Katika kile wanachokiita halmashauri kubuni vyanzo vya mapato, msalala imepitisha na kuamulu kila mtumishi wa kwenye mgahawa na mama lishe na bar med kupima Virusi Vya Ukimwi (V.V.U) kwa kulipia sh. 10000 kwa kila mfanyakazi wa bar, mgahawa au hoteli.
Matangazo hayo yanaendelea kutangazwa...
Ni takribani mwezi na nusu toka mheshimiwa rais Magufuli atoe kauli yake dhidi ya wawekezaji kujirimbikizia maeneo ya uchimbaji madini makubwa ambayo hawayatumii huku watanzania wakifa na njaa. Alizuia wapiga kura wake kufukuzwa hovyo kwa ajili ya muwekezaji mmoja.
Cha kushangaza jana waziri...
ndugu mbona hili jina la namba uliyonitumia limekaa kisanii sana? nilitaka ku confirm lakini jina lako la mpesa limenitia mashaka. leta details za kutosha kwanza mkuu
Duh pole sana, ni maisha ambayo hata mimi nimeyapitiia nikiwa udsm, ninajua situation uliyonayo! nakumbuka hata fee ya semister ya mwisho nililipa siku ya j3 asubuhi wakati huo saa5 nina pepa! nilikua frastrated sana.
Ushauri wangu weka no ya simu nikuchangiw hata hiyo 1000 maana hata mie huku...
tumia elimu yako kufikili nje ya box, buni mradi/idea wafuate watu wenye pesa washawishi wakuwezeshe idea yako! mie nilijaribu baada ya kuona ajira ni tatizo
Asante Sajo kwa ufafanuzi wako mzuri ila ni vipi pale ambapo nipo assured of the tender while sina mtaji na ninahtaji JV na kampuni ambayo ina mtaji ni mgawanyo upi mzuri wa faida in %?
Wabobezi katika sheria za muungano wa kampuni naomba msaada wa kisheria inayohusu JV.
Nina kampuni yangu haina mtaji wala vifaa ila ila ina watu wenye uwezo wa kutafta fursa za kazi (tenders) ninahitaji kuungana na kampuni ambayo ina mtaji,wataalam na vifaa.
Ninachohitaji kujua ni kuwa katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.