Watanzania hamna jipya nyie toka enzi mnalaum kila mkuu sasa basi ntaendelea kumuombea naatabaki salama siku zote ... MUNGU awape nini ili mlizike? au awape gunia la chawa mjikune mwaka mzima? Sio siri mnakera aise...eeee MUNGU wasamehe hawa hawajui walitendalo ,,,,,,watanzania mnasema munataka...