ntamaholo
JF-Expert Member
- Aug 30, 2011
- 12,906
- 6,909
Mwanakijiji, tunakuhitaji makao makuu Chadema usaidie kwenye mambo ya communication.
Tatizo haishi Tanzania, ni mtu wakuamrisha mambo kwa remote. Huwa hashiriki kwa vitendo
Mwanakijiji, tunakuhitaji makao makuu Chadema usaidie kwenye mambo ya communication.
Mkuu Mzee Mwakijiji, nakuomba usiendelee kuwaambia!, wasaidie!. Tukubali tukatae, Chadema needs help on this!. Siubezi uwezo wa JJ. Mnyika kama Msemaji, Ofisa Habari etc, Chadema inahitaji a " Strategic Communicator" ili afanye strategic communication!. Sifa kuu ya kwanza kwa any any strategist, ni "nose for news" kuweza kuzinusa hizo "opportunities" ndipo waweze kuzi "seize"!.CDM needs to seize this opportunity to force the resignations of those who were implicated! Vinginevyo kama nilivyowahi kuwaambia huko nyuma.. wasubiri kuendelea kubeba majeneza na kutoa hutuba za uchungu hadi qiyama.
Vijana tupo na tutangulia mstari wa mbele na viongozi wetu watakuwa nyuma kama yalivyokuwa maandamano ya kidongo chekundu ambapo sheh Issa Ponda alikuwa nyuma yetu!Wewe ambaye unafikiri vizuri anzisha maandamano Dr Slaa yeye atakuwa hoteli kapumzika nyie ndio mnatakiwa kuwa mstari wa mbele kupambana na polisi kuwakomboa watanzania au nyie maandamano yenu mnayafanyia JF.
unaogopa kukorofishana na wetu wengi katika kupigania mema?. Bora uendelee kuwa please wengi, huku mkicheka na ngedere shambani!, mtavuna mabua!.hahhaha sidhani; ntakorofishana na watu wengi sana...halafu watadhani nataka kugombea!
Mkuu umetoa ujumbe mzuri sana lakini kwa hili hapa umeniacho hoi kabisa,naona kama kuna vimelea vya kudharau wanawake wa kiafrika. Ni vema kuheshimu hisia za wanawake wa kiafrika badala ya kudharau au kukejeli kama ulivyofanya mkuu.Pasco.Nakuomba Mzee Mwanakijiji, ihesabu Chadema kama Mwanamke wa Kiasili wa Kiafrika!, hata apende vipi, kamwe hathubutu ku mua approach mwanaume na kumwambia anampenda!, atajipitisha pitisha kuweka mazingira ya kujiavail ili wewe umuanze ndipo akumwagie penzi lake!.
Mkuu Mwita Maranya, mkubali mkatae, mna tatizo on "communications" and you need help!. Mnahitaji "mtu"!.Kwa kweli katika hili viongozi wangu wamechelewa, mimi nilitarajia hata baada ya ripoti za MCT na ile ya Nchimbi mara moja lingetolewa tamko zito sana, bahati nzuri tume ya haki za binadamu na utawala bora inekuja kumaliza kazi.
Kama alivyosema mdau hapo juu VUTA-NKUVUTE, tumepata penalty dakika ya mwisho ya muda wa nyongeza. Natarajia hadi kesho tutakuwa tumesikia kauli rasmi ya chama juu ya hizi ripoti.
yakhe fitna tu maandamano taka waume haswa waliokamili; mtoi; babukijiji kelele nyingi hawana lolote
Vijana tupo na tutangulia mstari wa mbele na viongozi wetu watakuwa nyuma kama yalivyokuwa maandamano ya kidongo chekundu ambapo sheh Issa Ponda alikuwa nyuma yetu!
Usifananishe maandamano ya Chadema na maandamano ya Waislam, Ponda alikuwa mbele akiongoza maandamano wakati Dr Slaa alikuwa kalala hotel.
Chadema hawana uwezo wa kuitisha maandamano nchi nzima sababu hawakubaliki kwa watanzania, maandamano ya Chadema yanaweza kufanyika Arusha na Kilimanjaro tu.
Naunga mkono hoja mkuu wngu ushauri wako kwa CHADEMA siku zote una mazur japokua ww upo upnd wa ELMkuu Mwita Maranya, mkubali mkatae, mna tatizo on "communications" and you need help!. Mnahitaji "mtu"!.
Nakuomba washauri viongozi wako, muwasome sana hawa jamaa wawili humu jf 1. Nguruvi3 2. Mchambuzi!. Chadema will never be the same again!. 2015 mlango wazi kabisa ni kwenda tuu na kuingia!, nyie mnaendelea kucheza makida makida, mara kidali poo huku mkichezea shilingi chooni!.
P.
unaogopa kukorofishana na wetu wengi katika kupigania mema?. Bora uendelee kuwa please wengi, huku mkicheka na ngedere shambani!, mtavuna mabua!.
Mkuu mbona unataka kupotosha umma?siku ile tuliwatanguliza wanawaka mbele na sisi tulikuwa nyuma yao au haukuwepo nini?
Mkuu Tukutuku, hii sio dharau ni sifa!, ndio maana mwanamke wa Kafrika anasubiri mpaka apendwe!, na akipendwa kwanza hujifanya hataki huku anataka na ndia maana kwenye ndoa hupigwa, mume hutoka nje na kurudi akimkuta anasubiri tuu!.Mkuu umetoa ujumbe mzuri sana lakini kwa hili hapa umeniacho hoi kabisa,naona kama kuna vimelea vya kudharau wanawake wa kiafrika. Ni vema kuheshimu hisia za wanawake wa kiafrika badala ya kudharau au kukejeli kama ulivyofanya mkuu.Pasco.
1. Dr slaa.
2. Mbowe
3. Lissu
4. Zitto
Popote mlipo, amkeni mhamasishe umma wa wana Iringa ili kumtendea haki marehemu Daudi Mwangosi,ally zona na wengine wengi walio uwawa mikononi mwa Polisi, ile kauli ya hakuna kulala mpaka kieleweke ndio inatakiwa kutumika hapa kuwaondoa mabaradhuri walio sababisha vifo vya watanzania wenzetu! Chama kitatuangusha kama kitanyamaza baada ya kutolewa ripoti yenye nguvu za kisheria.
Tusisubiri kesho, tuanze sasa maana ukimya wetu ni mauti kwa wengine, 'hakuna kulala mpaka haki ipatikane, na ikipatikana wahusika wawe wameshapoteza nafasi zao'
well CDM ni chama kikubwa kinaweza kuwa na mtu yeyote anayeweza kufanya kazi hiyo binafsi siko interested na jukumu hilo I could some other things more productive katika kuleta mabadiliko.