Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
ala! Kwanini kama wanasingiziwa wasimburuze Dr.Slaa mahakamani na ikibainika ni uongo afungwe,kwanini hawafanyi hivyo¡? Au unataka kuniambia nchi hii ni ruksa kuongea chochote ukitakacho?Mbona hapa kuna upuuzi mtupu. Andiko lote haluna fact hata moja kusubstantiate hizi serious allegations. Ndo matatizo ya monologue, wanakijiji watshangilia tu Dr Slaa. Leo akija mtu akasema CDM wameficha mabomu sehemu fulani kwa kujiandaa na uchaguzi , bila vielelezo si mtaamini ? Au siyo