FuturePresident
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 321
- 54
Kwa wale vijana wazamani kidogo sio sanaa...enzi za mwl mtakumbuka kipindi cha RTD zama zile " Mambo ya Pwagu na Pwaguzi " kwa sasa mambo yanavyoendelea ndani ya sirikali yetu ni kama kile kipindi.....!!!! Very funny...
Hata kama ikijulikana kweli mkulu ali izinisha hiizi posho ......hakuna wa kuwajibika hapa....ni kulaumiana tuu kila siku na kupiga porojo yaani ...ni kama weee Pwaguzi weeee.......ni sasa unafanya!!!
Hata kama ikijulikana kweli mkulu ali izinisha hiizi posho ......hakuna wa kuwajibika hapa....ni kulaumiana tuu kila siku na kupiga porojo yaani ...ni kama weee Pwaguzi weeee.......ni sasa unafanya!!!