Hawa wanakuwa 9, ndani ya hao CCM walikuwa nao 8 na mmoja upinzani. Wa CCM 8, watano wanatoka Bara na watatu Visiwani. Ila huyo mmoja wa upinzani, huwa anachaguliwa kwa mizengwe, sababu kura nyingi zinatoka CCM basi huchaguliwa yule wanayemuona anatoka ktk chama kidogo kinachoendana na CCM, ama...