Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Weeh!!!..... wakati nilipokuwa naitazama ilikuwa nyakati(2014) sawa na nilizokuwa nairudia The Great King Gwanggaeto.
Just imagine unamaliza kumuona The North Ghost( Mfalme Tam toek) Mfalme ni Mbabe Kupitiliza, unakuja huku( Empress Ki Drama) Mfalme (Yuen dynasty) ni Cry baby kama Camila Cabello, the dude was too weak.

Anyway Batul kama sijakosea jina ndiye aliyenivutia mule ndani. 😁😁Sababu ya kunivutia sababu alikuwa anampenda Peter Pan kwenye A man called god Drama, Alikuwa dada yake na yule bonge aliyekuwa anampenda Vivian.
Kilichonikera ni yule mfalme wa Gogyeo alipouwawa na yule Mfalme Bwege wa Yuen Dynasty.


Usizidharahu Pumba nazo ni chakula cha Ndege na wanyama.
Sometimes movie nzuri sio lazima iwe Kama unavyowaza wewe hata me nilipenda Sana yule mfalme baby cry kutokana na uhusika wake alivyocheza lkn sikupenda alivyokufa lkn haiondoi ubora wa series najua wengi mlikuwa amumpendi cos ya matakwa yenu ila alitendea nafasi vizuri.
 
Hahahaa we jamaa msahaulifu sana,juzi kati hapa ulikua unaulizia kuhusu dong yi eti saiv unasema haupendi historical

Kingine usinisingizie mie sijui kama haupendi historical ninachojua wewe ni timu domo kindaki ndaki
Wewe ndo naona unasahau series za town nimeangalia nyingi kuliko historical drama ndo ninazozipenda nafikiri ungefuatilia nyuzi zangu za nyuma utaona hili.Kingine mie sio team diamond Bali me ni mpenzi wa nyimbo za diamond Kuna tofauti Kati ya fans na team ukilijua hili Wala utopata shida na Kila binadamu ana mtu anayempenda Kama wewe unavyompenda zari Wala usiteseke.
 
Wewe ndo naona unasahau series za town nimeangalia nyingi kuliko historical drama ndo ninazozipenda nafikiri ungefuatilia nyuzi zangu za nyuma utaona hili.Kingine mie sio team diamond Bali me ni mpenzi wa nyimbo za diamond Kuna tofauti Kati ya fans na team ukilijua hili Wala utopata shida na Kila binadamu ana mtu anayempenda Kama wewe unavyompenda zari Wala usiteseke.
Hahaha Hata akitoa mbaya basi kwako nzuri kisa unapenda nyimbo zake? Heeeh!! Hivi nimeandika wapi hapa!!!!!! Kha!!!?!!!
 
Mdada alikuwa vizuri sema Togan alinifanya niichukie mpaka wa leo sijawahi kuimaliza
Labda ukuielewa itakuwa ni moja ya series yenye ubunifu mkubwa alafu ni unpredictable uwezi kutabiri episode inayofuata itakuwaje matukio yanazaliwa.story yake tamu upande wangu nilikuwa na angalia episode 8 sometime mpaka episode 10 kwa siku kutokana na ubora wake.Kwangu the empress ki ni top 3 ya series yangu Bora duniani nilizowahi kuangalia all in all lady ki ambaye ni star wa hiyo series alicheza hiyo series kwa ufundi mkubwa ndo akanifanya nianze kufuatilia series zingine alizocheza huyu dada ni Moto wakuotea mbali.
 
ameshawahi kupatikana mshindi humu ndani kwenye huu mjadala unaoihusu empress ki drama?
ngoja nifanye kampeni ya kukipasha moto kiporo changu ili na mimi kiupande wangu nipate kufahamu mbichi na mbivu za hii drama, nakumbuka nilifika episode 11 takribani miaka miwili iliopita.

ewe Mungu jaalia nisiwe upande mmoja na huyu muhuni the great conqueror
 
ameshawahi kupatikana mshindi humu ndani kwenye huu mjadala unaoihusu empress ki drama?
ngoja nifanye kampeni ya kukipasha moto kiporo changu ili na mimi kiupande wangu nipate kufahamu mbichi na mbivu za hii drama, nakumbuka nilifika episode 11 takribani miaka miwili iliopita.

ewe Mungu jaalia nisiwe upande mmoja na huyu muhuni the great conqueror
Hao ambao wanaipinga the empress ki watakuwa hawajaielewa ila kwangu the empress ki ni moja Kati ya series bora yakikorea kuwahi kutokea au wewe unaionaje?
 
jana kabla sijafanya operation deletes kuna ujumbe fulani wa kimiujiza sijui hata ulitumwa na mjinga gani kuja kwangu, hatimaye ujumbe huo ulifanikiwa kunishawishi niiangalie the tale of nokdu drama japo kwa njia ya uvivu kama samaki pono.

