Siipendi CHADEMA kwa asilimia mia

Siipendi CHADEMA kwa asilimia mia

Nimepitia post zote nakugundua kuwa kuna baadhi ya Wanamaker CDM wameathirika Na upenzi , Mbowe alihitimu Form VI nakupata dv gani? Kuna huna habari, Mbowe alivuna ZERO. Kama hiyo ni Elimu basi hongera. STD viii ya zamani ni saws Na first Degree ya Leo. Halafu kumbuka Maris Wa Zamani kuongoza nchi bila Elimu ilikuwa sawa Keanu Hata waongozwaji nao hawakuwa Na Elimu za juu. Leo itawezekanaje Mbowe aongoze maprofesa
 
Mkuu PetroE.Mselewa, nini maoni yako juu ya majibu ya mkereketwa mwenzio wa chadema hapo juu.
Kwanini msiwafundishe vijana kama huyo kutoa majibu ya kiungwana kama yako?

Mkuu Ndibalema,nani kakuambia mimi ni mkereketwa wa CHADEMA? Kuhusu lugha na majibu,kila mtu ana yake
 
Last edited by a moderator:
Msimamo huu unatokana na tabia ya vionfozi wa chadema kufanya mambo yafuatayo kila kukicha;
1. Viongozi wa cdm kutukana Serikali kila kukicha
2. Viongozi kudai eti ni wakombozi wa Watanzania
3. Viongozi kuwafukuza wanacdm wasiotoka Kaskazini
4. Viongozi wa cdm kuendesha mikutano mingi sana kanda ya ziwa, Kati, Magharibi, na Dsm kana kwamba Kilimanjaro walishaendelea mno na kwamba hakuna matatizo.
5. Chadema kutofanya mikutano jimbo la Vunjo na kulalamikia kasi ndogo ya maendeleo pia hata kutukana Mbunge wa Vunjo.
6. Chadema kulazimisha Sedikali tatu na kutaka kuwachochea Wananchi waandamane kwa faida yao.
7.Cdm kutumia mamilioni ya fedha za ruzuku kwenye kampeni ambazo hazina tija.
8. Chadema kuongozwa na Mbowe asiyekuwa na Elimu yeyote ile.
9. Chadema kuendelea kupanga kwa Mbowe na kutozwa kodi kuuubwa ya pango.
10. Chadema kuwa na wsnachama, wafurukutwa, washabiki wengi wanywa viroba na bangi.

Mimi naipenda sana CCM kwa kuwaua Raia akiwemo Daud Mwangosi, Naipenda CCM kwa kuuza dhahabu zetu kwa bei chee, Naipenda CCM kwa kuwafukuza wananchi kwenye maeneo yenye madini, Naipenda CCM kwa kupiga deal ya kuidhoofisha TANESCO, Naipenda CCM kwa kupandisha bei ya umeme, Naipenda CCM kwa kupandisha gharama za maisha, Naipenda CCM kwa kuwafaulisha wanafunzi 5000 wasiojua kusoma wala kuandika, Naipenda sana CCM kwa kuwasamehe wezi wa EPA na kuwafunga wezi wa kuku maisha, Naipenda sana CCM kwa kuuza vitalu vya gesi na kuweka fedha uswis, Naipenda CCM kwa kuwashughulika madaktari wanaodai huduma za afya ziboreshwe, Naipenda CCM kwa kuwarithisha vijana wao majimbo, Nawapenda CCM kwa kusafirisha wanyama hai, Nawapenda CCM kwa kuua Tembo wanaoharibu mazingira! Nawapenda sana CCM kwa kutowajali walimu kwa unoko wao! Nawapenda sana CCM kwa kuchangisha mbio za mwenge, Nawapenda sana CCM kwa kuendelea kung'ang'ania jumuiya ya Africa mashariki japo hatufaidiki kwa lolote, nawapenda sana CCM kwa kuhakikisha PK na M7 hawanufaiki na rasilimali za Congo bali wazungu tu, Nawapenda sana CCM kwa kujadiliana na Dada Joyce namna bora ya kumuachia ziwa nyasa... I LOVE CCM with all my Heart n Soul kwa kunawirisha UJINGA, MARADHI na UMASIKINI kwa jamii ya Kitanzania...RIP JKN...
 
