Unajuwa tz kuna vitu bado hatujajuwa nini tufanye. Nilikuwa kenya 2017 hawana kujiunga, ukiweka salio say 500ksh wewe unapiga tu. Nilikuwa nikitumia 1000kdh per mana nilikuwa nikijiachia sana. Badae mtu mmoja mwenyeji aliniambia, prepaid inaumiza do either of the two.
1. Seek post paid service...
Unajuwa lazima uwe na facts unapoongea mambo haya publicly. Of course mi nitasema yeah to some extent yes kwamba kuna changes toffauti na hapo awali, say mimi nimeenda znz 2016 haikuwa kama ilivyo sasa. Lakini haijafika level hiyo kama jamaa kaizungumzia. Kwanza ukabaji znz very little, pili znz...
Braza ushawahi kuwa nao wangapi....
Mbona unamdhalilidha pasipo proof. After All judgement yako umeifanya baada ya kuwa nao wangapi wa kihaya, na ukilinganisha na Pandey zingine
Usitudhalilishe tuliooa huko braza
Kodi ni somo pana sana kiasi ambacho, mwananchi wa kawaida hawezi kuelewa na ndio maana kuna wataalam wa mambo yahusuyo kodi. Bahati mbaya sana kuna baadhi ya watu wanaperceive kuwa ndani ya kodi kuna mirage ya siasa ndani yake hivo wananchi wanatatizwa.
But ni suala la elimu tu na kuportray...
Umeongea point as if ulikuwa kichwani mwangu pia. Great idea
Lakini pia nyakati hizi ni nyakati za Neema nyingi. Kuongezeka kwa wahubiri, manabii na mitume si ukengeufu bali ni nyakati.
Kumbuka Elia alipoenda Sarepta, alienda kwa mama mjane, hivyo kuna nafasi ya wanawake katika imani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.