Ndibalema
JF-Expert Member
- Apr 26, 2008
- 10,955
- 4,662
Wewe mwehu kabisa kwani usipoipenda unaipunguzia nini wewe kilaza baki na chama chako cha MAJAMBAZI,kinacho minya uhuru wa mawazo na kung'ang'ania madaraka,kwanza wananchi wameshawajua vyakutosha jinsi mnavyowafanya kuwa wajinga,viongozi wenu kama wanatupeleka kusiko lazima tuwaseme hata kwakuwatukana hata wewe ------ tu na kubwa jinga na wewe inaonesha upeo wako mdogo kama maviongozi yako na ndo maana unapost ujinga wako shenzi mkuma wewe.ikome chadema ni chama cha ukombozi.
Mkuu PetroE.Mselewa, nini maoni yako juu ya majibu ya mkereketwa mwenzio wa chadema hapo juu.Tukianza kutaja vyama na kuorodhesha sababu za kutovipenda hapa.JF Server haitatosha. Hongera kwa kusema ya kwako. Lakini,waache wanaoipenda waipende na wewe endelea kupenda magambani kwako. Ya CHADEMA hayakuhusu
Kwanini msiwafundishe vijana kama huyo kutoa majibu ya kiungwana kama yako?
Last edited by a moderator: