siku ya jana takribani muda wa saa 4:30 usiku uchaguzi wa kuchagua viongozi wa chama ngazi ya jimbo ulikamilika na viongozi waliochaguliwa ni wafuatao:
viongozi wa jimbo:
m/kiti- Bonface Jacob (diwani wa ubungo)
katibu -Justine Gudluck
k/mwenezi -Aisha Yusuph
m/hazina -A.mwamanyaki
baraza la vijana (bavicha)-jimbo:
m/kiti-Shija Masanja
katibu-joseph samky
mhamasishaji-henry mosha
baraza la wanawake (bawacha):
m/kiti-Anna Linjewile
katibu - bi tekla
mhamasishaji-Bi Restuta
baraza la wazee:
m/kiti Rodrick Rutembeka
katibu - bi Amina Litaka
hawa ndio viongozi watakua viongozi wetu kwa kipindi cha miaka mitano. nawatakia mapambano mema katika uchaguzi wa serikali ya mtaa mwaka 2014 na uchaguzi mkuu mwaka 2015. people'ssssss