Divine matrix under entangled reality

Divine matrix under entangled reality

FB_IMG_1591486436074.jpeg
 
Kwanza suala la kielimu ambalo liko wazi tayari hutakiwi kuniambia nilizungumzie kwa upeo wangu kwani hapa hatuko katika mashauriano bali tupo kujadili jambo ambalo lipo tayari na elimu yake iko wazi. Ulitakiwa tu uishie kusema hivi,nikupe maana ya tamko Tahajudi kilugha au kisheria.

Tahajudi ni tamko la kisheria lenye asili ya kiarabu. Tamko hili lina maana ya kilugha na kisheria. Kilugha ni kutafakari na kisheria ni ibada maalumu inayofanywa na waislamu usiku wa manane. Ibada hiyo mwezi wa ramadhani huitwa TARAWEHE na siku za kawaidwchuitwa TAHAJUDI.

Na Allah ndio anajua zaidi.
Akiwa MTU amelitumia kilugha ana kuwa haja kosea,
Ni vema umeonesha kilugha na kisheria, maana kilugha tajahudi lina maana ya kutafakari ambapo ni sawa na kusema uwazo
 
Tumepewa kufahamu tuyafahamuyo kwa uchache, mambo mengine tutafunuliwa wakati muafaka, najaribu kuwaza kila mtu angepatiwa hizo powers kujua na kuyaona yaliyofichika halafu kila mmoja ayaexpose na atake aaminike hiyo chaos ingekuwa kwa ulimwengu huu ingekuwa ni bomu la nuclear pekeyake, hizo confusion bongo zetu tu zisinge handle kabisa.
 
Life is just an individual perspective but the individuality of each individual makes life to be of more collective consciousness ..

The secret remains nothing when your mind discovers something....

it remains to be secret to those whom it has not been discovered...

we live in the quantum system of individul persective coz life is all about awakening from one quantum realm of true nature to further more complex quantum realm of true nature..

We are here to discover and ascend interms of awareness...

There is nothing more special your mind was brought into this universe but only learning and discovering new ways on how your mind has been subjected to different levels of reality(ies).
 
msomaji hua nazidi kusogeza kiti tu uzi nimeuelewa na upo vizuri
ngoja niulize hii kitu inaitwa unvers low ni nguvu ya kiasi gani na iko wapi ......?
je hiyo nguvu nayo ni kama proglam kiasi kwamba wadukuzi wanaweza kuipalaganyua kwa jinsi wanavyo weza hadi isiweze kua na utambuzi .....? [hii nimeuliza baada ya kusoma kwamba kuna watu wanaoweza kuiongoza hiyo nguvu kiasi kwamba hata wakifanya makosa hawawezi kupata na matokeo hasi ya uovu wao ]
naludia tena kuuliza je hiyo nguvu iko wapi hadi kuweza kupokea na kutoa majibu kwetu sisi wahusika ?
binafsi najua tunaishi ndani ya box uwezo na ufahamu wetu unazidiana na mtu akikuzidi ufahamu kwa dot nyingi hivyo anaweza kukuongoza na ukamfuata yeye sasa inawezekana vipi kuwe na nguvu ..........nadhani niishie hapa maana ntakosa ata ninachokiuliza nasubili majibu ili nianze kufunguka zaidi
 
msomaji hua nazidi kusogeza kiti tu uzi nimeuelewa na upo vizuri
ngoja niulize hii kitu inaitwa unvers low ni nguvu ya kiasi gani na iko wapi ......?
je hiyo nguvu nayo ni kama proglam kiasi kwamba wadukuzi wanaweza kuipalaganyua kwa jinsi wanavyo weza hadi isiweze kua na utambuzi .....? [hii nimeuliza baada ya kusoma kwamba kuna watu wanaoweza kuiongoza hiyo nguvu kiasi kwamba hata wakifanya makosa hawawezi kupata na matokeo hasi ya uovu wao ]
naludia tena kuuliza je hiyo nguvu iko wapi hadi kuweza kupokea na kutoa majibu kwetu sisi wahusika ?
binafsi najua tunaishi ndani ya box uwezo na ufahamu wetu unazidiana na mtu akikuzidi ufahamu kwa dot nyingi hivyo anaweza kukuongoza na ukamfuata yeye sasa inawezekana vipi kuwe na nguvu ..........nadhani niishie hapa maana ntakosa ata ninachokiuliza nasubili majibu ili nianze kufunguka zaidi

Mkuu thanks a lot kwa swali lako lakini kama ni mfuatiliaji mzuri wa uzi huu utagundua kuwa kuna mtu alishawahi uliza swali kama hilo na kuna baadhi ya majibu yalishatolewa..

