Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,519
- 7,287
Unamsoma FaizaFoxy lakini humuelewi na sidhani kama utakuja kumuelewa!! Huyu dada/bibi alishawahi kulimwa #LifeBan na #Mods ...miaka ile (nadhani badae alisamehewa na ndo ndio unamuona tena hapa jamvini).Bado najiuliza kama anayeandika hapa ni FaizaFoxy ninayemsomaga humu, au aliacha computer bila ku-log out sasa kuna mtu anaitumia!
Kweli huu muungano batili umewagawa CCM kwa wengine wakitetea maslahi ya nchi kama FaizaFoxy na wengine wakitetea matumbo yao kama MwanaDiwani ambaye cheo alichonacho CCM hapo kabla hakikuwepo, hivyo akitumia akili kuhusu huu muungano kwa kudai Tanganyika yetu, huenda cheo chake kikafutiliwa mbali kwenye uso wa sisiem.
So inamlazimu aendelee kutumia tumbo kufikiri kwenye masuala nyeti kama haya.
Linapokuja suala la Zanzibar na Muungano huyu FaizaFoxy ni moto mwingine kabisa, hatawaliwi na fikra za Kiinterahamwe! Mara nyingi anasimamia anachokiamini kuwa huenda ni sahihi,mpaka kitolewe ufafanuzi wa kina. Anajua mifumo ya kiutawala inavyoikandamiza wazenj. Ndio maana hapa unaona kuna mpambano mkani na huyo MwanaDiwani ambapo kwa fikra za FaizaFoxy anadhani huyo diwani AMELEWA MADARAKA na amepofuka na ndo mana anacheza na maneno billa majibu murua.
Tuendelee kuufuatilia huu mjadala, labda tutapata majibu ya hayo maandaki.
Last edited by a moderator: