Recent content by Mhamashiru

  1. M

    Mwandosya anatutia hasara ya mamilioni kwa mwezi

    ''Hakuna jambo jepesi kama kuchochea chuki" Mw Nyerere 1964
  2. M

    Sheikh Fareed wa Uamsho apatikana akiwa yu hai na mwenye afya tele

    jaman mtu aliyetekwa kweli yuko soap soap namna hyo???? hata kanzu ni nyeupeeee!!
  3. M

    CHADEMA mnataka mteremshiwe gunia la chawa?

    ''To some people to delay is weakness" Hope they need to prepare kwa fight ambayo si lele mama,but very complex
  4. M

    Tuitazame upya nafasi ya Katibu Mkuu CHADEMA

    Unakosea kusema ni Presidential candidates, kama wenyewe wametamka (kutoa nia) ni sahii kusema wao ni Presidential Aspirants!! Chama kwa wakati wake KInamtamka mtu mmojo tu (sio wawili) Prsidential Candidate!!!!
  5. M

    HOJA MBADALA: Tuhamasishe CCM imsimamishe Membe 2015?

    Nafikiri wanaomtuhumu Mzee Mwanakijiji hawajaona Question mark mwishoni mwa post yake!! hence hajamaanisha kuwa anamtetea Membe!!
  6. M

    USHAURI WA BURE:Swala Kuhusu Ufugaji wa Mifugo aina yoyote, Uliza hapa utapata Jibu bure

    Nataka kufuga Nyuki ktk Shamba langu,je naweza pata muongozo,au Link yeyote jinsi ya kufuga Nyuki Kisasa??
  7. M

    Kashfa - Naibu Waziri Janeti Mbene ameanza kutumia madaraka yake vibaya

    We should have docs to substantiate yanatosemwa!!
  8. M

    Kashfa - Naibu Waziri Janeti Mbene ameanza kutumia madaraka yake vibaya

    Janeth Mbene!! Kama ni kweli muogope Mungu wangu!!! Kwani uliyonayo hayakutoshi mpaka kuzunguka Serikali za Mitaa,this shows dhamira za watu hawa zilivyokufa!!! Wamebaki makapi tu!! Very Sad!!!
  9. M

    Lowassa ashinda Ujumbe wa NEC (CCM) Monduli kwa Ushindi wa 99.9%!

    Hii yatisha!!!! yani hata hao waliokuwaa wanacompete nae watakuwa wamepata ngapi ngapi!!!!! very Pity
  10. M

    Msaada wako utanisaidi kujikomboa na umasikini..

    Hilo dala dala utaendesha mwenyewe??? Kama sivyo,jitayarishe kutengeneza kwa kununua spares frequently-they are rekless drivers,hawajali Pesa hyo itatosha???
  11. M

    Askari 8 wanashikiliwa Morogoro kwa tuhuma za Mauaji ya Ally Zona

    Kukmatwa Askari 8 kwangu ni kama usanii tu! Wale askari walio muua Kombe,walikamatwa vilie vile,wakapelekwa Mahakamani,wakahukumiwa Maisha,Lakini sasa nasikia wako nje Kwa msamaha!! Ni kiini macho tu,kuficha waahusika halisi waliosababisha vitendo hivyo vya Kishatani
  12. M

    Kwa Akili Yangu ya Wanzuki Nikafumaniwa Mchana Kweupe...!

    Hapo umekutwa unaongea Je ungefumwa ndo uko....... kwenye majamboz!!! Kichapo kingekuwaje????
  13. M

    Fedha zetu ziko salama NBC? Nimekombwa hela jana!

    Hilo linatokea kwa zile ATM ambazo ni haziko Compliance na VISA Conditions kwa kuogopa gharama kubwa!! Hence wajanja wanaweka kimashine kwenye ATM,na kuchomoa wakiwa hata nje ya Nchi!! baada ya kujaza Form itakuchukua si chini ya nwezi mmoja(say 45 dys) kurejeshewa pesa km ikithibitika si makosa...
  14. M

    Kwa kutumia madaraka vibaya, Dr. Magufuli aachie ngazi!

    Jamani hakuna Kipengele cha Kumburuza Mahakaman mtu kama Magufuli kwa kosa kama Hili?? Kwani ndo watajifunza na wengine,wataogopa!!! Otherwise 2015 ni Mbali mno
  15. M

    Dr. SLAA sasa atoa facts suala la CCM & silaha, amvaa Amiri Jeshi Mkuu na Mwenyekiti

    Viongozi wa dini Ombea taifa Hili!! Naona giza mbele
Back
Top Bottom