cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
shangazi hawezi gfsonwin kutimiza mahitaji ya wanagu pasee, labda tu part of it! na ukweli kabisa mume wangu akiwa hana amani raha ya ndoa nitaipataje?? maana amani yake ndio inafanya mtwangio uwe imara na uweze kutwanga barabara! lakini kama amani imepotea atatwangaje sasa?? cha kwanza huwa ninahakikisha kipo ili atwange barabara kwenye kinu changu ni AMANI KWANZA! LOL!cacico ma dear umenipa majibu yenye maswali tena hivi kwani wanao wakitimiziwa mahitaji na shangazi au wajomba je itatimiza raha yako? inamaana siku ambayo mumeo hana amani basi kwako raha ya ndoa hakuna?
Last edited by a moderator: