Maelezo marefu sana sijamaliza kusoma yote ila inaonesha hujakiz viwango vyao.....haijalish km ni haki au si haki cha muhm ni kuwa badili stategy yako ya kuelekea mafanikio,km strayegy ya elimu imekataa jalb nyngne km bzness ama ajiliwa na hyo diploma yako mtanganyika mwenzangu
Umeandika kwa kuchanganya na skili zako au ulipoambiwa uandike ukafanya bila kujua unachoandika.......waulize wamelud kwa maslah ya wananchi au ya kwao wao waliposikia posho hawatapata!!!!!
Sidhani km muuaji alikuwa shoga...nlimskia baba yake bbc akisema kuwa kabla ya kutekeleza maauaji yale mtoto wake jana yake alioona wanaume wawili wakipigana denda na kitendo kile kilimkela sana,hata obama leo ameskika akisema muuaji hakuwa gaidi bali alifanya maauaji yake kwa msimamo wake...
Ok lets assume ni yake,we unatakaje,kumbe kwel maskin humchukia mtu tajili na ndo maana tajili anamdhalau mtu maskin kutokana na fikla za kipuuz km hizo na chuki binafsi
Mwanaume unatoka povu kwa ishu zisizo na maana...elekeza muda na nguvu zako ktk kujijenga kimaisha ili uondokane na huo umaskini wa fikra na kipato ulionao
Hafai kuolewa na mtu mwenye hekima na busara na ww pia hufai kuoa mtu mwenye hekima,busara na hofu ya mungu hivo oaneni tuu coz wote hamna hofu ya mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.