Percival Salama
Senior Member
- Feb 3, 2010
- 118
- 7
zitto atapata kura nyingi akigombea urais kuliko slaa,Slaa ni mzee kwa sasa.
Umaskini wa FIKRA ni mbaya kuliko umaskini wa mali
zitto atapata kura nyingi akigombea urais kuliko slaa,Slaa ni mzee kwa sasa.
Hii nidharau kubwa.Huwezi kupambanisha Barcelona FC na Lipuli ya Iringa.
1 Zitto ajibu hoja za BARICK LTD. Walisha mnunua bado hajajibu
2. Zitto alikula posho mbili, Takukuru wakimtaka saa yo yote wanamdaka, ni kwa vile ni mtu wao.
3. Zitto ana mahusiano ya karibu na mkurugenzi msaidizi TISS aliyechakachua kura za Dr Slaa.
4. Zitto hakumpigia kampeni Dr Slaa, akamnadi kikwete kisiri kigoma na NCCR. Aeleze kwanza.
5. Zitto alipigia debe kununua mitambo ya Richmond aka downs.
6. zitto alikuwa na gari liliingia bongo kwa jina la Rostam, aeleze vizuri ilikuwaje? wakati yeye majuu ni mwenyeji?
7. zitto ni fisadi kama wengine abishaye alete data hapa.
Mwisho wa siku mtoa mada utakuja ujue kuwa tofauti na ulivyotegemea kuwa unamuimarisha unaempigia debe badala yake umemdhalilisha. Angalia trend ya votes.
sababu ziko nyingi,umehitaji NNE tu,basi hizi hapa:-
Kwanza ningempa Dr Slaa......1,...
2,Hajawahi kuwa na kashfa mbaya za msingi ukimlinganisha na zitto
Na kama anataka umaarufu basi afungue chama chake ,
m nlikuwa nasikia watu zamani wakisema watu wa kigoma hata umkute ana akili sana ila itatokea siku akarudi kuwa kama illiterate maana elimu aliyoipata haikai kichwani inapita kama upepo tu na kumwacha kama alivyozaliwa.
Nadhan ndo haya tunayoyashuhudia kwa huyu mropokaji-binafsi na mtaka madaraka kwa pupa zitto
Kuna haja ya kuweka definition kamili juu ya neno kashfa, maana Nape huchukua maisha ya mtu binafsi kama kashfa na ufisadi wa ccm kama utakatifu.
sababu ziko nyingi,umehitaji NNE tu,basi hizi hapa:-
Kwanza ningempa Dr Slaa......1,...
2,Hajawahi kuwa na kashfa mbaya za msingi ukimlinganisha na zitto
Msingi wa uongozi unaanzia katika ngazi ya familia,hakuna ubishi Dr Slaa ameshindwa kwa hilo.Tofautisha kupiga kelele majukwaani na kuongoza watu.Slaa hafai kuwa rais amechoka ni heri aje azibe pengo la Bob Makani katika baraza la wazee.