Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

Ridhiwani Kikwete, Hii kampuni ni yako?

Tuwe tunafanya utafiti (research) kidogo tu kabla hatujaleta Mada hapa jamvini na kuanza kutaja watu majina.
Huyo jamaa anaitwa LUGUMI ni Msukuma fulani ana hela zake na biashara hajaanza jana wa juzi. Uliza vizuri au watakuja watu wanaomfahamu hapa JF watakuelewesha. Mwisho wake mtasema AZAM ni ya Riz na amemuweka Bakhresa tu pale na watoto wake.

kweli mkuu lugumi ni tofauti na rizi ni mjanja wa mjini na pia ndio mmiliki wa kz security.
 
Tuwe tunafanya utafiti (research) kidogo tu kabla hatujaleta Mada hapa jamvini na kuanza kutaja watu majina.
Huyo jamaa anaitwa LUGUMI ni Msukuma fulani ana hela zake na biashara hajaanza jana wa juzi. Uliza vizuri au watakuja watu wanaomfahamu hapa JF watakuelewesha. Mwisho wake mtasema AZAM ni ya Riz na amemuweka Bakhresa tu pale na watoto wake.

huyu Bwana mmiliki anaitwa Said Lugumi, Sema wanashea flan na riz one kwenye biashara na biashara kubwa wanasaplay Vifaa vya umeme na kweli huwa kuna tenda unapiga nyingi tu za serikali kutoka serikalin ni msukuma by tribe na kijana anayejituma kwa kweli ni jiran yangu hapa ndege beach. Sema anavyojilinda utafikir ni Rais wa nchi.
 
huyu Bwana mmiliki anaitwa Said Lugumi, Sema wanashea flan na riz one kwenye biashara na biashara kubwa wanasaplay Vifaa vya umeme na kweli huwa kuna tenda unapiga nyingi tu za serikali kutoka serikalin ni msukuma by tribe na kijana anayejituma kwa kweli ni jiran yangu hapa ndege beach. Sema anavyojilinda utafikir ni Rais wa nchi.

Mkuu kama na wewe ni jirani yake hapo Ndege Beach Kwenye Mighorofa yake basi na wewe ni fisadi.
 
Wewe ndo ufanye utafiti wa kutosha, fika pale ATC HOUSE GHOROFA YA PILI Uanze utafiti wako acha kukurupuka, Tumezoea kuambiwa kuwa ohhh ni ya msukuma mara mhindi bado mchina, lakini yote 9 kumi, ni kuwa kodi analipa TRA and PANGO pale ATC?

Sasa mkuu kama umefanya utafiti mbona tena unakuja kutuuliza sisi ambao hatujashiriki huo utafiti. Mbona na pia hukumalizia hiyo tafiti yako ukaja kutumwagia data hapa moja kwa moja. Kamilisha sehemu ya pili ya utafiti uje na data kama analipa kodi au la.
 
Wewe ndo ufanye utafiti wa kutosha, fika pale ATC HOUSE GHOROFA YA PILI Uanze utafiti wako acha kukurupuka, Tumezoea kuambiwa kuwa ohhh ni ya msukuma mara mhindi bado mchina, lakini yote 9 kumi, ni kuwa kodi analipa TRA and PANGO pale ATC?
swali je analipa kodi? na kama halipi kwa nini mamlaka husika hazimfanyii kazi...hayo mengine ni majungu na njaa tu kila mwenye Prado mjini mnamuona fisadi..Acheni kufuatilia maisha au mafanikio ya wenzeno nnjooni Mikumi huku tulime vitunguu kwani vinalipa sana
 
Kijana mwenzetu, mtanashati na mzalendo wa nchi hii na mwanasheria na wakili msomi wa mahakama kuu Nd. Ridhiwani kikwete ametajwa kumiliki kampuni kubwa iitwayo LUGUMI, kampuni hii ipo maeneo ya hapa POSTA mpya jengo la ATC HOUSE, jengo hili ni mali ya watanzania wote na ndo ofisi kuu ya shirika la Ndege za serikali.

Kampuni hii inajihusisha pamoja na mambo mengine na maswala ya Unyunyiziaji wa dawa za kuulia wadudu yaani Furmigation katika ofisi mbalimbali za umma na binafsi hapa nchini.

Katika kuficha ili asifahamike, kijana huyu amemuweka mtu pale ili awe msimamizi tu, ili yeye awe anatafuta tender kupitia kofia ileeee.

Swali ni je, analipa kodi serikalini? kwa sababu wana magari mengi sana pale, sasa je alilipa kodi ya serikali wakati anayaingiza? na je, Shirika la Ndege la ATC linapata kodi yake?
Hii kampuni ni ya kijana mmoha anaitqa said lugumi ni mtu wa magu,ni kigana mtafutaji na ameqnza siku nyingi sana utafutaji,aliajiriwa mza na jamaa mmoja anaitwa amrani batenga,polepole ndiyo kafikia happ alipo
 
Kijana mwenzetu, mtanashati na mzalendo wa nchi hii na mwanasheria na wakili msomi wa mahakama kuu Nd. Ridhiwani kikwete ametajwa kumiliki kampuni kubwa iitwayo LUGUMI, kampuni hii ipo maeneo ya hapa POSTA mpya jengo la ATC HOUSE, jengo hili ni mali ya watanzania wote na ndo ofisi kuu ya shirika la Ndege za serikali.

Kampuni hii inajihusisha pamoja na mambo mengine na maswala ya Unyunyiziaji wa dawa za kuulia wadudu yaani Furmigation katika ofisi mbalimbali za umma na binafsi hapa nchini.

Katika kuficha ili asifahamike, kijana huyu amemuweka mtu pale ili awe msimamizi tu, ili yeye awe anatafuta tender kupitia kofia ileeee.

