,...zitakazo weza ndo zinaongoka kwa iyo huwez zuia roho ikipenda hisia za kimwili,au inachukua muda,...kwa iyo my point,... ii hali itaendelea mpaka izi roho zishinde na mambo yatabadilika hapo,...
 
Mkuu;
Mimi sio mkatoliki na nimekuambia huo ufuska unafanyikia humo kanisa katoliki. Kama utaenda na mtiririko sijakoment popote kuwa Tanzania ni mafuska. Mbona unaniwekea maneno?? Ukatoliki wako ndo utunyime sisi kukomenti??
Unaposema ufuska unafanyika kanisa katoliki unaji expose ulivo na akili ndogo. Ufuska ni dhambi ni katazo katika amri za Mungu lakini binadamu wote wanaanguka kwenye dhambi na kanisa katoliki linakemea mno ufuska mifano miwili
1. Ukiwa na kijana wako anaishi na mke au mume bila ndoa (kanisa linachukulia kuwa huo ni uzinzi) wewe mzazi huruhusiwi kushiriki sakrament hadi wanao wafunge ndoa
2. Ukizaa mtoto nje ya ndoa (ndani ya uzinzi) habatizwi hadi ufunge ndoa. Sijawahi kuona kanisa lolote la Kristu linalolinda ufuska labda haya makanisa yenu ya kishetani
 
Mkuu;
Mimi sio mkatoliki na nimekuambia huo ufuska unafanyikia humo kanisa katoliki. Kama utaenda na mtiririko sijakoment popote kuwa Tanzania ni mafuska. Mbona unaniwekea maneno?? Ukatoliki wako ndo utunyime sisi kukomenti??
Haya basi tufanye hivi, weka hapa uthibitisho kuwa kanisa katoliki ni mafuska au mapunga, kama huwezi basi kauli zako hazima mashiko sepa tu
 
Back
Top Bottom