M mawindo Member Joined May 18, 2018 Posts 66 Reaction score 104 Dec 7, 2020 #1 Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume. Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi. Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga. Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume. Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi. Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga. Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
holy holm JF-Expert Member Joined May 6, 2017 Posts 4,792 Reaction score 9,202 Dec 7, 2020 #2 Kuna mtu namjua nikuunge nae
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,877 Dec 7, 2020 #3 Ngoja waje... Cc: mahondaw
M mawindo Member Joined May 18, 2018 Posts 66 Reaction score 104 Dec 7, 2020 Thread starter #4 holy holm said: kuna mtu mamjua nikuunge nae Click to expand... Fanya hivyo chap
M makenga 1 Member Joined Oct 24, 2015 Posts 17 Reaction score 16 Dec 24, 2021 #5 Hello, Ushapata au bado?
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,637 Reaction score 220,408 Dec 24, 2021 #6 Kuna wadada wa Kidogo wanapika chapati zenye kurasa.