Hivi kwanini 90% ya waumini wa haya makanisa ya kiroho ni wanawake?

Siyo swala la yupi ana matatizo klk mwingine, matatizo binadamu wote wanayo, ila jinsi ya kuyakabili matatizo ndipo tofauti ilipo kati ya Mwanaume na Mwanamke, na takwimu ziko wazi na hii siyo kwa Tanzania tu bali ni Dunia nzima kwamba wanaongoza kujiua ni wanaume unafikiri ni kwa nini ? walevi na wanaotumia drugs wengi ni Wanaume unafikiri sababu ni ipi ?
Kwahyo wew matatzo kwenye ulimwngu huu umeona kujiua tu...duh..kazi ipo

Yaan hujawaza problem solving kama
1.Kuendesha nchi na maamuz
2.afya
3.innovations
4.power n energy
5.leadershp
6.finance
7.independence

Yote hayo tokea dunia hii imeumbwa anayasolve mwanaume kwa asilimia zaid ya 90
 
Ndio hivyo mkuu wewe Kama mkristo upo dhehebu flani ukiwa na tabia ya kwenda kanisani na mama watoto, kufanya ibada nyumbani kwa Sheria za dhehebu lako katu mkeo hawezi kutekwa na hayo makanisa feki. Sasa uwe mlevi mlevi hueleweki lazima mkeo atekwe huko.
Bas sawa mkuu..ingawa bado hujajib uzi
 
Hichi ndicho ulichokiandika



Ume- generalize kwamba wanawake ndio huanguka na waumini wengi kwenye hayo makanisa ni wao!

Kudharau imani kisa tu umeelimika kidogo sio jambo poa, nchi kama U.S. hayo unayoyaita makanisa ya kinabii yapo tena mengi sanaa kushinda hata Tanzania na hao wanawake wanahudhuria the same as Tanzania ila huwezi kuona wakitapeliwa, kudondoka n.k

Kwanini? Sababu ni ndogo sana kama pesa ni wanazo, kama ni elimu wanayo je vipi kuhusu Tanzania au Africa in general?

Ukipata jibu omba mods waweke wanawake wa Africa na Asia bila kusahau neno "Baadhi"
Hata huko US na ulaya bado 90% ya waudhuriaj ni wanawake
 
Unaandika kipuuzi unanipa shida kuelewa alafu unanikejeli.
Mshenzi kweli wewe

Acha kudharau wanawake i warn you.
Huwez elewa logic za kikubwa hiz mkuu..unless una akil sana...sampling zako za kufananisha wanawake wa dunia ya kwanza na dunia ya tatu hazina akil..hao wa dunia ya kwanza wana flaws zao...na inabak vile vile hata huko 90% ya waudhuriaj ni wanawake pia.
 
Kwahyo wew matatzo kwenye ulimwngu huu umeona kujiua tu...duh..kazi ipo

Yaan hujawaza problem solving kama
1.Kuendesha nchi na maamuz
2.afya
3.innovations
4.power n energy
5.leadershp
6.finance
7.independence

Yote hayo tokea dunia hii imeumbwa anayasolve mwanaume kwa asilimia zaid ya 90

Sasa unatoka nje ya mada kama unasema hivyo hata mimi naweza kusema hayo yote ulioyaorodhesha yamefanywa na Wanaume Muzungu au Japani/Asia na siyo Wanaume wa Afrika, hivyo wanaume wa Afrika hawajui kusolve problems kama unataka kwenda huko, hapa naongelea jinsi ya kukabiliana na matatizo na changamoto za kila siku na kwa nini Makanisa yanajaa Wanawake kama ilivyondikwa na siyo Wanaume, ...
 
Sasa unatoka nje ya mada kama unasema hivyo hata mimi naweza kusema hayo yote ulioyaorodhesha yamefanywa na Wanaume Muzungu au Japani/Asia na siyo Wanaume wa Afrika, hivyo wanaume wa Afrika hawajui kusolve problems kama unataka kwenda huko, hapa naongelea jinsi ya kukabiliana na matatizo na changamoto za kila siku na kwa nini Makanisa yanajaa Wanawake kama ilivyondikwa na siyo Wanaume, ...
Hapana.hayajafanywa na wanaume wazungu hata kidogo..yanafanywa kila siku na unayaona.....chkua kila ki1 nilichoandika halaf angalia kama hakifanyw hapa tanzania na ni male dominance....

Haya tukirud huko makanisan..ishu ni simple tu...nyie ni rahis sana kushawishika na kuingia front..ndo tunajiuliza.y?
 
Hapana.hayajafanywa na wanaume wazungu hata kidogo..yanafanywa kila siku na unayaona.....chkua kila ki1 nilichoandika halaf angalia kama hakifanyw hapa tanzania na ni male dominance....