Lakini nikjibu tu kwa niaba yako ( basing with my own perspective awareness) ni kwamba universal laws ni patterns at which the individual mind is directly connected to universal frequency energy ambayo kimsing ndo nguvu iliyo na uwezo wa kukufanya uwe harmony and peace to understand boundaries of limitation katika kuinteract na nature of reality..

We get difficultness kwa sababu we encounter different frequencies ambazo zinatufanya tuwe tuna dance out of universal tune frequency ( problems)..

For your mind to survive katika ulimwengu wa 3D inahitaji iwe na uwezo wa kumove across boundaries of limitation ambazo hizo limitations ni different frequencies zenye energy tofauti ambazo huifanya mind yako kuwa connected na negative forces na kuifanya ishindwe kumove katika harmonity aliyo sawa..

Ili uweze kuendelea kusavaivu under minimal limitation unahitaji kuwa kwenye orbit ya universal frequeny energy lasivyo maisha yako yatakuwa mafupi na hutafika mbali kimaisha kwa sababu yo mind gets tired of upgrading from lower form of reality to higher form of reality katika true quantum realm...

for your mind to survive to higher quantum realm ,it needs universal frequency energy ili iweze kuwa connected kwenye orbit ya kumove pakubwa zaidi la sivyo itabaki hapo hapo na uelewa mdogo na haitaweza kumover across boundaries of limitations..

So kuna umuhimu mkubwa sana why mtu unaambiwa uapgrade cosncious awareness yako kwani hiyo ndo itakatokufanya uwezo kuona mambo katika dimension kubwa zaidi kuanzia 4D na kuendelea na hivyo kuifanya mind yako kuww na uwezo wa kumove na ku encounter different boundaries of limitations.

Be connected with the universal pattern energy utaelewa kwanini unaweza kuona hata virus kwa macho kisha kumpisha kisa akipata mbali na pua yako kuyafanya mapafu yako kuwa mbali na effects ya ugonjwa flani hence utakuwa ushaongeza life expectance flani hivyo utakuwa na maisha marefu lakini pia utakuwa upp another level of realit..

But he/she who dies early unfortunatly finds himself landering in one of low dimension reality hence your current awareness determines your future quantum realm of nature ..
Narudia tena kuna faida ya kujua mengi kabla hujapata umauti kwani your future life is determined by your currently mind awareness ..
 
Sometimes inabidi mtu aelewe kuwa the road to freedom is not through feeling good,it is through feeling true to yourself.How about if we sayThe universe is frexible,it adopts to every decisions you make,right or wrong are only mental constructs...COINCODENCE,,??

But why is the universe not perfect to everyone though we live within it,,? what makes us differ in perfect sense from reality of anything,,? manake kuna watu wanajua how to control reality within the universe and thus why they control nature from its reality
 
1] If you want to know the truth of everything ,you must sacrifice everything of high value from you
2] life has a code ,however few people know the truth and reality.
3] the truth of everything lies in the matrix reality formula
4] everything in the universe is energy and is synchronised with universal pattern of energy so if you need to know reality you must get connected to universal field of reality.
5] the acients hid the unseen forces that hold everything within this universe and these forces were hidden by symbols [ndo mana free mason and illuminat work under symbols]
6] symbols represents complex energy flow in the universe.
7] energy vibrates in some form of frequency hence generates something like physical reality but it is energy itself.
 
it needs universal frequency energy ili iweze kuwa connected kwenye orbit ya kumove pakubwa zaidi la sivyo itabaki hapo hapo na uelewa mdogo na haitaweza kumover across boundaries of limitations..

We get difficultness kwa sababu we encounter different frequencies ambazo zinatufanya tuwe tuna dance out of universal tune frequency ( problems)..
jf.jpg

ngoja nikasome vitu vingi kabisaaa afu naludi kuuliza swali tena tena
 
We get difficultness kwa sababu we encounter different frequencies ambazo zinatufanya tuwe tuna dance out of universal tune frequency ( problems)..
View attachment 1474803
ngoja nikasome vitu vingi kabisaaa afu naludi kuuliza swali tena tena

We have to dance and vibrate at highest frequency ili uweze ku attain highest point of consciousness...

Huwez attain maximum energy of transformation ukiwa unavibrate katika lowest frequency
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom