Anahitajika Mpishi - aweze kupika vitafunwa na chipsi

Anahitajika Mpishi - aweze kupika vitafunwa na chipsi

mawindo

Member
Joined
May 18, 2018
Posts
66
Reaction score
104
Anahitajika Mishi/Mtaalamu wa kupika Chapati (vitafunwa) na Chipsi. Awe wa kiume.

Awe mwenye uzoefu aliyekwisha wahi fanya kazi sehemu za watu wengi.

Eneo la kazi ni Mkoani Shinyanga.

Kwa mwenye sifa na vigezo afike PM kwangu.
 
Kuna wadada wa Kidogo wanapika chapati zenye kurasa.
 
Back
Top Bottom