Haya tukirud huko makanisan..ishu ni simple tu...nyie ni rahis sana kushawishika na kuingia front..ndo tunajiuliza.y?

Yapi hayo yanayofanywa na wanaume wa hapa Tanzania kama nchi nzima tunategemea misaada kutoka kwa Wanaume wengine Muzungu/Asia? Ni nini tunachofanya Afya ? Tunafanya nini hata kitanda cha kulalia wagonjwa wetu hatuwezi kutengeneza halafu unaongelea problem solving skills ? 1/3 nzima ya watoto wa Tanzania wana malnutrition halafu unaongelea problem solving skills Tanzania ? Watoto wamejaa barabarani wanaomba chakula wanalala kwenye sakafu halafu unaongelea problem solving skills Tanzania ? maji ya kunywa safi na salama ishu, ...
 
Yapi hayo yanayofanywa na wanaume wa hapa Tanzania kama nchi nzima tunategemea misaada kutoka kwa Wanume wengine ? Ni nini tunachofanya Afya ? Tunafanya nini hata kitanda cha kulalia wagonjwa wetuhatuwezi kutengeneza halafu unaongelea problems solvings skills ? 1/3 nzima ya watoto wa Tanzania wana malnutrition halafu unaongelea problem solving skills Tanzania ? Watoto wamejaa barabarani wanomba chakula wanalala kwenye sakafu halfu unaongelea problem solvings skills Tanzania ? maji ya kunywa safi na salma ishu, ...
1.leadership...nan ni viongoz tz ki % ni wanawake au wanaume
2.afya..nani wahusika wakuu hapa..kuanzia vijijn had mijin.ukikuta Dr ni mwanaume..yaan mfanya maamuz ni mwanaume..msaidiz ni mwanamke..wapanga sera za afya ni kina nan
3.finance...wenye pesa hapa kat ya wanaume nawanawake ni kina nan..na usilete u gender hapa..
4.powe n energy...sekta hyo tanzania ni male dominance. Hata umeme ukikatika nyumban ni mwanaume ndo anaangaliwa..hata kuweka taa
5.building n construction..ni male dominance
6.uhalifu....ni male dominance

Nmekupa mifano michache tu kwenye mazingira yetu ya hapa Tz...

Saaa yyyyyy sekta hzo zoote ni male dominance ila hapo kwenye makanisa yetu haya nyie ndo mme dominate. Huon kuna uwalakin hapo .hata kwenye video za muzik..ni wanawake ndo wanaovaa nguo vibaya na kucheza vibaya...hata kwenye porn ni mwanamke ndio nadhalilika sana kuliko mwanaume...hata hao wanaojshoot video chafu mitandaon .ni wanawake ndo huwa wanaonekana 80%...yyyyy all this..hamuon kuwa mna kasoro mahali
 
Itoshe kusema kuwa nafuatilia uzi kwa ukaribu kabisa...

Napoleone umetulia sana

Mwanamke ni mtu anayeishi kwa kuangalia watu..hii inapelekea at some points kuhisi wana mikosi pale mambo yanapokuwa hayaendi sawa(kutokuolewa,kukosa mtoto n.k) na kimbilio lao ni kwa waganga au watumishi+watumishi uchwara

Jambo jingine ni kuwa wanategeka kirahisi sana pale maneno+hisia vinapochanganywa..mwanamke anaweza kushawishiwa kununua kitu hata hajui matumizi yake
 
1.leadership...nan ni viongoz tz ki % ni wanawake au wanaume
2.afya..nani wahusika wakuu hapa..kuanzia vijijn had mijin.ukikuta Dr ni mwanaume..yaan mfanya maamuz ni mwanaume..msaidiz ni mwanamke..wapanga sera za afya ni kina nan
3.finance...wenye pesa hapa kat ya wanaume nawanawake ni kina nan..na usilete u gender hapa..
4.powe n energy...sekta hyo tanzania ni male dominance. Hata umeme ukikatika nyumban ni mwanaume ndo anaangaliwa..hata kuweka taa
5.building n construction..ni male dominance
6.uhalifu....ni male dominance

Nmekupa mifano michache tu kwenye mazingira yetu ya hapa Tz...

Saaa yyyyyy sekta hzo zoote ni male dominance ila hapo kwenye makanisa yetu haya nyie ndo mme dominate. Huon kuna uwalakin hapo .hata kwenye video za muzik..ni wanawake ndo wanaovaa nguo vibaya na kucheza vibaya...hata kwenye porn ni mwanamke ndio nadhalilika sana kuliko mwanaume...hata hao wanaojshoot video chafu mitandaon .ni wanawake ndo huwa wanaonekana 80%...yyyyy all this..hamuon kuwa mna kasoro mahali

Sasa kama ni hivyo basi wanaume wa Tanzania ni failure kulinganisha na wanaume wengine kwa maana wanasaidiwa ili waishi na wanaume wa Kizungu na Kiasia, ...
 
Hiyo ni kawaida na Dunia nzima, wanawake wanajua zaidi jinsi ya kudili na kukabiliana na matatizo kuliko Wanaume, Wanawake wakiwa na matatizo wanaongea na kutafuta suluhisho na ndo maana unaona wanajaa makanisani huko wanaongea na kujdali matatizo yao nakupata suluhisho, wanaume wanajifungia na kuishia kujiua matokeo yake, Wanawake wanaishi huishi muda mrefu zaidi, wanaojiua ni wachache sana kulinganisha na Wanaume, wana-move on haraka baada ya kumwagana kimahusiano, wana afya njema kuliko Wanaume mfano Hospitali zimejaa zaidi Wanawake kuliko Wanaume kwa sababu Wanawake wanajali afya zao zaidi, kwa kifupi wanaishi vizuri kuliko wanaume au niseme wanajua jinsi ya kudili na matatizo na changamoto za kidunia zaidi, ...
Umeongea point as if ulikuwa kichwani mwangu pia. Great idea
Lakini pia nyakati hizi ni nyakati za Neema nyingi. Kuongezeka kwa wahubiri, manabii na mitume si ukengeufu bali ni nyakati.
Kumbuka Elia alipoenda Sarepta, alienda kwa mama mjane, hivyo kuna nafasi ya wanawake katika imani
 
Itoshe kusema kuwa nafuatilia uzi kwa ukaribu kabisa...

Napoleone umetulia sana

Mwanamke ni mtu anayeishi kwa kuangalia watu..hii inapelekea at some points kuhisi wana mikosi pale mambo yanapokuwa hayaendi sawa(kutokuolewa,kukosa mtoto n.k) na kimbilio lao ni kwa waganga au watumishi+watumishi uchwara
Kabisa mkuu.
 
Sasa kama ni hivyo basi wanaume wa Tanzania ni failure kulinganisha na wanaume wengine kwa maana wanasaidiwa ili waishi na wanaume wa Kizungu na Kiasia, ...
Sawa ila end of the day..ni male dominance..

ukirud ishu ya makanisa hata wawe wa ulaya au wa africa..hata ukienda marekan leo .ukienda makanisa hayo utakuta kina mama kama wote

Afu wee mtata wew barbarosa..umeshindwa kutetea hoja naona umeamia ilimrad uni undermine tu...
Sisi wanaume wa Tz..

Enewei...ishu ya wanawake kuwepo kweny e sekta hzo zisizo na tija kwa % kubwa inabid mjitafakar sana maana nahis ndio chanzo cha maanguko yenu..mnaamin kirahis rahis sana mambo....haya lala sasa
 
Sipuuzi wala kukashifu dini yoyote lakini makanisa mengi yaliyozuka mitaani yakiongozwa na wanaoitwa mitume au manabii ni matapeli tu; na vile vile ukiona kanisa moja tu linaongozwa na askofu asiyekuwa na subordinates basi ujue pia ni la kitapeli tu.
 
Mngewaza kweli Mara mbili msingekula tunda..... Samsoni asingenyoa nywele.

Tunawazoom hapa mnavyojaribu kutufanya hatuna akili.
Samsoni hakunyoa nywele kwa shinikizo la mwanamke

Alinyoa nywele kulinda bajeti ya sabuni
 
Ukitaka kubadilisha jamii anza na wanawake, si unaona vikoba ilianzia kwao lakin sahiv had wanaume wa daslam wapo huko
Wazo la kikoba tu lilitokana na mtu mvivu aliyeishiwa mawazo ya kufikiri kwamba yeye kama yeye hawezi kutunza pesa bali aji-organize na wenzake wenye kufanana akili kisha kati yao wamchague mmoja wampe dhamana ya kutunza pesa zao

Unaamini mtu akikushikia pesa zako zinakua salama kuliko zikiwa mikononi mwako?

Kama jibu ni ndio basi unakila sababu ya kukubaliana na kikoba

Unaanzaje kuteswa na pesa zako mwenyewe eti ukichelewa kupeleka unapigwa fine....Fine ambayo inaingia kwenye mfuko wa mwingine?

Nikiri kwamba sijawahi kuona mtu ametusua kimaisha kupitia kikoba, zaidi ni watu ambao wamekata ringi kwa wingi wa stress na lundo la madeni mtaani
 
Back
Top Bottom