Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Unahitaji kuwa Afisa Usalama? Give it a try

Habari wana Jamii forum. Kiukweli nimekuwa na ndoto kwa muda mrefu sasa ya kulitumikia taifa hili katika nyanja ya usalama wa taifa. Nimekuwa muumini mkubwa wa kuangalia Korean series na ndizo ambazo zimenivutia sana kufanya kazi ya ukachero. Tatizo kubwa ni kwamba cjawahi ona tangazo la nafasi za kazi hii ya ukachero hata siku moja, cjui recruitment procedures zao zikoje? sifa zikoje wadau ili mtu aweze kuqualify kuwa kachero? Naomba mnijuze angalau wapi naanzia kuweza kutimiza hii ndoto yangu. Kwa sasa ni muajiriwa katika taasisi muhim hapa nchini lakini naamini haitakuwa kikwazo ya kuweza kufanya kazi hizo za ukachero.

Threads za aina hii zipo nyingi sana hapa Jamvini na Watu huko wamefunguka sana tu nakushangaa nawe tena umekuja Kuanzisha Uzi wako wa jambo lile lile. Na hapa ndipo unapogundua kuwa Elimu ya Tanzania bado sana na wengi wetu tunasoma ila hatuelimiki.
 
Mkuu kama hujui recruitment procedures na sifa zao zinakuaje bora usubiri pengine wapo wajuzi watasaidia. Unaniambiaje hawanihitaji wakati cjakuwa recruited, yawezakana na amini hivyo nina vigezo vyakuwa kachero lakini kwa vile cjui utaratibu ukoje pengine ndiyo sababu cjapata hiyo kazi. Naomba msaada nianzie wapi kuingia huko

Hata humu penginepo wamo ukiona hawajakutafuta jua huna vigezo. Wako sehemu mbalimbali ambao ni kwa ajili ya kutafuta kuruta wao. Wakati fulani katika mafuzo ya kwata za mguu pande mguu sawa mkufunzi mmoja aliniambia uko vizuri sana physical na mentally hata katika ushawishi, ungeniafaa sana tatizo lako hutaki kutawaliwa uko kutawala na kujitawala hapo tu ndio hatuelewani na siwezi kukubadilisha katika hillo na hutanifaa utaniangusha huko mbeleni.
 
Mimi ni new member bado cjajua kutag, nisaidie tafadhali.
yani baada ya kuota ndoto umeona uje kujiunga humu ili uweze kisaidiwa.... hukuwaza kuhusu fb? ndg zako? ofisi ya mkuu wa wilaya au mkoa??

kama hukuwaza yote na mengine mengi na kufanya utafiti kidogo kuhusu hili basi nazani haufai kwa sasa labda baadae...

kukusaidia nenda jiunge police... itakuwa njia rahisi kwako, usiniulize kwann, na kama una uitaji nenda police...
 
Threads za aina hii zipo nyingi sana hapa Jamvini na Watu huko wamefunguka sana tu nakushangaa nawe tena umekuja Kuanzisha Uzi wako wa jambo lile lile. Na hapa ndipo unapogundua kuwa Elimu ya Tanzania bado sana na wengi wetu tunasoma ila hatuelimiki.
Wengine ni new member humu unaposema hivo unakosea kama unaona kuna thread ipo ungeattach. Sasa inawezekana hiyo thread imetumwa four years back sisi new members tunaipateje? Inawezekana ww ni miongoni mwa ambao hawakuelimika.
 
yani baada ya kuota ndoto umeona uje kujiunga humu ili uweze kisaidiwa.... hukuwaza kuhusu fb? ndg zako? ofisi ya mkuu wa wilaya au mkoa??

kama hukuwaza yote na mengine mengi na kufanya utafiti kidogo kuhusu hili basi nazani haufai kwa sasa labda baadae...

kukusaidia nenda jiunge police... itakuwa njia rahisi kwako, usiniulize kwann, na kama una uitaji nenda police...
Mimi naelewa kazi hii inahitaji usiri mkubwa sana hata mke hatakiwi kujuwa, sasa kuanza kuomba ushauri fb cjui kwa ndugu nadhani ni kupoteza sifa za kuwa kachero. Hapa ndio sehem sahihi kwa vile hatutumii real id
 
Wengine ni new member humu unaposema hivo unakosea kama unaona kuna thread ipo ungeattach. Sasa inawezekana hiyo thread imetumwa four years back sisi new members tunaipateje? Inawezekana ww ni miongoni mwa ambao hawakuelimika.

Mpaka umejibu kwa mtiririko huu tayari umeshathibitisha kuwa Wewe ni Mzoefu hapa Jamvini isipokuwa tu umeamua Kuja na ID nyingine. Huhitaji kuwa na akili kubwa sana kujua kuwa Wewe hapa ni Mkongwe na ndiyo maana wenye akili zaidi yako tumekupuuza na tunakuona Fungulu Ngenge fulani hivi.
 
Mkulima anaelima kwa mapenzi yake anaifanya vizuri na kwa ufanisi kazi yake

Kadi ni kitu ambacho muda wowote naweza pata maana utaratibu wa kujiunga na chama cha siasa upo wazi na ni haki ya kila mtu
Sawa
 
Mimi naelewa kazi hii inahitaji usiri mkubwa sana hata mke hatakiwi kujuwa, sasa kuanza kuomba ushauri fb cjui kwa ndugu nadhani ni kupoteza sifa za kuwa kachero. Hapa ndio sehem sahihi kwa vile hatutumii real id
una zani ukipata hiyo kazi familia yako haito fahamu?? ina wezekana wazazi wako wakawa wa kwanza kufahamu kuliko wewe...! na kama utaishi na wazee au mke watafahamu tu...

MF. utapewa kifaa kama pingu kama alivyo kuwa ana miliki J.Muro... utaifukia chini?? uta pigiwa simu upo na mkeo kitandani SAA 9 usiku utaenda ongerea nje ya nyumba...

Na kumbuka hakuna siri ya watu wawili (wengi,)

ebu jitahidi kuwa na uwanja mpana wa kuangaisha kichwa chako...

ebu fikiria kama kila afisa usalama hatakiwi kufahamika ktk jamii vipi kuhusu ofisi ya afisa usalama wilaya au mkoa. (ndio maana hata nilipo kwambia nenda kwa mkuu wa wilaya au mkoa hukuelewa sababu hukutaka angaisha akili yako)

ninyi ndio maafisa usalama mtakao kuja kuwa hatari ktk jamii... INA wezekana hata kwenu mzee au mama yako ni afisa au Dada yako ni afisa lakini uwezi elewa hilo kwakuwa tayari una ishi dunia yako
 
Back
Top Bottom