Habari msweet😛ole kwa kusubiri Nilikua nimetingwa kidogo ofisini so ikanilazimu kutokuendelea kujibu maswali.
Ingawa ulikua nizamu yako naomba ni kujibu kesho. Kwani swali lako ni swali ambalo la elimu kwa Jamii kwa hivyo nisingependa nijibu kwa kifupi. Ninaonelea nifafanue ili Jamii nayo ipate elimu.
Habari za leo msweet:
Kwanza kabisa kabla sijaenda kukufahamisha faida na hasara. Ningependa nianze kwa kuyatambua maji kwaujumla wake, umuhumu nakazi yanazofanya mwilini.
MAJI
Msweet maji ni uhai, "bila maji hakuna kinachoishi" Damu nzito kuliko maji!
Tukiangalia maneno hayo tunaweza kujiuliza maswali mengi sana.
'Ina maana uhai tulionao ni maji!
'Kwanini Damu iwe nzito'!
'Kwanini waseme maji ni mepesi'
Maswali haya unapoanza kuyafikiria maji ni lazima utajiuliza.
Baada ya Oksijen ni maji. Maji ni kitu muhimu katika uhai.
Mwili wa binadamu umebeba asilimia 70 hadi 80 ya maji.
Na hii ni katik chembe hai za mwili kunako hitajika maji mengi.
Plasma ya damu hutengenezwa na asilimia 90 hadi 92 ya maji na asilimia 8 hadi 10 ni ujazo wa oksijen.na virutubishi mbalimbali.
Hivyo maji ni dutu muhimu sana kwa sababu hutengeneza uhai na uzima wa mwili.
Damu ni uhai pia kwani pasipo damu hakuna uhai wa mwili.
Damu, maji, oksijen, na virutubishio ndivyo huupa mwili uzima uliokusudiwa.
Chembe hai za matumbo ( interstine)hudumu kwa siku 4 tu kisha hufa na kutolewa nje ya mwili kwa njia ya haja kubwa.( stool) wakati zile za tumbo (stomuch) hudumu kwa siku 5.
Chembe hai za ngozi hudumu kwa siku 30 kisha hufa na hutolewa nje wakati unaposafisha ngozi
Wakati zile za Ini hudumu kwa siku 42 kisha huliwa na chembe hai nyeupe( macrophages) ambazo kazi yake ni kusafisha chembe mfu kwa njia ya kuzila
Chembe hai nyekundu (RBC)hudumu mwilini kwa siku 120 kisha kuliwa na macropheges.
Wakati chembe hai za mifupa hudumu kwa muda wa siku 90 na kuliwa na macropheges.
Chembe nyeupe (WBC) hudumu mwilini kwa muda wa mwaka mmoja kisha na zenyewe kuliwa na macropheges.
Neva au neuron hudumu kwa zaidi ya miaka 90, zenyewe hufa wakati mtu anapokufa.
Maji ni muhimu sana mwilini kama ilivyo kua muhimu kua na uhai.
Mtu mzima anapaswa anywe Lita 2 kwa siku. Lakini mgonjwa anapaswa anywe Lita 3 hadi 5 kwa siku kwa sababu chembe hai za mwili na hasa chembe nyeupe zina hitaji nguvu ya kutosha ili kupigana na maradhi pindi Mtu anapokua mgonjwa
Jinsi mwili unavyo hitaji Damu ndivyo unavyohitaji maji Katika Saa moja kiasi cha Lita 45 huwa zimeulonisha ubongo na kuuzunhuka.kwa kuupa uhai.
Mwili wenye damu safi Maji safi oksijen ya kutosha. Hufanya Mtu awe na afya bora kwani maradhi yanapomvamia hupigwa vikali na kuangamizwa.
Panapo tokea upungufu wa maji kitu kimoja lazima kipotee.
Na baadhi ya kazi za seli hufa.
Maji ndio chanzo kikuu cha nguvu. Maji hutumika kama moja ya malighafi ya usanifu wa ujenzi wa seli na huziweka seli katika hali nzuri
Maji hukinga uharibifu wa vinasaba (DNA)
Sodiam, Patasiam, na kloride ni electrolytes( madini maalum) ambayo huyeyuka katika maji na hubeba chaji za kiumeme. na kuzipeleka sehemu zote kuliko na maji.
Madini haya ya kiumeme yanauwezo wa kuingia na kutoka ndani ya seli kwa Uhuru wote huku yakipeleka lishe ndani ya seli na kutoa nje taka na maji yaliozidi ili kuziacha seli katika hali yake ya usawa.
Electrolyte hizi zinapatikana katika maji maji yote mwilini na hubeba mapigo(impulses) kwenye Neva zetu.
Kitendo hiki huu saidia moyo na kiwambo cha moyo(diagragm)kusinyaa na kulegea.
Electrolytes hubeba glucose( damu yenye sukari)na kuipeleka ndani ya seli baada ya insulin kufungua milango kwa ajili ya sukari kuchukuliwa.
Electrolytes pia huwasha pump za kuzalisha nguvu ziitwazo cotion pumps ambazo huzalisha umeme ambao huhifadhiwa kwenye betri zijulikanazo kitaalam kama mg ATP (Adinosine Triphosphate)na mg GTP( Guanosine Triphosphate) za mwili.
Katika mwili kuna bahari mbili, moja imejishikiza ndani ya seli na ya pili imejishikiza nje ya seli.
Afya nzuri hutegea na usawa mzuri wa maji katika bahari hizi mbili.
Kutokana na kazi nilizozita huko juu zinazofanyika ndani ya mwili, kuna wakati bahari hizi hua zinacheka.
Na zikichemka hapo ndio mahitaji ya maji hutakiwa.
Kama itachemka bahari iliojishikiza ndani ya seli, wewe mhusika hutojua kama bahari hii imechemka.
Hapo kitachoweza kutambua hilo ni ubongo, na ubongo ukitambua hilo, hutoa taarifa kwa tezi maalum, ambayo tezi hiyo itatoa homon maalum ambayo itakuchochea kupata kiu( hitaji la kunywa maji)
Bahari iliojishikiza nje ya seli Mara nyingi huchemka kutokana na harakati zako wewe mhusika, na ikichemka bahari hii, kuleta matokeo yafuatayo. Kwanza hufanya kuiathiri na bahari ilioko ndani nayo ichemke.
Hapo matokeo hua ni haya hapa.
1 Kujisikia kuchoka na kutoendelea na kazi.
2 Ngozi ya mwili kuvuja Jasho.
3 mwili kuishiwa nguvu
4 kiu.
Zinapojitokeza hali hizo hapo sasa ni mwili una hitaji maji yabaridi yapitie kwenye Tabaka la juu la ngozi( kuoga)
Wakati kama huu ukaupa mwili maji ya kuoga ya baridi maji yatakua ni dawa na faida kubwa kwa mwili. Faida zenyewe ni
1 Ukaoga mda huu kuchoka kutatoweka na kukurudishia utayari wa kuendelea na majukumu ulionayo.
Itakua hivyo kwa sababu maji yabaridi yatakwenda kupoza bahari iliojishikiza nje ya seli, na bahari hiyo ikipoa, itasababisha bahari iliojishikiza ndani ya seli nayo kupoa.hivyo kufanya mwili uwe vizuri.
2 Wakati kama huu ukaoga ngozi na nywele vitalainika vizuri kwakua Yale mafuta laini yanayolinda ngozi na nywele havitoondolewa.
3 kuoga wakati kama huu huongeza kinga ya mwili kwa kua hufanya kuongeza kiwango cha umetaboli hivyo pale mwili unapojaribu kujipasha moto baada ya kuoga hapo ndio zinapozalishwa chembe nyeupe za kupambana na maradhi.
4 Kuoga wakati kama huu, huhamasisha kupungua uzito.
Kwani binadamu baada ya kula vyakula mbali mbali kiasi Fulani cha mafuta huhifadhiwa mwilini.
Baada ya kuoga maji baridi pale mwili unapojaribu kujipasha moto kiasi Fulani cha mafuta huyeyushwa na kutumiwa kuupasha mwili joto.