bingo, nilijikuta naiangalia hiyo drama kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 8 usiku na nilipoamka kabla sijaosha uso wangu nikamaliza kiporo changu.
nimempenda bidada kim so hyun halafu ni mdogo wangu tuliozaliwa matumbo tofauti.
nimempenda jang dong yoon halafu naye ni kaka yangu tuliozaliwa matumbo tofauti.​

kwa nini huyu mfalme gwanghae uhusika wake anapenda kutengenezwa kama ni mwanadamu aliyejawa na hofu inayoambatana na msongo wa mawazo?
mfano mwengine angalia the crowned clown drama and movies

kwa mujibu wa maandiko ya kihistoria kabla ya kufa kwa mfalme seonjo alifanikiwa kuandaa document yenye kumtaja mrithi wake wa madaraka na kupitia document hiyo alimtaja gwanghae kama ndiye mrithi wake japokuwa hapakuwepo mahusiano mazuri kati ya baba na mwana, document hiyo baadae ilifchwa na wanasiasa ambao hawakuvutiwa na gwanghae, wanamrengo hao (magharibi) pia ndio waliongoza kampeni ya kumuondoa madarakani mfalme gwanghae.

ukisikia ubunifu na ufundi wa kutengeneza hadithi ndio huu:
ukiangalia hii drama hadithi yake imegeuzwa kidogo sana na historia kwa lengo la kumfurahisha mtazamaji na muda huo huo kumuelimisha kwa njia ya kioo kwa asilimia fulani bila ya kusahau kumshajihisha aitafute historia ya ukweli.
  • kwa mujibu wa historia kama nilivyogusia hapo juu mfalme seonjo kabla ya kufa kwake aliandaa document na kumkabidhi mtu wake wa karibu, document hiyo inamtaja gwanghae kama ni mrithi wake wa madaraka.​
  • kwenye hii drama mfalme seonjo alikuwa na mtoto mwengine ambaye ni Grand Prince Yeongchang, kabla ya kufa seonjo aliandaa document na kumkabidhi mzee wake Dong-Ju (kim so hyun), kupitia document hiyo anamtaja prince yeongchang kama ndiye mrithi wake wa madaraka pindi atakapokuwa mkubwa na si gwanghae.​
  • jambo hilo likapelekea watu wake wa karibu crown prince gwanghae waisake hiyo document popote ilipo na aliyepewa kazi hiyo ni vice chancellor yun, hatimaye yoon akafanikiwa kuipata document hiyo kwa mzee wake Dong joo.​
  • ndio maana dong joo amekuwa na chuki dhidi ya mfalme na muda mwingi hutamani kumuua mfalme gwanghae kwa sababu miaka ya nyuma familia yake ilihukumiwa kwa uhaini kwa kosa hilo la kuificha document ya seonjo, sijui episode ya 12 itakuaje kwa sababu inaonekana mfalme ameshamfahamu dong joo na historia yake.​
  • pia miaka 20 iliopita kuna mganga fulani alimwambia gwanghae ya kwamba mtoto wako aliyezaliwa mwezi november atakuja kubeba ufalme wako, kitachopelekea mtoto wake abebe ufalme huo ni ile nguvu inayotoka kwa mama yake na si baba yake, gwanghae kihistoria mama yake alikuwa ni concubine ndio maana hakuwa na nguvu kubwa sana mbele ya wanasiasa na mirengo yao. Kwa kuwa mke wake gwanghae anatokea kwenye koo zenye nguvu jambo hilo litapekea mtoto wake awe mfalme kuliko baba mtu ndio maana gwanghae akaona solution ni kumtelekeza mtoto wake ambaye ni nokdu. Malikia ameshapewa taarifa ya kwamba mtoto wake yupo hai na yumo ndani ya palace na wakati huo huo gwanghae na yeye ameshapewa taarifa ya kwamba mtoto wake yupo hai.​

Je kipi kitatokezea hapo mbeleni, malikia atakubali tena kumpoteza mtoto wake kwa mara ya pili?

gwanghae atachukuwa hatua gani dhidi ya binti anayeitwa dong joo ambaye wazazi wake ndio waliokabidhiwa document yenye kumtaja mrithi wa mfalme seonjo miaka mingi iliopita?

kwa mujibu wa historia baadae anatawala mfalme INJO, na humu ndani huyu grand prince ndiye anatekeleza mipango ya kumpindua gwanghae, sielewi hii hadithi itakuwa na mrengo gani (either gwanghae ataondolewa madarakani kama ilivyo historia au gwanghae kwa msaada wa mwanawe nokdu atafanikiwa kuzima jaribio la kupinduliwa)


mwenzangu na mimi ichukue historia ya shujaa yeyote nchini kwetu halafu itengenezee hadithi yenye historia iliopinda ndani yake, huenda ukapingwa na muhimili mzito uliojaa roho mbaya mpaka ukatamani scripts ulizoandaa uzichome moto.


nataka nijaribu kuiangalia EXTRAORDINARY YOU kabla shetani hajanishawishi niifute.

KBS 'The Tale of Nokdu' and MBC 'Extraordinary You', two currently on-going dramas that have captured the heart of the young generation in South Korea. Although their ratings may not be that high, but the response online tells otherwise
1573131647212.png
 
Kama huyu dada ha ji won atatoa series au movie kwa mwaka Huu au Kama ameshatoa please niambie
dear brother,
sifahamu mfumo wako wa kimaisha ukoje ila unaonekana ni mwanadamu ambaye either uko bize sana jambo linalokupelekea ukose muda wa kufungua hata link moja, pengine una tatizo la kusahau au vile vile pengine ni mwingi wa dharau (sifa hizi mbili za mwisho Mungu akuepushe nazo).

umeomba nikutajie drama alizoigiza ha ji won ila kwa wema wangu nimekuwekea link iliokusanya taarifa zake zote, cha ajabu unaniomba tena nikupe taarifa ya drama mpya aliyoshiriki au atakayoshiriki.

maana yake ni kwamba umenidharau na hiyo link niliokuwekea hujaifungua.

gwenchanah gwenchanah.​
drama yake mpya inaitwa chocolate na inatarajia kuanza kuonyeshwa mwishoni mwa mwezi November.
1573139975855.png


musiendelee kuugeuza wema wangu kuwa ni utumwa, kuna siku nitachoka, nitachukia na baadae nitakimbia humu ndani tofauti na watumwa wale weusi walioendelea kuvumilia mateso yalioongozwa na mafedhuli baada ya kufungwa kwao minyororo jambo lililopelekea washindwe kukimbia.

bado sijachukia ila siku naona kama zinazidi kukaribia.
 
jana kabla sijafanya operation deletes kuna ujumbe fulani wa kimiujiza sijui hata ulitumwa na mjinga gani kuja kwangu, hatimaye ujumbe huo ulifanikiwa kunishawishi niiangalie the tale of nokdu drama japo kwa njia ya uvivu kama samaki pono.

bingo, nilijikuta naiangalia hiyo drama kuanzia saa 12 jioni mpaka saa 8 usiku na nilipoamka kabla sijaosha uso wangu nikamaliza kiporo changu.
nimempenda bidada kim so hyun halafu ni mdogo wangu tuliozaliwa matumbo tofauti.
nimempenda jang dong yoon halafu naye ni kaka yangu tuliozaliwa matumbo tofauti.​

kwa nini huyu mfalme gwanghae uhusika wake anapenda kutengenezwa kama ni mwanadamu aliyejawa na hofu inayoambatana na msongo wa mawazo?
mfano mwengine angalia the crowned clown drama and movies

kwa mujibu wa maandiko ya kihistoria kabla ya kufa kwa mfalme seonjo alifanikiwa kuandaa document yenye kumtaja mrithi wake wa madaraka na kupitia document hiyo alimtaja gwanghae kama ndiye mrithi wake japokuwa hapakuwepo mahusiano mazuri kati ya baba na mwana, document hiyo baadae ilifchwa na wanasiasa ambao hawakuvutiwa na gwanghae, wanamrengo hao (magharibi) pia ndio waliongoza kampeni ya kumuondoa madarakani mfalme gwanghae.

