Recent content by migors

  1. migors

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tukipata point 3 tu katika gem zijazo tutakuwa na uhakika 100% wa kubaki top 4, kumbuka gem ya mwisho wanakutana Man u vs Leister city
  2. migors

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mtoe Arsenal. Anawania big 4 iiip??
  3. migors

    Msaada kuhusu tofauti hii ya namba za pikipiki

    Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  4. migors

    Msaada kuhusu tofauti hii ya namba za pikipiki

    Habari za weekend wana JF Nilikuwa nahitaji pikipiki iliyotumika mwezi uliopita, nikamuagiza jamaa yangu anitafutie maana yeye yupo DSM na mm nipo mkoan. Akanitaarifu Kuwa amepata na akaniambia bei nikamtumia akamalizana na tajiri( mwenye pikipiki). Ikabidi aniagizie kweli nikaipata na iko...
  5. migors

    Top 10 ya treni zenye mwendokasi zaidi duniani

    Hiyo namba tatu sijaielewa 358.4km/hr then inasafiri 397 tena kwa 1hr??! Sent using Jamii Forums mobile app
  6. migors

    Panasonic home theater system

    Kwan umeambiwa inauzwaa!?
  7. migors

    SIMULIZI: Mkufu wa Malkia wa Goshen

    Shunie sio poa unavyo tufanyia... Njoo bas
  8. migors

    SIMULIZI: Mkufu wa Malkia wa Goshen

    Shunie vp leo
  9. migors

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kikosi kiko vizur, bakayoko na cahil nje
  10. migors

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    4 tayar labda kama kuna mtabir mwingine
  11. migors

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    Naomba kuuliza hivi ilala mwisho lini kutuma maombi.. Na usaili ni lin?
  12. migors

    Naombeni mnijuze jinsi ya ku-certify vyeti vyangu

    Ahsante mkuu ila ninhitaji kwaajili ya kuattach kwenye portal ya ajira sasa sijajua inakuwaje naomba unieleweshe Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom