chitanda.nyoka
Senior Member
- May 3, 2012
- 193
- 43
Ndugu zangu me huwa siamini ushirikina hla kwa tukio hili naamini upo coz tuliitwa kwenye interview na jamaa akanambia twende kongowe kwa babu yake hili tufanikiwe maana interview ilikua 1 tu ya oral na jamaa english utata.
Alivyorudi toka kwa babu akanambia nimeshapata kazi hata nicpoenda kesho yake tunaenda kwenye interview tumeitwa wote tumefanya usaili mpaka tunamaliza jamaa hajaitwa akamfuata secretary kumuuliza akamuonyesha cv yake ipo kwa waliofanya usaili baada ya siku 3 kapgiwa cm kala shavu, nikamkumbuka mandojo na domokaya tunaweza kulia na mola kumbe wanga nao wana mix
Alivyorudi toka kwa babu akanambia nimeshapata kazi hata nicpoenda kesho yake tunaenda kwenye interview tumeitwa wote tumefanya usaili mpaka tunamaliza jamaa hajaitwa akamfuata secretary kumuuliza akamuonyesha cv yake ipo kwa waliofanya usaili baada ya siku 3 kapgiwa cm kala shavu, nikamkumbuka mandojo na domokaya tunaweza kulia na mola kumbe wanga nao wana mix