ukisikia ubunifu na ufundi wa kutengeneza hadithi ndio huu:
ukiangalia hii drama hadithi yake imegeuzwa kidogo sana na historia kwa lengo la kumfurahisha mtazamaji na muda huo huo kumuelimisha kwa njia ya kioo kwa asilimia fulani bila ya kusahau kumshajihisha aitafute historia ya ukweli.
  • kwa mujibu wa historia kama nilivyogusia hapo juu mfalme seonjo kabla ya kufa kwake aliandaa document na kumkabidhi mtu wake wa karibu, document hiyo inamtaja gwanghae kama ni mrithi wake wa madaraka.​
  • kwenye hii drama mfalme seonjo alikuwa na mtoto mwengine ambaye ni Grand Prince Yeongchang, kabla ya kufa seonjo aliandaa document na kumkabidhi mzee wake Dong-Ju (kim so hyun), kupitia document hiyo anamtaja prince yeongchang kama ndiye mrithi wake wa madaraka pindi atakapokuwa mkubwa na si gwanghae.​
  • jambo hilo likapelekea watu wake wa karibu crown prince gwanghae waisake hiyo document popote ilipo na aliyepewa kazi hiyo ni vice chancellor yun, hatimaye yoon akafanikiwa kuipata document hiyo kwa mzee wake Dong joo.​
  • ndio maana dong joo amekuwa na chuki dhidi ya mfalme na muda mwingi hutamani kumuua mfalme gwanghae kwa sababu miaka ya nyuma familia yake ilihukumiwa kwa uhaini kwa kosa hilo la kuificha document ya seonjo, sijui episode ya 12 itakuaje kwa sababu inaonekana mfalme ameshamfahamu dong joo na historia yake.​
  • pia miaka 20 iliopita kuna mganga fulani alimwambia gwanghae ya kwamba mtoto wako aliyezaliwa mwezi november atakuja kubeba ufalme wako, kitachopelekea mtoto wake abebe ufalme huo ni ile nguvu inayotoka kwa mama yake na si baba yake, gwanghae kihistoria mama yake alikuwa ni concubine ndio maana hakuwa na nguvu kubwa sana mbele ya wanasiasa na mirengo yao. Kwa kuwa mke wake gwanghae anatokea kwenye koo zenye nguvu jambo hilo litapekea mtoto wake awe mfalme kuliko baba mtu ndio maana gwanghae akaona solution ni kumtelekeza mtoto wake ambaye ni nokdu. Malikia ameshapewa taarifa ya kwamba mtoto wake yupo hai na yumo ndani ya palace na wakati huo huo gwanghae na yeye ameshapewa taarifa ya kwamba mtoto wake yupo hai.​

Je kipi kitatokezea hapo mbeleni, malikia atakubali tena kumpoteza mtoto wake kwa mara ya pili?

gwanghae atachukuwa hatua gani dhidi ya binti anayeitwa dong joo ambaye wazazi wake ndio waliokabidhiwa document yenye kumtaja mrithi wa mfalme seonjo miaka mingi iliopita?

kwa mujibu wa historia baadae anatawala mfalme INJO, na humu ndani huyu grand prince ndiye anatekeleza mipango ya kumpindua gwanghae, sielewi hii hadithi itakuwa na mrengo gani (either gwanghae ataondolewa madarakani kama ilivyo historia au gwanghae kwa msaada wa mwanawe nokdu atafanikiwa kuzima jaribio la kupinduliwa)


mwenzangu na mimi ichukue historia ya shujaa yeyote nchini kwetu halafu itengenezee hadithi yenye historia iliopinda ndani yake, huenda ukapingwa na muhimili mzito uliojaa roho mbaya mpaka ukatamani scripts ulizoandaa uzichome moto.


nataka nijaribu kuiangalia EXTRAORDINARY YOU kabla shetani hajanishawishi niifute.

KBS 'The Tale of Nokdu' and MBC 'Extraordinary You', two currently on-going dramas that have captured the heart of the young generation in South Korea. Although their ratings may not be that high, but the response online tells otherwise
View attachment 1256547
Ina maana jamaa kwenye historia alipinduliwa!!!!!!!.
Hii Drama ya Jingbirog inaonyesha jinsi Gwanghae anavyokubalika sana Mirengo yote. Hata hivyo nisishangae sana, Wanasiasa ni Vigeugeu kiasili.
 
Ina maana jamaa kwenye historia alipinduliwa!!!!!!!.
Hii Drama ya Jingbirog inaonyesha jinsi Gwanghae anavyokubalika sana Mirengo yote. Hata hivyo nisishangae sana, Wanasiasa ni Vigeugeu kiasili.
yes, walimpindua na baadae wakamtelekeza mpaka kifo chake kilipomfika ndio maana hakupewa jina la heshima (Posthumous name) kama wenzake mfano taejo, taejong, sejong, sejo, seonjo, injo, sukjong, yeongjong n.k
 
Msaada...last scandal of my life...nitaipataje!?
sijui ndio hii uliokusudia

 
yes, walimpindua na baadae wakamtelekeza mpaka kifo chake kilipomfika ndio maana hakupewa jina la heshima (Posthumous name) kama wenzake mfano taejo, taejong, sejong, sejo, seonjo, injo, sukjong, yeongjong n.k
Sijafanikiwa kuona Drama inayoelezea utawala wake lakini kupitia Drama ya "The Book Of Corrections" ameonyeshwa akishiriki vyema kwenye masuala ya kitaifa kuliko Muuza Samaki( Selfish) Seonjo.
Unadhani Jamaa Alitendewa haki?! au alipata alichostahiki?.
 
Miye namisi drama zenye Episode nyingi.

Wivu ndo unanisumbua au Nina fikra zenye makengeza why hiyo Drama ya Empress Ki karibia kila mtu anaisifu, halafu miye naiona kama Historical Drama mbovu kuliko zote nilizowahi kuziona. SIJUI.
Daah kweli tunatofautiana, yaani mimi empress Ki ndio ilinifanya nielewe siasa hata za hapa bongo
 
Back
Top Bottom