NTINGINYA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2010
- 252
- 47
Heshima yenu wakuu nasumbuliwa na kukerwa sana na hili jambo nimkuwa nikipata na weusi kwenye makwapa na katikati ya mapja kitu hiki kinaninyima raha. najisugua sana napooga lakini hakuna mabadiliko.kuna mtualinishauri kutumia dawa lakini sikupenda kwakuwa ni kemiko naomba kama kunadawa za kawaida zisizo na kemikali