Nina tatizo la mgongo kuuma sana hasa wakat wa usiku pia nikikaa muda mrefu nimechek xray hamna tatzo.. Tatzo hili nila muda mrefu toka 2008 nikilala uck had nijikunje ndo napata nafuu siwez kaa kwa kunyooka au kulala nimenyooka unauma sana
Mimi nilikuwa kuchwa xana 4m one had 4m four niliongoza darasa lakn baada ya kwenda advance five na six had chuo kikuu ilikuwa balaa nikajiona kuwa nilikuwa naongoza wajinga wenzangu mana navopelekeshwa huko chuo ni balaa
Yan huyu jeryy fara kabisa hana mwelekeo wa maisha sa hivi... Anasaka tonge kwa nguvu zote duh but siku zake na fara mwngne makaptura zimebak chache washenz kabisa hao
Wanajamii niko na mke wangu muda mrefu tuna watoto wanne na analijua hilo wote wanasoma internatnal school.
Tatizo lilianza mwaka jana akihitaji tuongeze mtoto mwingine, mimi nimekuwa nikikataa kwa sababu zifuatazo; mimi ndo mtoa matumizi, nasomesha.
Yeye mchango wake ni kulisha familia tu...
Yan wewe ndo zuzu hujui hata elimisha mtu anaeomba ushaur nina mashaka na chet chako kama sio cha kununua au ulisoma eagle collg na sio univstry ndo mana huna sup kuwa mstarabu mtu anapoomba ushaur kwa matatizo na sio kumwambia zuzu ndo walewale waloita watoto wa wenzio vilaza afu wa kwao...
Navoelewa ni hivi kama hujalipia hata ya mwaka huu imefutwa na za nyuma ifikapo tareh 1 july but ukitembea kwa sasa ukakamatwa unapigwa fain ila ifikapo tar 1 july ingiza mzigo barabaran hata kama ulikuwa unadaiwa 2mill xo stika zitabak mbili tu kwe kioo ya usalama na insurance
Sipat pcha kibonde... Na yule nyundo wa 360... Na lemburulazzz... Wako wap xa hv na wanazodolewaje na watoto wao mana hata wake zao wanajua matatizo ya bashite.... Vpnd vya kesho na wao ni zamu yao kuvaa mask kama sudy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.