ARUMTIDI APUOYO
Member
- Jun 13, 2020
- 13
- 8
Huyu Mama mjamzito alianza clinic wiki ya 13 akapimwa vipimo mbalimbali alikuwa Salama,imefika wiki ya 30( round ya tatu ) ya kwenda clinic Mambo yakabadilika.
Amepatwa ana kisukari lakini awali hakuwa na kisukari, lakini historia ya familia yake mzee wake alikuwa na kisukari, amepungukiwa damu kutoka 12 g/dl mpaka 10 g/dl , (Toka wiki ya 13 mpaka 30 ),
Anatumia dawa ya folic acid (ferrous sulphate) kila Mara tangie aanze clinic ,ameshauriwa atumie mboga za majani na matunda kwa wingi,lkn ni mtumiaji wa mboga za majani na matunda lkn naona damu inaendelea kushuka.
ATUMIE NJIA GANI ILI AONGEZE DAMU KWA HARAKA KABLA SIKU YA MAKADIRIO YA KUJIFUNGUA KUFIKA?
Amepatwa ana kisukari lakini awali hakuwa na kisukari, lakini historia ya familia yake mzee wake alikuwa na kisukari, amepungukiwa damu kutoka 12 g/dl mpaka 10 g/dl , (Toka wiki ya 13 mpaka 30 ),
Anatumia dawa ya folic acid (ferrous sulphate) kila Mara tangie aanze clinic ,ameshauriwa atumie mboga za majani na matunda kwa wingi,lkn ni mtumiaji wa mboga za majani na matunda lkn naona damu inaendelea kushuka.
ATUMIE NJIA GANI ILI AONGEZE DAMU KWA HARAKA KABLA SIKU YA MAKADIRIO YA KUJIFUNGUA KUFIKA?