HOJA MBADALA: Tuhamasishe CCM imsimamishe Membe 2015?

NI vizuri watu wakasoma actually nimeandika nini... maana wengine wanachangia wakidhania kuwa nimeandika nini.

Tumesoma na tumefahamu unampigia debe rafiki yako, Membe.
Kama unafikiri umeandika utata sawazisha utata huo. Kama unafikiri watu hawakufahamu unayoyasema, andika katika mwandiko mwengine, wewe ni mjuzi wa kuandika mistari.

Wengi wa wachangiaji naona ,wamekustukia.
 
Nina mashaka na utashi na busara za Membe, Alisema Nchi Inahitaji msaada bila kujali msaada huo unatoka O.I.C au la! Ni sawa na kusema ''KWA SABABU NINA KIU,NIPO TAYARI KUNYWA MAJI YOYOTE HATA KAMA MAJI HAYO YANATOKA ...ONI''!

Membe alishakurupuka akatoa Amri kwa Majeshi ya Tanzania yakae tayari kwa Vita endapo Malawi haitasitisha utafiti wake katika Ziwa Nyasa upande wa Tanzania bila hata kujua Historia,Hoja hasa kwa undani ni nini! Hana tofauti na EL!

Ukitaka kugombea Urais Tanzania Jipime kwa Ubunge ulionao, Uwaziri ulionao kama kweli ulipaswa kuwa hapo kwa haki!

Nina hakika Membe ukiulizwa hivi sasa kwa nini Watanzania ni Maskini wakati nchi ni Tajiri, utakuwa huna majibu kama wakubwa zako!
 
Nadhani Mzee Mwanakijiji amewalinganisha kwa "usafi" Lowassa na Membe na amefikia hitimisho kwamba kama hoja ni CCM kuchagua mtu safi basi kwa kigezo cha usafi wa Ki- CCM basi mtu huyo ni Membe kwani ni yeye ambaye anaweza kuwa "safi" kwani kwa mtazamo wa Mzee Mwanakijiji Lowassa amechafuka na hawezi kuwa Mgombea atakayeweza kushindana na mikiki ya Kampeni kwani Umma wa Tanzania wanaamini kwamba yeye si msafi na ni FIsadi MKubwa au Papa kama anavyopenda kusema Prof: Lipumba au mzee Mengi.

Mzee Mwanakijiji hajasema kwamba Membe anafaa kuwa Rais bali anafaa kuwa Mgombea Urais kupitia CCM kuliko wenzie wote wanaotajwa. Kama kushinda au kushindwa hilo ni suala jingine kabisa linalohitaji mjadala wake!!

Kigarama

Naomba pia utusaidie katika lugha nyepesi kile kitabu "Majeruhi wa Mapenzi" MJJ alikusudia kusema nini?
Tuchambulie kama hivi ulivyomsaidia hapa kurahisisha lugha bingwa nguli wa kuandika mistari ili tufahamu kile alichokusudia kusema.

Unafahamu uhusiano wa MJJ na Membe?
 
Naweza kumuunga mkono Lowassa lakini nisiende kupiga kura, au naweza kwenda kumpigia kura Zitto lakini nisimuunge mkono;
Hii ndiyo primary issue ya mijadala kama hii. Kwamba watu wa vyama vingine watamuungaje mkono mgombea kutoka chama kingine. Ni sawa na kuwaambia watu waihamasishe CCM imsimamishe Membe wakati just a cpl of dayz ago watu hao hao walihoji ufagiliaji wa baadhi ya wana-CCM kwa Zitto.

My point is, I'm trying to make sense out of supporting a leader regardless of his/her party affiliation. Does it make sense? (I think it does) ingawa walimponda Kingangwala alipomuunga mkono Zitto.
 
Hii ndiyo primary issue ya mijadala kama hii. Kwamba watu wa vyama vingine watamuungaje mkono mgombea kutoka chama kingine. Ni sawa na kuwaambia watu waihamasishe CCM imsimamishe Membe wakati just a cpl of dayz ago watu hao hao walihoji ufagiliaji wa baadhi ya wana-CCM kwa Zitto.

Inategemea; kwa mfano, utambulisho wangu wa kwanza ni MPIGA KURA WA TANZANIA, halafu Uanachama wa CCM ndio unafuatia, na hii ni kwa sababu huko nyuma hapakuwa na chama kingine chenye kuleta matumaini; Vinginevyo katika nyakazi hizi, ninaweza kabisa kumpigia kura mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chadema, CUF, TADEA, TLP, NCCR, CCK n.k katika uchaguzi mkuu wa 2015 kama atakuwa anatosha zaidi ya mgombea wa CCM hasa katika kusimamia masuala ambayo yanafufua matumaini ya watanzania walio wengi in practical terms, sio kama ilivyotokea uchaguzi wa 2005;

My point is, I'm trying to make sense out of supporting a leader regardless of his/her party affiliation. Does it make sense? (I think it does) ingawa walimponda Kingangwala alipomuunga mkono Zitto.

It does make sense i.e. to support a leader regardless of his or her party affiliation, especially in the context of our politics where ideological vacuum is the order of the day; Ila suala la Kingangwala kumuunga mkono Zitto mbio za Urais 2015 bado najaribu kulielewa zaidi, kuna some variables bado sina kulielewa kwa undani;
 
Inategemea; kwa mfano, utambulisho wangu wa kwanza ni MPIGA KURA WA TANZANIA, halafu Uanachama wa CCM ndio unafuatia, na hii ni kwa sababu huko nyuma hapakuwa na chama kingine chenye kuleta matumaini; Vinginevyo katika nyakazi hizi, ninaweza kabisa kumpigia kura mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chadema, CUF, TADEA, TLP, NCCR, CCK n.k katika uchaguzi mkuu wa 2015 kama atakuwa anatosha zaidi ya mgombea wa CCM hasa katika kusimamia masuala ambayo yanafufua matumaini ya watanzania walio wengi in practical terms, sio kama ilivyotokea uchaguzi wa 2005;



It does make sense i.e. to support a leader regardless of his or her party affiliation, especially in the context of our politics where ideological vacuum is the order of the day; Ila suala la Kingangwala kumuunga mkono Zitto mbio za Urais 2015 bado najaribu kulielewa zaidi, kuna some variables bado sina kulielewa kwa undani;
Kobello Mkude says thanks for this useful post.

I thought I was kinda weird.
 
Hii ndiyo primary issue ya mijadala kama hii. Kwamba watu wa vyama vingine watamuungaje mkono mgombea kutoka chama kingine. Ni sawa na kuwaambia watu waihamasishe CCM imsimamishe Membe wakati just a cpl of dayz ago watu hao hao walihoji ufagiliaji wa baadhi ya wana-CCM kwa Zitto.

My point is, I'm trying to make sense out of supporting a leader regardless of his/her party affiliation. Does it make sense? (I think it does) ingawa walimponda Kingangwala alipomuunga mkono Zitto.

Angalia watu walipinga nini kuhusu CCM na Zitto. Siyo kitu kile kile.
 
Kigarama

Naomba pia utusaidie katika lugha nyepesi kile kitabu "Majeruhi wa Mapenzi" MJJ alikusudia kusema nini?
Tuchambulie kama hivi ulivyomsaidia hapa kurahisisha lugha bingwa nguli wa kuandika mistari ili tufahamu kile alichokusudia kusema.

Unafahamu uhusiano wa MJJ na Membe?

Nina uhusiano na Membe? naomba muweke wazi ili watu wajue. You HAVE MY PERMISSION, DARING AND BLESSING.
 
Angalia watu walipinga nini kuhusu CCM na Zitto. Siyo kitu kile kile.
Wewe ni CDM na unaleta hoja ya uhamasishaji wa kumsimamisha mwana- CCM, sasa mkuu kuna tofauti gani na Kingangwala kumuunga mkono Zitto na azma yake ya urais?

