kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,301
- 12,600
Kitu kikubwa kilicho wafanya wazee wetu wamchukie mkoloni kupita kiasi hadi kuamua kujiunga Kwa wingi nyuma ya TANU kudai Uhuru ni kuichukia Kodi ya manyanyazo waliokuwa wakitozwa na mkoloni.
Wazee walikimbia porini kukwepa ukatili wa mkoloni alivyokuwa akikusanya Kodi ya kichwa. Kero hiyo ndiyo iliyowafanya wazee wetu wamuunge mkono Mwl Nyerere kudai Uhuru. Mwl Nyerere kwa kulijua hilo aliifuta kodi baada ya Uhuru na hakutilia manani saaana kuhusu ulipaji kodi.
TRA ya leo lazima itumie weledi kukusanya kodi toka Kwa wananchi maana Kodi ya maonevu na ubabe itaikosanisha selikali na walipa kodi wake.
Wazee walikimbia porini kukwepa ukatili wa mkoloni alivyokuwa akikusanya Kodi ya kichwa. Kero hiyo ndiyo iliyowafanya wazee wetu wamuunge mkono Mwl Nyerere kudai Uhuru. Mwl Nyerere kwa kulijua hilo aliifuta kodi baada ya Uhuru na hakutilia manani saaana kuhusu ulipaji kodi.
TRA ya leo lazima itumie weledi kukusanya kodi toka Kwa wananchi maana Kodi ya maonevu na ubabe itaikosanisha selikali na walipa kodi wake.