Karibuni kwa maswali yote ya kiafya

Doctor nina ndugu wakike anasumbuliwa sana na maumivu ya tumbo wakati wasiku zake.

Anafika umri wa miaka 25 kwa sasa na hajaolewa lakini hii hali anayo zamani tu. Siku 2 mpaka tatu za mwanzo hali hua siyakawaida kabisa.
 
Hello kaka, kwanza nikupe hongera na pole za dhati kwa muda wako wakujibu mengi unayoulizwa kwa marefu na mapana. Huo ni moyo wa kipekee.
I sincerely congratulate yu. M.Mungu akusimamie na akujalie sawasawa na mahitaji yako
...
Nina shida tatu; kwanza me ni KE (26)sina mtoto na wala sijawahi kushika mimba wala sijawahi kujaribu kushikaa .
kwanza huwa nina mzunguko wa 28 days (hedhi).ila nimekua na tatizo ambalo hunikosesha sana amani, huwa naingia ktk siku zangu kwa siku tano ad saba..huwa ni bleed ambayo ni heavy na wakati mwingine maumivu makali ya tumbo. Pia mara nyingi huwa na bleed ktk hali ya mabonge bonge napata wakat mgumu saana

Haishii hapo, kabla ya siku 28 kuisha huwa najikuta nikipata tena bleed japo sio nyingi lakn huwa kama nyeusi zaid na wakati mwingine rangi kama ya udongo/kahawia. Nimejichunguza nikagundua hii hali hutokea kwenye zile ovulation days yaan kuanzia sana sana siku ya 11 ad 17 baada ya kumaliza siku saba za bleed. Napata wakat mgumu saana kuelewa hili nini

Hosp nilishaenda but just niliambiwa ts hormone imbalance..kitu ambacho sikielew. Napata mawazo saana

Msaada kwanza hili kabla sijaendelea na matatizo mengine. Am ready kutoa maelezo zaid
.hali hii ina miaka takriban 7 japo kuna miezi huwa sipat hali hyo
Habari Dadaa!

Pole kwa tatizo hilo. Unajua matatizo yenu ninyi kina mama, kiukweli hua yanatoa majibu pale pale, pinditu unapokua ukitoa maelezo.

Na mama ama Dada unatakiwa unapokua ukitoa maelezo kwa daktari wa eneo hilo unatakiwa, utoe maelezo kadiri unavyoona na ikiwezekana, unaweza kulazimika kujibu maswali machache kutoka kwa daktari.

Kwamfano maelezo hayo ulio eleza hapo moja kwa moja, Mimi inanilazimu kutofautiana kidogo na wenzangu.
Hapo ulipoambiwa una tatizo la hormone imbalance. Sijui kama ulipimwa ama ulitumika uzoefu.

Maelezo yako yanaonyesha wazi kua unaweza kua na Tatizo katika mfumo wako wa uzazi mbali na hormone imbalance.
Kile kitendo cha kutambua kua na mzunguruko wa siku fulani , ni ishara wazi kwamba tatizo si hilo. Kwani kama lingekua ni tatizo ndio hilo sidhani kama ungeweza kukumbuka kua menstrual cycle ni siku Fulani. Kwani hata upatikanaji wake Ingekua ni ya kutokueleweka.

Sasa dadaangu kwakua umesema hali hiyo ina miaka 7 na wewe hapo ulipo una miaka 26 ya nyuma, nimefanya hesabu hapa nimeona tatizo hilo limekuanza ukiwa na miaka 19 ya nyuma.
Sasa ningependa ujibu maswali machache kwanza ili nikupe ufumbuzi wa kueleweka na hata ukienda kwa doctor iwe ni rahisi kwako na kwake pia kuamua.

1 Start of menstrual days ulianza mwaka gani?

2 kuanza kumjua mwanaume(sex) ni mwaka gani?

3 siku za kuelekea kupata hedhi ya mwanzo ulikua unasumbuliwa na nini hasa maeneo ya tumbo(chini ya kitovu)

4 Je ulishawahi tokewa na hali ya kutokewa damu wakati wa kusex na kama ndivyo ni Mara ngapi?

Tuanze na hayo kwanza dadangu kama hutojali tafadhali.
 
Habari Dadaa!
Pole kwa tatizo hilo. Unajua matatizo yenu ninyi kina mama, kiukweli hua yanatoa majibu pale pale, pinditu unapokua ukitoa maelezo.

Na mama ama Dada unatakiwa unapokua ukitoa maelezo kwa daktari wa eneo hilo unatakiwa, utoe maelezo kadiri unavyoona na ikiwezekana, unaweza kulazimika kujibu maswali machache kutoka kwa daktari.

Kwamfano maelezo hayo ulio eleza hapo moja kwa moja, Mimi inanilazimu kutofautiana kidogo na wenzangu.
Hapo ulipoambiwa una tatizo la hormone imbalance. Sijui kama ulipimwa ama ulitumika uzoefu.

Maelezo yako yanaonyesha wazi kua unaweza kua na Tatizo katika mfumo wako wa uzazi mbali na hormone imbalance.
Kile kitendo cha kutambua kua na mzunguruko wa siku fulani , ni ishara wazi kwamba tatizo si hilo. Kwani kama lingekua ni tatizo ndio hilo sidhani kama ungeweza kukumbuka kua menstrual cycle ni siku Fulani. Kwani hata upatikanaji wake Ingekua ni ya kutokueleweka.

Sasa dadaangu kwakua umesema hali hiyo ina miaka 7 na wewe hapo ulipo una miaka 26 ya nyuma, nimefanya hesabu hapa nimeona tatizo hilo limekuanza ukiwa na miaka 19 ya nyuma.
Sasa ningependa ujibu maswali machache kwanza ili nikupe ufumbuzi wa kueleweka na hata ukienda kwa doctor iwe ni rahisi kwako na kwake pia kuamua.
1 Start of menstrual days ulianza mwaka gani?
2 kuanza kumjua mwanaume(sex) ni mwaka gani?
3 siku za kuelekea kupata hedhi ya mwanzo ulikua unasumbuliwa na nini hasa maeneo ya tumbo(chini ya kitovu)
4 Je ulishawahi tokewa na hali ya kutokewa damu wakati wa kusex na kama ndivyo ni Mara ngapi?

Tuanze na hayo kwanza dadangu kama hutojali tafadhali.
Thanks a lot.
..
1.Hedhi nilianza 2003 (was in std 6 en i was 12 years old).
2.Mara ya kwanza kusex ilikua 2011 December
3. Hapa sijakupata vizur, kama yu mean nilivoanza hedhi kwa mara ya kwanza kwel sina kumbukumbu ya kupata tatizo zaid ya maumivu ya tumbo wakat wa bleed kwa siku 2 au 3 za mwanzo na sio miez yote, japo hayakua makal kama ya sasa
4. Yes, mwaka juz 2016 nilitokwa damu wakati wa kusex kwa mara ya kwanza. Ni mara moja sema apa katikat sijafanya sex kwa mdaa saana
Asante
 
Thanks a lot.
..
1.Hedhi nilianza 2003 (was in std 6 en i was 12 years old).
2.Mara ya kwanza kusex ilikua 2011 December
3. Hapa sijakupata vizur, kama yu mean nilivoanza hedhi kwa mara ya kwanza kwel sina kumbukumbu ya kupata tatizo zaid ya maumivu ya tumbo wakat wa bleed kwa siku 2 au 3 za mwanzo na sio miez yote, japo hayakua makal kama ya sasa
4. Yes, mwaka juz 2016 nilitokwa damu wakati wa kusex kwa mara ya kwanza. Ni mara moja sema apa katikat sijafanya sex kwa mdaa saana
Asante
*Pia ishu ya mzunguko kuna miez huwa inakua 30 au pungufu ya 28 ila ni mara chache ktk mwaka na hutokea hasa nikibadilisha mazingira.
 
*Pia ishu ya mzunguko kuna miez huwa inakua 30 au pungufu ya 28 ila ni mara chache ktk mwaka na hutokea hasa nikibadilisha mazingira.
Habari za leo:
Swali la 3 nilikua na maanisha mwaka wa kwanza ulioanza kua mama.(kubleed). Kabla ya huo mwaka ulioanza kubleed. Miaka miwili ama mmoja wa nyuma kuna tatizo gani ulilokua ukilipata la maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovi?

Kwa upande wa mzunguruko wa 28 au 30 hizo zote ni normol. Na ni kwambietu dadaangu kwamba hizi namba kwa upande wa kitaalam hua tunazichukulia kama ni Cod namba.
Cod number hizi hua pia zinatoa tafsiri ya mama husika. 18. 19. 20. 21. 22. 23. 24. 25. 26.27. 28. 29. 30. 31. 32. 33. 34. 35. Codi number hizi ziko 18. Codi hizi ndizo zinazomsaidia Daktari kujua tatizo la mama lilipo.

Katika hizo Codi namba 28/29/30 na 31 hizi ni normol.
So Mama ambae yuko katika Codi hizi na anakua na matatizo katika mfumo wa uzazi. Inaashiria tatizo hilo ni geni toka nje ya mwili.
Mara nyingi matatizo yao hua haya hapa kubleed na maumivu fulani ya tumbo kichwa, na uchovu. Ambayo hua hatuyachukulii kama ni siriasi ishu.
Kwa hiyo hata kama zitaongezeka na dalili zingine hapo daktari mwenye eneo hilo anatakiwa azidi kutafsri matatizo hayo mengine kutokana na dalili zake, lakini anatakiwa achunge hizo codi.

Kwa wenye codi 32-35 hawa Mara nyingi matatizo hua ni kutokueleweka kwa menstrual cycle.(Hormone imbalance)
Na hata zikaongezeka dalili zingine, daktari atatafsiri matatizo hayo kwa dalili zake. Lakini anatakiwa achunge codi hizo, na azichukulie codi hizo kua ndio chanzo kikuu.
Kwa hiyo daktari mwenye dhamana wa eneo hilo atajua tatizo ni nini!

Kadhalika na hizo codi zingine utaratibu uko hivyo. Na matatizo yake yanatambulika. Zikaongezeka dalili zingine daktari anatakiwa atafsri dalili hizo kwa codi husika.
Kwa kile kitendo cha mama kua na mwezi huu 28cycle mwezi jana 31 cycle au 30 cycle. Hili ni jambo la kawaida.
kwani mama mwenye hormone sahihi anatakiwa awe ana punguza 3days kila mwezi. Na hii ni kutokana na umakini wa Pituitery gland.

Nisiongee mengi sana nikahama kwenye key husika, hebu nijibu kale kaswali ka 3 tuendelee.
 
Doctor mkuu me nahitaji kujua magonjwa haya kama nitapata ufafanuzi itakuwa vyema zaidi.
1. Kwanini ugonjwa wa amiba kwa kutumia dawa za hospitalini hauponi? Hii ni kwa sababu nimesha wahi tumia kila aina ya dawa za hospital lakini hakuna mafanikio na sio mimi tu hata watu wengine wanasema hivo hivo.
2. Nikweli kwamba ugonjwa wa HENIA iliyoko katika utumbo mpana ambayo imetokeza kwenye njia ya hajakubwa haitibiki kwa dawa za kawaida mpaka ufanyiwe upasuaji. Kuna rafiki yangu ako na matatizo ya Henia
Habari za mchana bwana kitichema.
Ni kwamba amoeba ni kweli hua hawaishi kama ukiwaua wenyewetu.
Kuna mnyoo anaeitwa ASCARIS
Huyu hua ndani ya tumbo lake anakua amebeba Amoeba.

Kwa ufupi ni kwamba unapotaka kumshambulia amoeba inabidi uwaue wote wawli.
Kama utakua unawaua amoeba pekee ni kwamba, hapo utakua unawaua wale ambao hawako matumboni mwa ASCARIS. Na hapo utakua umepona kwa siku chachetu. Muda ukifika wale waliokua matumboni nao wanakua nje. Hapo ukipimwa amoeba wanaonekana tena.
Yani kanakua kamchezo hako siku zote.

Pia kama utamuua ASCARIS pekee. Hapo ni sawa na kwenda kuitungua ndege ambayo imebeba mabomu. Hatimae mabomu yanaanza kufyatuka na kuleta madhara.

Dawa za minyoo zina desturi ya kuwaua minyoo kwa kuwakata vichwa na hapo wale walioko matumboni hupata nafasi ya kutoka. Kuendelea kuleta madhara.

