Recent content by mgosiwakaya

  1. M

    Meneja TANESCO Kilwa asaidiwe

    Issue ya UMEME kusini haswa kwa mikoa ya Lindi na Mtwara punde tutakuwa na neema pindi hicho kituo cha kupooza umeme kitakapoanza kazi rasmi. Kwa upande wa mtwara kimekamilika ila kwa Lindi bado kuzinduliwa tu. So ndugu zangu wa kusini tuwe na subira mwezi wa 7 siyo mbali
  2. M

    Mhudumu wa Mochuari "amchimba mkwara" waziri

    Haahaaa huyo jamaa kweli kadata!
  3. M

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo hayapunguzi kwa kunywa pombe....
  4. M

    Polisi wamkamata Lwakatare, apelekwa kwa mahojiano Makao Makuu

    hebu tujiulize kwann polis wasianze na huyo aliyerusha hyo video aeleze kaitoa wap au kapewa na nan? halafu hv inawezekana mtu akawa anapanga mbinu za hatar na huku anachukuliwa video? anyway tuseme mchukua video alikuwa amejfcha ila mbona ktk hcho kikao kinaonekana kilikuwa cha waz sana maana...
  5. M

    Nani anapenda karanga?

    raha ya karanga mbichi upate na muhogo mbichi hapo ndo utafaidi...
  6. M

    swali tata

    GOD is He period!
  7. M

    CHADEMA vs Mitandao ya Jamii

    hapo kwenye red...nina shaka na elimu yako...hv ni nani mwenye upeo asiyejua madudu ya ccm....i ll never like ccm!
  8. M

    Dr. Kafumu (CCM) avuliwa ubunge Igunga!

    kafumu kashafumuliwa na kashinde kashinda kesi....aahaahaaaa magamba mwaka huu watajuta kuifaham cdm!
  9. M

    Taarifa Fupi kuhusu Kazi za Maendeleo Jimboni Ubungo (AMUA)

    safi sana mkuu tulianza na ww kwa kulinda kura na tutamaliza na ww katika kusaidiana kuleta maendeleo siyo ubungo tu bali tanzania kwa ujumla kwan ww ni mbuge wa kitaifa!
  10. M

    Kura ya maoni: Zitto vs Dr Slaa

    Dr.Slaa jembe la ukweli.
  11. M

    Misemo ilyopitwa na wakati

    ccm itatawala milele...ni miongoni mwa misemo iliyopitwa na wakati!
  12. M

    Watuhumiwa wa mauaji ya M/kiti USA-River CDM wakamatwa

    Hao wahojiwe na kubanwa mpaka waseme wametumwa na nani...kuna kitu tu!
  13. M

    Kambi ya Lowassa kazini: Askofu Laizer aunga mkono Lema kuondolewa Arusha!

    duh hapo inakuwa ngumu maana huyu ni mtumishi wa mungu tena mwenye ngazi ya uaskofu iweje anaongea maneno ya kuiskia kwenye public? kama ilivyosemeka kuna watumishi kule arumeru walihongwa basi ni wa aina hii!
Back
Top Bottom