Huwezi kusema ulikunya lakini hukukojoa.
 
Nafikiri wanaomtuhumu Mzee Mwanakijiji hawajaona Question mark mwishoni mwa post yake!! hence hajamaanisha kuwa anamtetea Membe!!
 
Ila mimi kama jirani yako na unaniuliza kama ukileta wi-Fi litakuwa jambo la maana, mimi nitasema poa tu!
Kwa sababu najua nitaibeep.

Haha ..ila kw ahilo huonekani ukiw ana lolote baya ktk nia.Ila ni kupata spillovers tuu.By the way bado ni ujirani.HUyu jirani yangu mimi ni kama wana CCM wengi niwakutao hata vijijini wasio jua hata jishauri wenyewe.Utwaasikia CDM wangepewa nchi ka wangeacha vurugu,ukiwauliza vurugu gani wanakuwa wana vurugu mno.Watarudia hapo hapo a cd yenye scratch.

Jirani yangu nikiongeza kitu lazima aje na millions pieces of ushauri huku roho ikimuuma sana hadi kila aliyepo hapo hoona hali yake.Na akitoka hapo hutuma watu wengi sana kuja ulizia kama nauza hata vitu visivyo katk biashara kama viti.

Siwezi shangaa kuona watu wenye akili timamu sana wakirukwa na akili kuona mwendo wa CDM na kujikuta wakijipa nafasi ya ushauri.Hizi ni tabia za watoto wa mjini wanapomuona mamngi mshamba waliozoea mtania alipokuja bila kitu,mara napoanza tengeneza hela ya kukubalika mjini basi wao huanza mpa ushauri,apate wapi demu mzuri, avae nguo gani, anunue gari gani, aingie ktk nyumba gani etc.Vitu ambavto mangi aliachana navyo ndio maana akajikombo akiuchumi.
 
Haha ..ila kw ahilo huonekani ukiw ana lolote baya ktk nia.Ila ni kupata spillovers tuu.By the way bado ni ujirani.HUyu jirani yangu mimi ni kama wana CCM wengi niwakutao hata vijijini wasio jua hata jishauri wenyewe.Utwaasikia CDM wangepewa nchi ka wangeacha vurugu,ukiwauliza vurugu gani wanakuwa wana vurugu mno.Watarudia hapo hapo a cd yenye scratch.

Jirani yangu nikiongeza kitu lazima aje na millions pieces of ushauri huku roho ikimuuma sana hadi kila aliyepo hapo hoona hali yake.Na akitoka hapo hutuma watu wengi sana kuja ulizia kama nauza hata vitu visivyo katk biashara kama viti.

Siwezi shangaa kuona watu wenye akili timamu sana wakirukwa na akili kuona mwendo wa CDM na kujikuta wakijipa nafasi ya ushauri.Hizi ni tabia za watoto wa mjini wanapomuona mamngi mshamba waliozoea mtania alipokuja bila kitu,mara napoanza tengeneza hela ya kukubalika mjini basi wao huanza mpa ushauri,apate wapi demu mzuri, avae nguo gani, anunue gari gani, aingie ktk nyumba gani etc.Vitu ambavto mangi aliachana navyo ndio maana akajikombo akiuchumi.
Tofauti ni kuwa jamaa kamuunga mkono, hajamshauri agombee urais.
Kinachoungwa mkono hapa ni bipartisanship and democracy as a whole. In every aspect hata baadhi ya fortune 500 companies yanaendeshwa kidemokrasia.
Labda nikuulize, Slaa alipata kura ngapi, na ni kikao gani kilichompa nomination ya kugombea urais? Je una uhakika kulikuwa hakuna mwanachama mwingine aliyetaka kugombea hiyo nafasi?
 