Swali ni je, analipa kodi serikalini? kwa sababu wana magari mengi sana pale, sasa je alilipa kodi ya serikali wakati anayaingiza? na je, Shirika la Ndege la ATC linapata kodi yake?
Thread Nyengine ni za Majungu, Umbea au Niseme ni Chuki, kama ulitaka kujua hayo kwanini usiende TRA kuulizia?? au hao ATC ulisikia wamelalamika pahala kuwa hawalipwi kodi? Na katika hii Tanzania ni yeye tu mwenye kampuni yenye magari? Nadhani hii post yako ingependeza kama ungekuja na data kua jamaa halipiku kodi ya jingo wala ya Serikali, bila ya hivyo itabaku kuwa Majungu, mana nyie siku haiwi tamu kwenu mpaka mumtie midomoni huyu mtu, kwani kuwa Mwanasheria huruhusiwi kuwa na Kampuni n.k...Na ni kampuni zote unafatilia au ni ya huyo jamaa tu????? Wivu.
 
Hii kampuni ni ya kijana mmoha anaitqa said lugumi ni mtu wa magu,ni kigana mtafutaji na ameqnza siku nyingi sana utafutaji,aliajiriwa mza na jamaa mmoja anaitwa amrani batenga,polepole ndiyo kafikia happ alipo
asante kwa ufafanuzi mana watu wengine wapo kimajungu tu na kuchafuana.
 
_70428407_013376159.jpg


usijali.... hata huyu alikuwa mara kumi zaidi ya huyo Riz
Mungu atamlinda wala hatafika huko mnakotaka kwa sabab tu ya chuki zenu.
 
Ktk gazeti la Mwanahalisi la jana limemtaja motto wa raisi mstaafu, Afisa usalama wa taifa aliyepata mgao wa excrew na waziri 1 mwandamizi wa awamu ya 4 kuwa ndio wamiliki wa Lugumi. Lugumi ilikuwa ilipwe shs bilioni 31 hivi karibuni na BoT lkn Magufuli alizuia majuzi. hawa jamaa inasemekana wameitumia sana ikulu kupiga hela chafu za kiwiziwizi sana.
 
Hata ukijua au usijue, iwe yake au sio yake, analipa kodi au halipi kodi mimi nakuambia UMASIKINI wako na wazee wako hauta kutoka.alopewa kapewa.
Wewe ni maskini wa fikra sana, nakushauri nenda dukani kanunue fikra!
 
Tuwe tunafanya utafiti (research) kidogo tu kabla hatujaleta Mada hapa jamvini na kuanza kutaja watu majina.
Huyo jamaa anaitwa LUGUMI ni Msukuma fulani ana hela zake na biashara hajaanza jana wa juzi. Uliza vizuri au watakuja watu wanaomfahamu hapa JF watakuelewesha. Mwisho wake mtasema AZAM ni ya Riz na amemuweka Bakhresa tu pale na watoto wake.
Usiongee kitu ambacho hukijui, kuna hoja hapo ya msingi kwenye hii post, kwa taarifa yako wewe humjui huyo unayedai ni msukuma na mfanyabiashara wa muda mrefu. Kwa taarifa yako anayejiita kumiliki hii kampuni anaitwa Said Lugumu, huyu wala hakuwahi kuwa mfanyabiashara mkubwa kama unavyodai bali alikuwa na fundi viatu pale Magu Mwanza, elimu yake ni darasa la saba na umri wake hauzidi 35 years. Alikuja DSM mchovu tu ndio akapata bingo na leo anasimamia hiyo kampuni
 
Kijana mwenzetu, mtanashati na mzalendo wa nchi hii na mwanasheria na wakili msomi wa mahakama kuu Nd. Ridhiwani kikwete ametajwa kumiliki kampuni kubwa iitwayo LUGUMI, kampuni hii ipo maeneo ya hapa POSTA mpya jengo la ATC HOUSE, jengo hili ni mali ya watanzania wote na ndo ofisi kuu ya shirika la Ndege za serikali.

Kampuni hii inajihusisha pamoja na mambo mengine na maswala ya Unyunyiziaji wa dawa za kuulia wadudu yaani Furmigation katika ofisi mbalimbali za umma na binafsi hapa nchini.

Katika kuficha ili asifahamike, kijana huyu amemuweka mtu pale ili awe msimamizi tu, ili yeye awe anatafuta tender kupitia kofia ileeee.

Swali ni je, analipa kodi serikalini? kwa sababu wana magari mengi sana pale, sasa je alilipa kodi ya serikali wakati anayaingiza? na je, Shirika la Ndege la ATC linapata kodi yake?
Ok lets assume ni yake,we unatakaje,kumbe kwel maskin humchukia mtu tajili na ndo maana tajili anamdhalau mtu maskin kutokana na fikla za kipuuz km hizo na chuki binafsi
 
Usiongee kitu ambacho hukijui, kuna hoja hapo ya msingi kwenye hii post, kwa taarifa yako wewe humjui huyo unayedai ni msukuma na mfanyabiashara wa muda mrefu. Kwa taarifa yako anayejiita kumiliki hii kampuni anaitwa Said Lugumu, huyu wala hakuwahi kuwa mfanyabiashara mkubwa kama unavyodai bali alikuwa na fundi viatu pale Magu Mwanza, elimu yake ni darasa la saba na umri wake hauzidi 35 years. Alikuja DSM mchovu tu ndio akapata bingo na leo anasimamia hiyo kampuni
Mimi huyu lijana unayemsema niliwahi kumuajiri hapa mza,alijifunza biadhara wakati yupo kwangu na alianza biashara hapa mza na wala hakuja dar mchovu alikuja dar akiwa kaishapata kipato japo sio kikubwa
 
Back
Top Bottom