CHIHAYA
Senior Member
- Mar 12, 2012
- 102
- 25
Si vyema kumkebehi askofu kwa kuwa ana miono kutoka mbinguni, heshimuni viongozi wa dini tusije pata matatizo katika taifa letu.
Kwahiyo unataka tumheshimu kwa kuwa yeye ni kiongozi wa dini? Angekuwa anazingatia kazi aliyotumwa na Mungu wala asingekubali kutumika kisiasa. Shame upon him!