ukweli usemwe tu hata kama unauma waislamu sio kwamba hawatakiwi chadema na wenyewe wamegundua kwamba chadema sio chama chao na hao waliobakia huko ni vichwa maji
Wazungu wengi sasa wameanza kuusoma kwa undani na kugundua upotoshwaji mkubwa uliokuwa ukifanywa na makafiri na makabaila ili mifumo yao ya ukandamizaji na unyonyaji ikubalike duniani kote.kuanza kutumika kwa kasi kwa mifumo ya kislaamu ya kibenki na bima kunaenda sambamba na kusilimu kwa watu...
Msimtukane mnachotakiwa kufanya ni kurekebisha kasoro zilizotajwa kwani wote wanaoichukia chadema wanatoa kassoro hizo.la sivyo mtabaki na wanywa viroba tu ambao hata hawana vitambulisho vya kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.