chipalila1
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 259
- 31
wadau naomba kuuliza nafasi za kazi TANZANIA CIGARETTE COMPANY huwa zna tangazwa wapi?
Sababu sijawahi kutana na advert la hawa jamaa.
Sababu sijawahi kutana na advert la hawa jamaa.
hao jamaa mimi pia sijawahi sikia et wanatangaza nafasi za kaz,labda na wenyewe ndo walewale KAMLETE
mkuu TCC wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;
1. final year student with major in accounting, finance, marketing, management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.
they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order to achieve great sucess"
mkuu TCC wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;
1. final year student with major in accounting, finance, marketing, management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.
they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order to achieve great sucess"
wamesema chochote kuhusu gpa au degree qualification? 2onane kimweri 103
mkuu deadline ilikuwa tarehe 15/06/2012, upo Mzumbe University ????????deadline lini mkuu?
mkuu TCC
wanatangaza nafasi za kazi kupitia magazeti ila ni muda wapo kimya maana
tangazo la mwisho lilikuwa mwaka jana mwezi wa kum na moja (sina
uhakika sana) kwa mwaka huu kuna barua wamepitisha vyuoni ila sijui kwa
vyuo vingapi lakini mimi nipo Mzumbe University-main Campus walibandika
barua wanataka watu kwa ajili ya internship na awe na sifa zifuatazo;
1. final year student with major in accounting, finance, marketing,
management, law and economics.
2. excellent communication skills in both English and Swahili
3. basic computer skills
4. boundless energy and can do attitude.
they said "TCC seeks Tanzania best graduates to grow together in order
to achieve great sucess"
hata mimi mwaka jana sikuliona hilo Tangazo wala nn ila mwaka huu wameweka.last year nlkuwa mzumbe sikuwaona , labda wameanza this year.