JINSI YAKUTIBU AMOEBA
Daktari akithibitisha unashambuliwa na Amoeba lazima akumbuke pia kwa namna yoyote ile pia unashambuliwa na Ascaris.
Kwa hiyo matibabu ni lazima akupe yenye mrorongo wa wadudu wote wawili. Ambao ni huu hapa.

Tablets Albendazole kwa kumuua na kumkata kichwa Ascaris.
Caps Amoxilin kwa kuwaua wale waliotoka tumboni mwa Acaris
Na ni kwamba wanauliwa na Amoxilin kwa kua wale hawa kua amoeba kamili Bali ni mayai. Na yai kitaalam hua ni seli, kwa hiyo hayo mayai yataangamizwa na Amoxilin kama bacteria. Kwa kuvuruga ukuta(cyst) wa seli zao.

Tablets Metronidazole zenyewe huenda kuwaua wale amoeba waliokua walishatoka mda mrefu katika matumboni ya ascaris na kuanza kujitegea na kuleta madhara na ndio walioonekana kwenye darubini.
Ukubwa wa dozi ina tegemea na tishio aliloliona daktari.

Kwa hiyo ndugu kitichema, sio kwamba amoeba hawatibiki kwa dawa zetu, hapana. Wanatibika ila shida ni moja.
Haya mambo ya technology ndio tatizo. Sasa hivi kuna maabara nyingitu ambazo wanavibari vya kupimatu sio kutibu.
Kwa hiyo wateja wao wakipima wanawaambia wakanunue dawa Dukani. Hii ni sawa na kusema Simba ale nyama hapa maji akanywe mtoni. Na hili huwafanya Wakiondoka hapo, sasa wagonjwa wenyewe wanakua wagonjwa wao na madaktari wao.
Akifika Dukani anamwambia muuza dawa nipe dawa ya kutibu amiba.

Nesi nae ana hitaji pesa, haraka anampatia TINIDAZOLE. Matokeo yanakua ndio hayo. Watu wanapoteza imani.

Kwaupande wa hernia. Ni kwamba hernia yoyote ile kama imethibitika kua ni hernia tiba sahihi ni upasuaji, ili kuiweka sawa eneo hilo.
Ziko dawa ambazo unaweza tumia lakini. Ni dawa ambazo za kupungua maumivu na uvimbe.

Kwa hiyo kumbukuka unapokua ukitumia dawa mbali mbali ndivyo ambavyo unavyozidi kuchelewa. Ingawa unaweza kua unonekana kupona.

Mshauri rafiki yako aende aonane na wataalam wao ndio watajua ukubwa wa tatizo. Na njia ya kuliondoa.
 
Nkingwamh Asante.
Kwa kweli sina kumbukumbu yakua na tatzio serious la tumbo zaid ya kuumwa tumbo kawaida kabla ya kuvunja ungo. Sasa sikumbuki kama lilikua linauma chini ya kitovu au laa maana sikuwa na uelewa huo. Just nilikua najua tu tumbo linauna. That's all
 
Asante.
Kwa kweli sina kumbukumbu yakua na tatizo serious la tumbo zaid ya kuumwa tumbo kawaida kabla ya kuvunja ungo. Sasa sikumbuki kama lilikua linauma chini ya kitovu au laa maana sikuwa na uelewa huo. Just nilikua najua tu tumbo linauma. That's all
 
Asante sana doctor ubarikiwe kwahiyo nitumie Dawa gani au niache tu hvyo hvyo nitapona
Habari bwana tembocard
Kwa uvimbe huo hauezi kwisha hata ukitumia dawa, jambo la maana hapo ni kutibu lile tatizo lililoko kinywani.
Kwani hilo ndilo lililoleta huo uvimbe.
Nenda hospitali mweleze dokta hali hiyo, pia na muda liliokuepo nae atahitaji kuliona hivyo atakueleza utanue mdomo, na ataangalia.
Akiviona atatambua type yake kisha atakuandikia dawa za msingi.
Asante.
 
Naomba ufafanue tatizo LA halitolisis Dr
Habari ndugu Havana.