Wewe mwehu kabisa kwani usipoipenda unaipunguzia nini wewe kilaza baki na chama chako cha MAJAMBAZI,kinacho minya uhuru wa mawazo na kung'ang'ania madaraka,kwanza wananchi wameshawajua vyakutosha jinsi mnavyowafanya kuwa wajinga,viongozi wenu kama wanatupeleka kusiko lazima tuwaseme hata kwakuwatukana hata wewe ------ tu na kubwa jinga na wewe inaonesha upeo wako mdogo kama maviongozi yako na ndo maana unapost ujinga wako shenzi mkuma wewe.ikome chadema ni chama cha ukombozi.

Kweli chagadema mmeshikwa pabaya! yaani mitusi unayoporomosha inaashiria kweli mnakunywa sana gongo na viroba!
 
Tangu lini shetani akampenda msema kweli? Huwa anapenda kukaaa na watu waongo na wadhulumati.
 
Nimesoma hizo sababu zako number ## 8

Nina swali; Hivi Kuishia FORM VI sio elimu yoyote? Sasa kulikuwa na Rais wa Zanzibar
Rais wa kwanza wa Zanzibar - Karume had little formal education and worked as a seaman before entering politics

Idris Abdul Wakil (1925–15 March 2000) was the President of Zanzibar from 24 October 1985 to 25 October 1990

Aliishia Darasa la 8; na kwenda UALIMU... alikuwa kiongozi pekee ndani ya ASP aliyekuwa na ka-ELIMU

** LAKINI WOTE Waliiongoza NCHI YAO... kwahiyo then Unakichukia CHAMA CHA MAPINDUZI kwa sababu HIYO ?? au ni Unafiki ???

Kati ya zooote ya MUHIMU ni hiyo # 8; kwahiyo nimekupa mfano kwa MARAIS ambao hawakusoma kama Unavyosema - Lakini waliiongoza Zanzibar vizuri tuuu...

Ukitaka SIASA ondoa CHUKI; Vyama vya KISIASA ni uhusiano wako na nafsi yako; HauitaJI KUTANGAZIA ULIMWENGU KASORO ZAKO


c.c
Makusudically

Mkuu cyo karume tu ndani ya CCM hata huyu wa sasa anayeitwa mkuu wa jamhuri ya muungano wa TZ naye ni zuzu tu hajui chochote,Huyu tuliye naye kwa sasa haelewi hata kazi iliyompeleka pale magogoni.
 
Leta single nyingine hiyo ilishachuja na kubuma! M4C PAMOJA DAIMA ndiyo habari ya watu walio timamu kwa sasa!

Hata m4c imechuja sana haina inshu wala dira na sera ya mafisadi imepwaya tafuteni sera nyingine
 
Ukisikia mke wako anamsema mwanaume yeyote kuwa hampendi,hapo jua kwamba mkeo anampenda huyo jamaa kupita kiasi ila anasema hivyo ili kukutoa kwenye wazo la kumstukia.Hata wewe mleta maada inaonekana huipendi chadema mchana lakini usiku huwa una mahaba ya dhati kwa cdm.Wewe ni miongoni mwa watu wanaoipenda chadema kupita kiasi.
 
Nimepitia post zote nakugundua kuwa kuna baadhi ya Wanamaker CDM wameathirika Na upenzi , Mbowe alihitimu Form VI nakupata dv gani? Kuna huna habari, Mbowe alivuna ZERO. Kama hiyo ni Elimu basi hongera. STD viii ya zamani ni saws Na first Degree ya Leo. Halafu kumbuka Maris Wa Zamani kuongoza nchi bila Elimu ilikuwa sawa Keanu Hata waongozwaji nao hawakuwa Na Elimu za juu. Leo itawezekanaje Mbowe aongoze maprofesa
Kama Mbowe alikuwa na zero wewe utakuwa na negative,ulichoandika nahisi ni wale la saba wanao faulu huku hawajui kusoma wala kuandika..
 
Mi popote sitaki chadema wala CCM wala cuf natwanga kotekoteews
 
Back
Top Bottom