Tofauti ni kuwa jamaa kamuunga mkono, hajamshauri agombee urais.
Kinachoungwa mkono hapa ni bipartisanship and democracy as a whole. In every aspect hata baadhi ya fortune 500 companies yanaendeshwa kidemokrasia.
Labda nikuulize, Slaa alipata kura ngapi, na ni kikao gani kilichompa nomination ya kugombea urais? Je una uhakika kulikuwa hakuna mwanachama mwingine aliyetaka kugombea hiyo nafasi?
Wether nina hakika au lah..ila kama procedures zilifuatwa nakubalina nao.Sidhani kam kipindi mwinyi anasimama na kivuli kweli hapakuwa na mtu aliyetamani ile nafasi?Na watanznaia wengi walilalamika sana.CCM wakajitete kwa nguvu zote kuwa ilikuwa democrasia.Pamoja na kampeni kubwa bado kizuli kilivuna kitu kama 5%,watu walijuliza kama kivuli kingeshinda mchezo ungekuwa vipi.

kma Membe katangaza nia tayari atakuwa kamuunga mkono.Ila kama bado alikuwa na mashaka huu utakuw ani ushauri kwani kwa kiasi fulani utamshawishi na hivyo kuwa ushauri.
 
Si CCM si CHADEMA C KAFU hakuna mtu wa kuwa rais pale,its beta tukawa bila rais kama sasa hivi na maisha yakaenda,,,,,membe atauweza uraisi wakat kajimbo kake kanamshinda?????

Thts very true, yani kumsimamisha huyu jamaa litakuwa kosa kubwa sana, maybe its me but the guy do not seem to firm on national issues!
 
Si CCM si CHADEMA C KAFU hakuna mtu wa kuwa rais pale,its beta tukawa bila rais kama sasa hivi na maisha yakaenda,,,,,membe atauweza uraisi wakat kajimbo kake kanamshinda?????

Only loosers or greed would think this way.Mtu mchoyo/mlafi/aliyeshindwa/mwenye wivu ndiye akiona kwake hakuna kitu atavutika kusema na mambi nyingine hazina kitu.

CDM haipo kundi la hivyo vyama vilivyo ktk ndoa z amitaala na ccm.

By the way nchi haiwezi kwenda bila kiongozi kama katiba isemavyo.Kwa hiyo bora tukose owte haina nafasi hapa.
 
Wether nina hakika au lah..ila kama procedures zilifuatwa nakubalina nao.Sidhani kam kipindi mwinyi anasimama na kivuli kweli hapakuwa na mtu aliyetamani ile nafasi?Na watanznaia wengi walilalamika sana.CCM wakajitete kwa nguvu zote kuwa ilikuwa democrasia.Pamoja na kampeni kubwa bado kizuli kilivuna kitu kama 5%,watu walijuliza kama kivuli kingeshinda mchezo ungekuwa vipi.

kma Membe katangaza nia tayari atakuwa kamuunga mkono.Ila kama bado alikuwa na mashaka huu utakuw ani ushauri kwani kwa kiasi fulani utamshawishi na hivyo kuwa ushauri.
Alipata kura ngapi? Jibu swali tafadhali.
 
Alipata kura ngapi? Jibu swali tafadhali.

DO you think Ni lazima nijue idadi ya kura ili kuthibitisha support yangu?Mbona sikumbuki hata za kikwete ingawa aniliskiliza kwa makini sana alipowashinda mwandosya na salim pale dodoma huku nikijilaumu sana kwa sifa laizochaguliwa nazo.
 
kwa sisi watu wa intelejensia tunafahamu fika kuwa wewe mwana kijiji ni mpambe wa karibu wa membe, hapa jukwaani umekuja kupima upepo wa huyo rafiki kipenzi chako, kwa taarifa yako ni heri mara mia ya lowasa kuwa rais kuliko an hypocrite in born character benny membe. Naomba umwambie rafiki yako pengine mtaonana US leo au kesho kuwa mmekwama na mipango yenu tunaifahamu tunasubiri muda tu tuwalipue.

We kiboko, hio PHD uliitoa wapi???
 
Back
Top Bottom