Ebu jiweke kwenye nafasi ya mwanaume mwenzako, alafu mwanaume mwenzako ampigie mchumba wako na kumweleza mambo ya usheeee... alafu HISIA UTAKAZOZIPATA, kama ZITAUPA MOYO wako AMANI basi fanya kama hazikupi amani, KIMBIA, KAA MBALI na uyo dada maana ukimzoea, MADHARA YAKE NI MAKUBWA SANA. kata...