Hatuna akili ndogo, labda tuna ufinyu wa mawazo unaotokana na umaskini uliokithiri, Vita vya wenyewe kwa wenyewe, uwekezaji duni kwenye mambo ya msingi( elimu,afya, utafiti na teknolojia, intelejensia za kiuchumi), uongozi uliokosa dira( kujimilikisha nchi, udikteta uchwara, wasomi wanaopumbazwa...