Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume.
Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi.
Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga.
Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
Anahitajika MPISHI/mtaalamu wa kupika CHAPATI (vitafunwa) na CHIPS
Awe wa kiume
Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi
Eneo la kazi. SHINYANGA
Njoo DM very serious
Naomba msaada kwa wataalam waliokwisha kulima na zao la Alizeti.
wanapambana vipi na ndege maana naona watamaliza juhudi zote nilizoweka mwaka huu maana wako wengi na wanashambulia mazao kweli kweli.
Naomba msaada kwa wataalam waliokwisha kulima na zao la Alizeti wanapambana vipi na ndege, maana naona watamaliza juhudi zote nilizoweka mwaka huu.
Wako wengi na wanashambulia mazao kweli kweli.
Naomba msaada kidogo mm nina mpango wa kulika alizeti ila naskia ndege wanapenda sana hili zao mnawezaje kueafukuza ndege naombeni msaada kwa wenye unusi na hili swala
Mchumba baade aje kuwa mke anahitajika.
Sifa zake..
Umri miaka 22--35
Kabila lolote
Makazi-Dar es salaam
Akiwa mnene itapendeza zaidi
Rangi yeyote
Elimu kuanzia kidato cha 4
Mrefu au mfupi vyote ni sawa tu
Sifa zangu
Miaka yangu ni 31
Makazi Dar es salaam
Mfanyabiashara
Karibuni sana..
Tanesco kigamboni vijibweni soweto siku umeme usipokatika zaidi ya mara tatu wakazi wa huku lazima tuitane tukae kikao leo tanesco wamepatwa na nn??..Kati ya maeneo tanzania nzima KIGAMBONI NDO ENEO LINALOKATIKA UMEME KUTWA HATA MARA 3.4 PAKA 5 BILA HATA TAARIFA YEYOTE...Au wanafunzi wa mafunzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.