Misemo ilyopitwa na wakati

Misemo ilyopitwa na wakati

Kuna watu walisoma kipindi cha migomo baridi ya waalimu,hata kutofautisha METHALI na MISEMO wanashndwa!!
 
Samaki mmoja akioza wote wameoza!

Siku hizi kuna majokofu, kwa hiyo unamtoa yule aliyeoza wengine unawaweka kwenye jokofu.
 
Haba na haba hujaza kibaba (vbaba vya sikuhizi havijai cjui vna leakage?)
 
Back
Top Bottom