Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,211
- 42,074
Mnaposhinda case agizo hutoka wapi?Agizo liliishatoka kuwa mahakimu na Majaji wahakikishe Serikali na CCM haishindwi kesi yeyote hivyo huo ni utekelezaji wa Agizo la kauli ya yule.
Mnaposhinda case agizo hutoka wapi?Agizo liliishatoka kuwa mahakimu na Majaji wahakikishe Serikali na CCM haishindwi kesi yeyote hivyo huo ni utekelezaji wa Agizo la kauli ya yule.
Unajipa matumaini ya kuvuka bahari kwa miguu , pole sana mkuu ..na Lema c aliwakalisha huko huko arusha ? naye mlijipa matumaini ya kwenda unguja kwa miguu je, mlifika?NAFIKIRI BADO UKO MBUGANI NJOO MJINI UTAONA UKWELI
Mimi ni CCM ila kwa Arusha hata uchaguzi urudiwe mara ngapi hatuwezi kumshinda Chadema.. Tena ndio mkoa wa Lowassa hata iweje CCM hatushindi..
Huyi Jaji kapoteza fedha zetu bure kwa kitu ambacho kiko wazi
Sawa rehema mafundaWanapoteza hela tu, kule hawana chao...labda ingekuwa Dodoma.
Hapo sasa ni siasa kwa kwenda mbele"Patamu hapo....marufuku siasa....ghafla mlango unajitokeza"
na tutawapiga mpaka watapike sukari,kudadeki!Hatukati rufaa tumepata nafasi ya kufanya siasa na kuwaadhibu fisiem kwa kipigo cha mbwa koko
Dah, usitake niamini kuwa usalama wa taifa ni lege lege mpaka ulitekwa na LowassaHujuma za mtandao wa Lowasa uliokuwa ndani ya serikali lakini Mungu si Athumani yanaelekea mwisho
Kule miaka mia Hata urudiwe mara 20 Cm Haina chakeSafi sana. Na tukirudia lazima tuwakalishe chini
Lolote laweza kutokea..Kule miaka mia Hata urudiwe mara 20 Cm Haina chake
Umesahau sheria ya mita 200? Subiria uone mchezo unavyo enda.Tusuburi sasa tuanze kupima serikali na upinzani nani anakubalika kupitia chaguzi ndogo. Kutakuwa na mengi ya kujifunza kwa matokeo yoyote yale.
NASHAURI YAFUATAYOOKesi iliyokuwa inaunguruma kuanzia tarehe 29.02.2016 katika mahakam kuu jijini Arusha imetolewa hukumu leo hii
Katika shauri hilo aliyekuwa mgombea ubunge wa CCM jimbo la Longido Dr KIRUSWA alifikisha mahakamni shauri hilo la kupinga matokeo ya ushindi dhidi ya mbunge wa Longido mh ONESMO NANGOLE.
Akisoma hukumu hiyo,Jaji MWAGESI alisema kwamba mlalamikaji ndugu Kiruswa aliwakilishwa na Wakili msomi Dr.Masumbuko Lamwai na Wakili Haraka.
Katika shauri hilo,dai la msingi la mlalamikaji bwana Kiruswa lilikua ni
1.Kutumika kwa lugha ya matusi na kashfa wakati wa kampeni kutoka kwa mh Onesmo Nangole
2.Kuwepo kwa wapiga kura kutoka nchi jirani ya Kenya walioletwa na Mh Nangole
3.kutumika kwa magari ya Chadema kwenye kusindikiza na kubebea masanduku ya kupigia kura
4.Mkurugenzi wa Uchaguzi kutangaza matokeo baada ya mgombea wa CCM kutolewa nje.
5.Kutokea kwa vurugu ndani ya chumba cha kuhesabu matokeo
Kutokana na madai hayo na kwa kuzingatia kanuni,sheria na ushahidi uliotolewa pamoja na vielelezo na mashahidi wa pande zote mbili,Jaji kutoka mahakama kuu Bukoba Mh.Jaji Mwagesi alisema;
"Kutokana na kuzingatia viini vyote vya shauri hili kama vilivyosikilizwa na kwa mujibu wa sheria,Natamka kwamba;
Mahakama hii imetengua shauri hili na kwa kujirisha kwamba mchakato mzima haukuwa wa haki na huru hivyo mahakama inaamuru uchaguzi urudiwe upya.
UMESIKIA NA NANI ACHA UMBEANasikia wanarudisha jimbo la Longido huko Dodoma ili kura zipigwe huko CCM washinde....LOL!