Qurie
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 3,638
- 3,850
Labda wanataka wawagawie vochaNashangaa wanakomaa na namba eti
Labda wanataka wawagawie vochaNashangaa wanakomaa na namba eti
Mimi nipo Kibada karibu na Shangwe Hardware, shughulikia kero ulete feedback ya utatuzi hapa achana na namba za simu.Tumechukua hatua kadhaa kuboresha hali ya upatikanaji wa umeme maeneo mengi ya Kigamboni,pia yapo maeneo ambayo miradi ya uboreshaji wa voltage unaendelea.je wewe upo eneo gani na namba yako ya simu tafadhali
Tunaomba taarifa kamili tafadhali eneo namba ya simu na tatizo lakoMimi nipo Kibada karibu na Shangwe Hardware, shughulikia kero ulete feedback ya utatuzi hapa achana na namba za simu.
HahahahahaLabda wanataka wawagawie vocha
Bibie samahani lakini, hivi hiyo avatar ni wewe?Labda wanataka wawagawie vocha
Tunashukuru sana mpendwa mteja wetu
WilayaTanesco kama mgao wa umeme upo muwege mnatoa taarifa basi.... mnakata umeme kuanzi asubuhi hadi jioni bila taarifa yoyote na kwa siku nyingi mfululizo..... YANI MNAJIAMULIA TU KANA KWAMBA HAMJUI MNAKWAMISHA KAZI ZA WATU KIZEMBEZEMBE NA KUHARIBU MALI ZA WATU.
Haya, mkikata umeme rudisheni kistaarabu basi, yani jitu linakaa kwenye switch linawasha paaap, linazima.... linawasha tena paap, linazima,.... VITU AMBAVYO HATA MTOTO MDOGO HAFANYI TANESCO WATENDAJI WENU WANAFANYA.
Hawa watu wanakera sana... Mimi kwa miaka ipatayo 10 sasa nawalipa kwa wakati mwezi mzima na nina akiba ya "units" zinazoniwezesha kukaa miezi mitatu bila kununua umeme, lakini kwa wastani siku kumi katika mwezi sipati huduma yao kwa sababu ya hii tabia ya "Kata Zima".. Nadhani TANESCO wameajiri watoto wanaogeuza "switch" kama kidali po!.Wekeni utaratibu wa SMS notifications kwenda kwenye simu za wateja wenu pale mnapotarajia kukata umeme mara kwa mara ili wateja wenu wachukue tahadhari.
Pamoja na haya nashauri ninyi TANESCO pia muandae MKATABA WA HUDUMA kwa mteja utakaowafanya kuwa responsible zaidi kajifunzeni kwenye mamlaka na mashirika mengine ya serikali k.v tcra
Wilaya
Eneo
Namba ya simu tafadhali
Hawa watu wanakera sana... Mimi kwa miaka ipatayo 10 sasa nawalipa kwa wakati mwezi mzima na nina akiba ya "units" zinazoniwezesha kukaa miezi mitatu bila kununua umeme, lakini kwa wastani siku kumi katika mwezi sipati huduma yao kwa sababu ya hii tabia ya "Kata Zima".. Nadhani TANESCO wameajiri watoto wanaogeuza "switch" kama kidali po!.
Bibie samahani lakini, hivi hiyo avatar ni wewe?
TANESCO ina mkataba wa huduma kwa wateja toka mwaka 2009 tafadhali pitia tovuto yetu kuuonaInabidi waweke Mkataba wa Huduma kwa Mteja kama walivyofanya TCRA na mashirika mengine...ili wakiharibu tu mkataba uwabane hata kulipa fidia ikiwa wamesababisha hasara anyhow!