Nafasi za kazi TCC

chipalila1

JF-Expert Member
Apr 6, 2012
259
31
wadau naomba kuuliza nafasi za kazi TANZANIA CIGARETTE COMPANY huwa zna tangazwa wapi?

Sababu sijawahi kutana na advert la hawa jamaa.
 
hao jamaa mimi pia sijawahi sikia et wanatangaza nafasi za kaz,labda na wenyewe ndo walewale KAMLETE
 
wanatumia agent na wanapokea barua wakipata nafasi wana ku call acording to ur qulifcatin
 
mkuu TCC wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;

1. final year student with major in accounting, finance, marketing, management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.

they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order to achieve great sucess"
 
mkuu TCC wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;

1. final year student with major in accounting, finance, marketing, management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.

they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order to achieve great sucess"

deadline lini mkuu?
 
Awa jamaa wanapata staff hasa kwa kupita vyuoni mara nyingi UDSM kupitia events wanazofanya kama presentations wanazopanga kwa kutembelea vyuo na kufanya mazungumzo na graduates watarajiwa. Hawaji \hawaendi vyuoni peke yao. Hualikwa na chuo husika, na wanakua waajiri wengi zikiwemo Benki, TBL na waajiri wengine ambao huitika mwaliko pindi utokeapo. TBL na TCC wanaangalia wenye pass kubwa i.e uper 2nd\1st kwa matokeo ya semesta za nyuma hivyo SIO KWELI Kwamba wanapeana nafasi, maana UKIWA NA SIFA wanazotaka, unapata
 
mkuu TCC wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;

1. final year student with major in accounting, finance, marketing, management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.

they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order to achieve great sucess"

wamesema chochote kuhusu gpa au degree qualification? 2onane kimweri 103
 
mkuu TCC
wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana
tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina
uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa
vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika
barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;

1. final year student with major in accounting, finance, marketing,
management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.

they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order
to achieve great sucess"

last year nlkuwa mzumbe sikuwaona , labda wameanza this year.
 
Back
Top Bottom