CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,475
Yaani kuna watu kabisa wanalipana posho KWENYE UTOPOLO KAMA HUU, mnavyozungumzia watu kujiajiri na mtu akiwakuta kwenye makongamano kama haya jinsi mnavyojifanya mnaipenda teknolojia na internet huku mkitoa mifano ya nchi nyingine zinavyopiga hatua na kuzalisha ajira sababu ya internet yenye speed na ya bei nafuu mtu anaweza kudhania ni malaika
Sadly Its just anaother day ya nyinyi kupiga blah blah kwenye maukumbi yenye viyoyozi mkitoka hapo mnaingia kwenye magari yenye AC, nyumba zenu zina AC hadi chooni, ila wanuka jasho tunakiona cha moto, NI TOZO KILA KONA NA BADO MMEVAMIA HATA BANDO ZETU ZA USIKU ZA KUDOWNLOAD STUFFS
***SHAME ON YOU malizeni tu hizo blah blah zenu ETI TEHAMA, TEHAMA BONGO? KWIOO
Sadly Its just anaother day ya nyinyi kupiga blah blah kwenye maukumbi yenye viyoyozi mkitoka hapo mnaingia kwenye magari yenye AC, nyumba zenu zina AC hadi chooni, ila wanuka jasho tunakiona cha moto, NI TOZO KILA KONA NA BADO MMEVAMIA HATA BANDO ZETU ZA USIKU ZA KUDOWNLOAD STUFFS
***SHAME ON YOU malizeni tu hizo blah blah zenu ETI TEHAMA, TEHAMA BONGO? KWIOO