HALITOSiS
Halitosis ni tatizo la kutoa harufu mbaya mdomoni.
Tatizo hili huweza jitokeza kwenye kinywa kutokana na sababu mbalimbali.
1. Utovu wa nidhamu katika swala la usafi wa kinywa na meno. Hali hiyo hupelekea kusababisha tatizo liitwalo Periodontitis. Tatizo hilo husababishwa na uchafu utokanao na mabaki ya vyakula katika meno.
Ambayo huungana na bacteria baadae na kutengeneza vitu vigumu na kuganda kwenye meno ambavyo hua havitoki kiurahisi kwa kusukutua meno. Mwisho kupelekea harufu mbaya sana kinywani.
Kulegea meno,kutoa damu wakati wa kusafisha meno,kua meno rangi ya njano,

2 Pia ubovu wa meno nao huweza sababisha Halitosis
3 mfumo wa upumuaji
4 mfumo wa mmeng'enyo
5 kisukari.nk

TIBA
Kimsingi tiba kuu ni kua imara katika swala zima la usafi wa kinywa na meno. Kusafisha meno kwa kutumia mswaki wenye blashi zilizofunikwa juu yake kwa dawa ya meno.

Kuhakikisha unakula chakula ambaco meno yanaweza kutafuna, ili kurahisisha mfumo wa mmeng'enyo.
Kama tatizo litakua ni tishio matibabu ya ziada yanaweza hitajika.
 
sawa ndug, shukran nataka nijaribu nipo dar, unadhan unanishaur wap naweza pata matibabu sahihi
Habari bwana Hoshi koshi
Kwakua umesema hali hiyo kwa mtoto Ina muda na uko dar nakushauri mpeleke mhimbili. Kwani wako wataalam wazuri wa eneo hilo.
 
Dr Mama yangu anasumbuliwa sana na ganzi katika mikono na miguu yake kila mara yeye anajishugulisha na uchomaji wa keki je,tatiz litakuwa nini?..maana ana mwaka sasa linamsumbua
Habari bwana idrissi
Mama anasumbuliwa na tatizo liitwalo Peripheral neuropathy.
Bwana idrissi matatizo haya Mara nyingi hua ni kuzorota au kushindwa kufanya kazi kwa Neva za pembezoni mwa mwili.
Na Mara nyingi hua yanasababu, sababu hizo ambazo pengine zimepelekea kuharibu vitamin mwilini
Hasa vitamin B. Sasa kabla sija kushauri ningependa unijulishe mama ana umri gani na je anatatizo la kisukari? Unijulishe hayo kisha nitakua na la kushauri zaidi.
Asante
 
Doctor kutoa mbegu nyingi kupita kiasi za kiume wakati wa kugegeda je ni tatizo?
Habari ndugu . kwanza ningependa utofautishe kati ya Mbegu na shahawa. Sijui hapo unaulizia ni kipi kati ya hivyo.
Lakini kama ni shahawa(semen) Namii nikuulize hua unakaa mda gani bila kukutana na mpenzi wako.
 
Doctor nina ndugu wakike anasumbuliwa sana na maumivu ya tumbo wakati wasiku zake.

Anafika umri wa miaka 25 kwa sasa na hajaolewa lakini hii hali anayo zamani tu. Siku 2 mpaka tatu za mwanzo hali hua siyakawaida kabisa.
Habari ndugu
Naomba nijue pia menstrual cycle yake hua inasimamia kwenye codi zipi ili niweze kujua tatizo lililo!
 
Naomba kuuliza au kufahamu hii kukojoa mara kwa mara ni dalili ya ugonjwa gani
Habari bwana Hamjunior
Dalili hiyo Mara nyingi ni ashirio LA sukari kupanda. Lakini dalili za namna hiyo yako pia matatizo mengine yana dalili hiyo.
La muhimu kwanza kapime sukari (Diabetic) ikiwa normol rudi tujalibu kukushauri zaidi
Asante.
 
Kama kichwa kinavyosema hapo nakaribisha maswali yanayo husu afya
Nina tatizo la mgongo kuuma sana hasa wakat wa usiku pia nikikaa muda mrefu nimechek xray hamna tatzo.. Tatzo hili nila muda mrefu toka 2008 nikilala uck had nijikunje ndo napata nafuu siwez kaa kwa kunyooka au kulala nimenyooka unauma sana
 
Back
Top Bottom