Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 29,515
- 42,646
South A, India...
kijana wa chademu upo upset
South A, India...
huwa nasikia hawa watu wa mortuary , spirit za waliokufa ndiyo zinakuwa zinawatesa sana eti kutokana na tabia zao chafu mfano ukiwa mortuary watu wengi sana huwa wanahitaji vitu kutoka huko kwa ajili ya ushirikina kama maji ya maiti , nywele , kucha , ulimi, nk.hasa kama marehemu ni mwehu . sasa spirit zingine hazipendezwi na ndiyo maana wanakuwa mazwazwa spirit zinawatokea , wengi wao.Hawa watu (wahudumu wa mortuary) huwa vichwa vyao havipo vizuri. They care less!! Wana-guts sana!
Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
Waziri atafiaje Mbeya?!!!!
Mhudumu wa kitengo cha kuhifadhi maiti cha Hospitali ya Rufaa Mbeya,Eugene Vurugu amemtishia naibu waziri wa afya,Dr.Saif Rashid kuwa ikitokea amefariki akiwa mkoani Mbeya,basi maiti yake italazwa sakafuni kutokana na uhaba wa majokufu ya kuhifadhi maiti katika kitengo hicho.
Mhudumu huyo alisema kitengo hicho kina majokofu sita na hulazimika kuhifadhi maiti kwa zamu ili angalau maiti zisiharibike.
"Hata wewe Waziri ukifa leo,hakuna pa kukuweka.Utawekwa sakafuni kusubiri maiti nyingine zipoe halafu utaingizwa ndani kwa kuingizwa maiti mbili kwenye eneo la mtu mmoja"alisema Vurugu.
CHANZO:Mwananchi
MY TAKE:
Mfanyakazi huyu atasalimika kweli kwa kumwambia waziri ukweli huu hadharani?
Huyu mtumishi anastahili kupandishwa cheo kwa ujasiri wake wa kutetea mazingira mazuri ya kazi.
Haahaaa huyo jamaa kweli kadata!Namtambua vema muhudumu huyu.......anapga maji ile mbaya halaf kuna sku akaniomba bia pale central police nkamjibu sna hela akanambia .....utanikuta tu kwenye anga zangu... ukweli nlicheka sana
Juma Akikweti alifia wapi?
Waziri atafiaje Mbeya?!!!!
Juma Akikweti alifia wapi?
Waziri atafiaje Mbeya?!!!!
Ukweli unauma ila lazima usemwe!!
...popote atakapofia ndani ya bongo atapa adha hii,labda akimbilie apolo...Waziri atafiaje Mbeya?!!!!
Ukweli mchungu huo, safi sana. Hapo kwenye pendekezo lako hapo kidogo ndio pamenitatiza, hivi muhudumu wa Mochwari akipandishwa cheo atakua NANI sasa!?