Kifo cha CCM kimetimia

Kifo cha CCM kimetimia

ccm wanaenda kufa vibaya mana wanakataliwa kila kukicha.wanalazimisha kukubalika kwa pesa.

leo UDA zimefanya kazi ya kusomba wasela wa BUGURUNI KWA MNYAMANI kuwapeleka NKURUMA HALL eti waonekane ni wasomi wamejaza ukumbi !
 
Mtabaki kama fisi akiusubili mkono wa binaadamu uanguke wakati hauanguki kamwe. Na mwisho wa upinzani 2015 anaebisha aangalie tu
 
Yaaani katika post zilizotumwa humu ambazo ni za kipuuzi sijaona kama hii ya sir R utabaki na labda mpaka yesu arudi
 
Mtabaki kama fisi akiusubili mkono wa binaadamu uanguke wakati hauanguki kamwe. Na mwisho wa upinzani 2015 anaebisha aangalie tu

Mkuu, fikiri mbali zaidi, kwa nini unadhani kwamba ni upinzani tu ndio wenye matarajio ya kuiangusha CCM?

Kama unaijua vema historia ya TANU hadi kuzaliwa CCM 1977 na maendeleo yake hadi hivi sasa, mahali pengine huhitaji kuufikiria sana upinzani kama kaburi la chama hiki. Mchawi wa chama hiki ni wanachama wao wenyewe na jeneza lao wanatengeneza wenyewe, hata misumari watapigilia wenyewe!

Kwa hiyo hao wapinzani na wengine wasiokuwa na vyama ni wasindikizaji tu wa msiba huu. Kama unayo historia japo kidogo tu, ilikuwa huwezi kukijadili hiki chama hadharani hivi na ukabaki salama! Leo kimeingiliwa hadi chumbani, tena na wanachama wao wenyewe.

Inaonyesha ni kwa kiasi gani watu wamepoteza imani na ni kwa kiasi gani chama kimepoteza nguvu. Ni kama simba mzee anayetegemea mngurumo wake kumkimbiza adui ilhali kucha na meno yameshang'oka.

Mimi sio adui wa CCM, ila ndio tulioilea TANU Youth League hadi CCM yenyewe mpaka hapa ilipo; lakini hatuwezi kukimbia kivuli chetu wenyewe. Mchawi wa CCM ni CCM yenyewe!
 
Sayuni toka cdm na cuf mpaka leo hii nani? Kaziongoza hizo ngo kama c hao yaani wapo kama mugabe vile na zimbabwe
 
Ni kweli alafu wanajifanya eti wanataka kuwakomboa watanzania kumbe wanataka kukomboa matumbo yao. Tia mguu ugombee uenyekiti au ukatibu sasa hivi utaitwa msaliti
 
Nina imani kubwa kwamba wafanyakazi wengi hawatampa kura JK. Lakini pia nina wasiwasi kwamba waislamu wengi hawana msimamo, kwa kuwa wana kasumba za udini, hivyo wanaweza kumpigia JK kwa minajili ya udini. Au wanaweza kumpigia Lipumba. Kwa kufanya hivyo watapunguza kura za wapinzani (kwa kuwa zitagawanywa kati yao) wakati zile za wanachama wa CCM na wale asilimia 75 ambao ni fuata upepo, zinaweza kurudi kwa JK. Na hivyo kumpa ushindi.

Kuna haja ya kuharmonize uwepo wa kampeni safi zisizoingiza itikadi za kidini. Hili litatusaidia sana katika kuwa na uchuguzi huru na wa haki.

Kwani JK atagombea tena au kuna JK mwingine aliyetangaza nia?
 
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.

Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)

2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.

3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)

4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)

5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )

6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)

7. Kununua wapinzani

8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)

9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)

10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.

CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
mkuu una moyo sana,miaka 15 ?ili awe delete kufanya nn nchi hii,mchakato huu wa katiba mpya ndiyo sanda ya kuizikia ccm,wewe acha waendelee kujifanya viziwi
 
Kadri siku zinavykwenda naona dalili zote za CCM kuanguka. Hakuna atakayeweza kuiokoa chama hiki kongwe. Naona anguko hilo litatokea ndani ya miaka kumi na tano (15). Watakaokingusha CCM ni wana CCM wenyewe, si vyama vya upinzani.

Zifuatazo ni dalili ya kuanguka kwa CCM
1. Upendo kati ya wanachama umekwisha, ni ugomvi usiokwisha ( Sitta camp Vs Rostam camp)

2. Fedha ni kipaumbele siyo Sera au hoja.

3. Wasemaji wa chama ni wapayukaji ( makamba, Hiza Tambwe, Sofia simba)

4. Wazee wenye busara wamesusa chama ( Warioba, Salim, Butiku, Sumaye)

5. Familia ya viongozi wamekiteka chama ( Makamba's, JK's, )

6. Kampeni zimebadilika kuwa concert ( wanamuziki kibao)

7. Kununua wapinzani

8. Kukataa midahalo ( mchakato majimboni- TBC)

9. Ahadi nyingi wakati huu wakati za mwaka 2005 hazijatekelezwa ( Mikopo ya wanafunzi maisha bora kwa kila mtz n.k)

10. Chama kujadili issue binafsi zaidi badala ya maslahi ya wananchi.

CCM kwa sasa ina uwoga sana kuliko cha chama chochote hapa nchini. Wanaelewa wanakoelekea.
wewe una kisirani tu na umekata tamaa kaa kando acha wenye point za maana waongee
 
Karibu mkuu, sijakusoma siku nyingi nikadhania pengine ulikwenda kugombea ubunge Makongolosi!! Hata wakiongeza mishahara kinyemela wafanyakazi wengi wanaishi kwa dhiki na most likely hawatampa kura Jakaya!! Ushindi wake utakuwa wa wizi wa kura. He might ascend to the office but he will be illegitemate!!

Kwani Jakaya anagombea tena?
 
Back
Top Bottom