Pia huchangia afya ya misuli na hufanya mwanamichezo kua imara.
Pia Kuondoa msongo wa mawazo.
Pia hulinda afya ya uzazi ya mwanaume na mwanamke.
Kwa wanaume huwafanya wabaki na maumbile yao waliokua nayo bila kuharibika chochote.
Wakati kwa upande wa Wanawake huwafanya wawe na maumbile yalio katika hali ya kufuata umbile la uume,
Yani pale mwanamke anapokua katika hali ya kusisimka, umbile lake la kike hubana kufuata umbile la mwanaume kwa muda huo. Hapo hata kama umbile la mwanaume litakua dogo, litaeneatu. Na naimani zile misemo mipya za vibamia havito kuwepo. Pia hufanya mtu apate usingizi mzuri.
Pia huboresha mzunguko wa damu na kufanya damu izunguruke vizuri mwilini.
Kwaujumla maji yote ni mazuri na yanafanya kazi zote hizo yawe ya baridi au ya moto.
Ilimraditu yatumike kwa maitaji ya mwili sio kwa mahitaji ya mtu binafsi.
Maji ya moto ni mchemsho.
Maji ya baridi ni pozo.
Ukaoga maji ya moto ni sawa na kufanya mazozi Saa moja.
Kufanya mazoezi ni sawa na kuoga maji ya moto.
Kwa wale wenye maradhi wanaoshauriwa wafanye mazoezi! Na wakawa hawana uwezo wa kufanya hayo mazoezi wanashauriwa watumie kuoga maji moto kama mbadala wa mazoezi. Lakini inabidi mwili uandaliwe namna ya kuyapokea maji moto
Ukaoga maji moto yakakutana na bahari ya ndani ya seli imechemka.
Maji uliooga yatachemsha bahari ya nje na yanje itajaribu kuipasha moto bahari ya ndani wakati nayo imechemka.
Hapo matokeo yatakua ni kuchoka,kuishiwa nguvu,kutoka Jasho,kiu na mengineyo mengi hujitokeza,
Kwa wanaume shahawa zitakua nyepesi hivyo kusababisha kufika kileleni mapema.
Pia vile vile kwa wanaume hao hao Mbegu za kiume zitashindwa kuogelea kwenye shahawa kwakua shahawa ni nyepesi na hatimae kushindwa kulifikia yai la mwanamke baada ya ijaclation.
Hivyo kukufanya mwanaume kushindwa kumpa mimba mwanamke.
Kwa Wanawake Yatasababisha maumbile ya kike kulegea na kushindwa kulitambua umbo la mwanaume hapo hata uume uwe mkubwa bado uke hauto ubana uume sawa sawa.
Pia ukaoga wakati bahari ya ndani imechemka.Hili ni kwa wote ngozi na nywele zitakua vikavu kwakua yataondoa Yale mafuta laini ambayo ni kinga kwa ngozi.
Kwa hiyo maji yote ni mazuri kwa afya na mabaya kwa afya.
Ili yalete faida kwa mwili fuata taratibu na kanuni za maji.
Ukahisi baridi wewe mwenyewe Sio kipindi cha baridi hili kwa wewe mwenyewe.
Ujue unatakiwa uupe mwili maji moto.
Ukasikia kiu yamaji bila kuhisi joto, hapo unatakiwa unywe maji sio kuoga.
Ukahisi joto na kutoka Jasho kiu na kuchoka unatakiwa uoge maji baridi.
Ukawa unatetemeka baridi huku mwili umechemka hiyo ni hitilafu katika bahari hizi mbili ya joto la maji.
Hapo kuna bahari moja imechemka moja ya baridi
Mara nyingi hua ni bahari iliojishikiza nje ya seli ndio hua imechemk, ikijaribu kuilazimisha na ya ndani ichemke ndio matokeo hua hayo. Hapo humaanisha kuna bacteria wamevuruga usawa wa joto la bahari.
Msweet nimatumaini yangu umeelewa vyema asante na karibu tena.