Nickson Swai
JF-Expert Member
- Sep 5, 2018
- 597
- 553
Haaah
Hapana, anataka kujua marital status yako !!!! Huwez mtongoza mtu afu unaanza habari za kazi yako cjui magari....... Atakuona wa kujaMsichana anapokwambia "Tell me about
Yourself" Manake anataka kujua kama una kazi
au una gari.. sio uanze "mimi mpole, najali,
nampenda Mungu
Mkuu umenikumbusha mbali sana,kuna dada nilimtaka kwa ajili ya kuja kuwa naye kama mke,yeye hata kazi alikuwa hana,alikuwa na tu kwenye duka la ndugu yake, nilifanya hadi process zote za kutaka kuoa na kuanza kujua ndugu zake,.Msichana anapokwambia "Tell me about
Yourself" Manake anataka kujua kama una kazi
au una gari.. sio uanze "mimi mpole, najali,
nampenda Mungu
Bila kusahau nguvu za kiume,.[/QUOTE
Kwa hiyo jibu itabidi lisiwe tofauti sana na "I have dated 20 women and none of them ever complained about my performance."😀😀
WAkolobauti😨😨😨!!Bila shaka we ni WAKOLOBAUTI....
Samahanini ndugu zangu wahaya, nimeforceka tyu kumtambulisha mleta uzi kwa wana jamvi.
Sent using Jamii Forums mobile app
😀😀😀umenikumbusha interview ya kuwasaka viranja wa shule.. jamaa alikua mbabe kweli anagombea ukiranja mkuu.. akaulizwa swali hilo hilo.. ''tell us about your self!" binadamu yule akajibu... "telling your selifu iz head prefect".. binadamu yule alisababisha mwalimu mmoja wa kike acheke hadi kudondosha chupa ya chai....
.
.
.
rai tuwe makini sana na hili swali.. si rahisi kama tunavyodhani..
Mwanamke ambaye anakuambia hivyo bado ni mtoto kwa watu wakubwa sio mambo hayo watu wanaambiana for the first time .Msichana anapokwambia "Tell me about
Yourself" Manake anataka kujua kama una kazi
au una gari.. sio uanze "mimi mpole, najali,
nampenda Mungu
Mwanamke ambaye anakuambia hivyo bado ni mtoto kwa watu wakubwa sio mambo hayo watu wanaambiana for the first time .
Mkikutana wakubwa tu anakuambia i am chris na wewe unasema queen nice to meet you nawewe unamjua neno lako sasa .
Where are from na mambo hujileta.
Watu hawako interview mapenzi ni hisia mnapeana raha tell me about yourself mko chekechea au unaomba visa .
Huo ni ushamba .
Ukimdanganya ukamla ukampiga chini.
Zamani nilishagrow upNow your grown up
Agiza kichwaj chochote nakuja kulipiaMwanamke ambaye anakuambia hivyo bado ni mtoto kwa watu wakubwa sio mambo hayo watu wanaambiana for the first time .
Mkikutana wakubwa tu anakuambia i am chris na wewe unasema queen nice to meet you nawewe unamjua neno lako sasa .
Where are from na mambo hujileta.
Watu hawako interview mapenzi ni hisia mnapeana raha tell me about yourself mko chekechea au unaomba visa .
Huo ni ushamba .
Ukimdanganya ukamla ukampiga chini.
Sijaelewa hapoAgiza kichwaj chochote nakuja kulipia
Kwaio inabidi useme mimi nipo UNICEF HQ DSM nafanyakazi kama Assitant Protection Officer NO B, na drive 2010 Crown Athlete naishi Mikocheni kwa warioba vipi na wewe je? Halafu ukute yeye anakwambia mimi nimemaliza tu diploma ya procurement...Msichana anapokwambia "Tell me about
Yourself" Manake anataka kujua kama una kazi
au una gari.. sio uanze "mimi mpole, najali,
nampenda Mungu
Ni kweli,by the time unaomba Namba ashajua chupi inaenda kuvuliwa..! Just tell her...short and clear!Ila mbona kama haya mambo now day sioni kabisa kuulizana hivyo
utaiona pepo ,trust meKibamia sio ishu sana..maana unaweza miliki AK47 na bado adui akakushinda vilevile